Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,609
Kafiri ndio dini gani sijawahi sikiaKabla hajaja wewe ni mwisilam? Usije ukawa kafir afu unataka mtoto wa faiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafiri ndio dini gani sijawahi sikiaKabla hajaja wewe ni mwisilam? Usije ukawa kafir afu unataka mtoto wa faiza
Sent using Jamii Forums mobile app
"...Gaidi kwa mmoja ni mpigania Uhuru kwa mwengine...""
Hebu soma ulichokiandika kama utakielewa"...Gaidi kwa mmoja ni mpigania Uhuru kwa mwengine...""
Hayo ni maneno yake si ya uongo bali ni ya ukweli kabisa ukiweza kuyatafakari vizuri na kuyaelewa utajua kile anachomaanisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unahasira sana mkuuMnamkuza sana huyo kilaza mnafiki na mdini FaizaFoxy!! Ni empty set na mbulula. Kwaufupi bado ni mjinga aliyelewa upuuzi wa dini yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo umeanza mahusiano ya Kimapenzi na Bibi zako? Achana na huyo bibi Taahira!
Jamaa kazingua sana watu wengine sijuwi hawajalelewa na wazaziunakosea mno mno!chuki ya udini na uvyama isifike huko..hv hamuonag haya kumtukana huyu mama!khaa
Rekebisha huyu siyo mama ni BIBI na wala si shangai maana shetani akizeeka ugeuka kuwa malaika.Amani iwe juu yenu wakuu
Nuru ya MUNGU iwaangaze
Naseseleka nayo
Jf kuna kila aina ya watu wapo wapole na wakorofi sana
Sitaki kuwazungumzia wengine Leo namuongelea mama yetu mpendwa FaizaFoxy ni mama wa makamo wala si bibi kama wengi wanavyojua, ni mama anayejishemu sana msomi wa ngazi za juu, mama huyu mwenye mihemuko na dini kupita Maelezo ni mama mdadisi sana ambaye kamezwa na uiccm
Mama huyu ni mama bora kuanzia alivyolelewa nyumban kwao na sasa anavyoishi kwake, mama huyu wanae wote pamoja na yeye ni watu wa MUNGU sana yaan waislam safi sana ambao kwa hakika wataiona pepo ya Allah subuhana wataara
Wito wangu kwa wana jf tumutumie vizur huyu bibi yetu maana ni moja ya tunu za jf
Ni mama mbalikiwa sana na mwingi wa hekima asiyekuwa na kinyongo na mtu
Abalikiwe sana bibi yetu huyu
Inshanlaa
N:B punguza tu udini bibi yangu
Nawasilisha
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kwahiyo zaman alikuwa fire sanaLekebisha huyu siyo mama ni BIBI na wala si shangai maana shetani akizeeka ugeuka kuwa malaika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika balikiwa mama mkubwaUkweli ni mama mwenye weledi wake...!kudos to her!
Nyie wapendwa kula vya bure, ambao hamuamini kama ng'ombe anazeeka na maini pia jibebe huyo kihonge.