fexcash
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 447
- 831
-Anakauli zinazojirudia kama " shule ulienda kusomea ujinga".Faizafoxy...
Ni generally super smart woman....I can say her smarts are of grade A!
Ila hana tofauti na wanadamu wengine humu...
Ana-pretend kua logical ila si kweli,anaendeshwa na biases za dini yake,siasa ya chama chake,her ancestry of which nadhani ana some few percentages of Arabic ancestry...
Hapo anadhani Arabism ni superior heritage in this planet than anything japo I'm sure atakua na DNA yenye more than 90% African heritage!
Faiza sio Muislamu bora kama anavyoji-potray humu...Sio mtu wa haki na mema kiivyo...
Ni muislamu vurugu anaetumia identity ya uislamu kujipatia meaning kwenye hii dunia against other human beings!
Faizafoxy ana matusi ya nguoni kama sisi wengine wote!
Faizafoxy ni very arrogant and her arrogance is sometimes beyond stupidity....
Faizafoxy hua hajibu comments za watu wenye hoja kubwa zaidi yake....
Hua anachagua hoja kutoka comments dhaifu anazijibu kwa maneno makali kujengea picha kua yeye ni superior kumbe si kweli!
Hua Faizafoxy ha-acknowledge members wanaomzidi akili au hoja,yeye hua anawachapa wajinga tu,hathubutu kugusa walio na akili!
Ni nadra sana kwa Faizafoxy kutoa "like" kwenye comment ya mtu,ni dalili mbovu sana ya ubinafsi!
Faizafoxy ukimshinda hoja,akawa hana jibu na anajihisi ni lazima ajibu,basi hutafuta any grammatical error au any typo,au chochote cha kimaandishi kukosoa tu muundo wa sentensi zako....
Anafanya hizo anaacha hoja muhimu mpaka kiasi kwamba sometimes inakua ni stupidity!
Pia ana Kiswahili kizuri,Kiingereza kizuri na anajua kuandika kwa muundo sahihi wa paragraphs,grammar nzuri na mpangilio mzuri wa mawazo yake...Kuhusu matumizi ya lugha hua hakosei!
Faizafoxy ana background ya Engineering kama sikosei,kuna kipindi hua anarusha some Engineering concepts kwenye mabishano kwa confidence ya ajabu na unaweza kudhani yupo sahihi,ila in real sense hayupo sahihi kiivyo kwa mwenye kujua!
Generally mimi namkubali kama member wengine ila ni very special character fulani hivi....
Sasa naona kama kapunguza sana fujo zake tofauti na kipindi kile Kikwete yupo madarakani
Halafu naona kama anapenda fujo sana unnecessarily!
-Anamajivuno anafikiri yy n bora zaid kumbe si kweli.
-Anaendeshwa na dini yani yy kwake muislam ni bora zaidi.
-Mbinafsi
- Ni mmama ambaye kwa umri wake alitakiwa aachane na mambo yakutukanana na watoto wake kwani kufanya hvyo anajikosea heshima yake.
Sent using Jamii Forums mobile app