Ustaarabu kitu cha bure, sina hilo wazo nawala sifikirii, nina familia. Hoja ya msingi jali maisha yako, acha kufuatilia maisha ya mtu, acha mtu aishi atakavyo yeye, kutukana hakukusaidii, wala hunipunguzii chochote, zaidi naona unatumia mihemko na nguvu nyingi kwa ishu za kijinga.Wewe boya ndo unamfuatilia huyo mly mzee.wach shobolization mtt wa kiume.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Shenzi" ni wewe si sisi, sisi tumestaarabika na unanielewa hilo.I see muislamu bora ambae angetakiwa awe mfano bora kwa sisi tusioamini dini wala Mungu ndio kwanza anatufundisha kutukana...
What a righteous Muslim woman!
Nimuamini Mufti yeye nani? Ni mwanadamu shenzi kama nilivyo mie na wewe!
Ni muongo kama mimi na wewe!
Nataka well researched proofs kwamba kweli mnaonewa kwa misingi ya solely kidini!
Na hii tabia yako ya kuwawekea watu msururu wa mi-threads eti wakarudie kusoma kupata majibu ya maswali yao ni technically not possible...
Siwezi pitia comments 1000 za watu mbalimbali kutafuta comment yenye jibu ninalotafuta!
Ombeni JF wawape citing facility ambayo unamuelekeza exact which comment number aende,sio uzi mzima you dummies!
Siwezi kujibu swali la kipumbavu ambalo halina validity kwangu.. The stupid question is valid in your mind.. Akili hizi fupi bhana..Hujajibu swali, umeliona swali lakini au ndiyo wale mliosomea ujinga shule? Rudia...
Kwa maandiko yako upo kundi lipi kati ya haya?...
Biblia 1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Ana vyote Pumbu na K....ila K ndo inaguvu zaidi kwa huyu kibibiNimesoma maoni yenu juu yake. Kwani huyu jamaa ni mwanaume au mwanamke?
"
"Shenzi" ni wewe si sisi, sisi tumestaarabika na unanielewa hilo.
Wewe huna dini, ya Waislam yanakuhusu nini? Kama si umbeya ni nini zaidi?
Ukisikia mwanamme anakuwa mbeya ujuwe si rizki huyo.
Mathayo 7: 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?"Sisi tumestaaribika" ukimaanisha wewe na nani? Unatumia kipimo kipi kujua huo ustaarabu? Au wewe ni msemaji wa kundi lililostaarabika.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Shenzi" ni wewe si sisi, sisi tumestaarabika na unanielewa hilo.
Sina dini,wala simtambui Mungu wala shetani....Wewe huna dini, ya Waislam yanakuhusu nini?
Ukisikia mwanamme anakuwa mbeya ujuwe si rizki huyo.
Amani iwe juu yenu wakuu
Nuru ya MUNGU iwaangaze
Naseseleka nayo
Jf kuna kila aina ya watu wapo wapole na wakorofi sana
Sitaki kuwazungumzia wengine Leo namuongelea mama yetu mpendwa FaizaFoxy ni mama wa makamo wala si bibi kama wengi wanavyojua, ni mama anayejishemu sana msomi wa ngazi za juu, mama huyu mwenye mihemuko na dini kupita Maelezo ni mama mdadisi sana ambaye kamezwa na uiccm
Mama huyu ni mama bora kuanzia alivyolelewa nyumban kwao na sasa anavyoishi kwake, mama huyu wanae wote pamoja na yeye ni watu wa MUNGU sana yaan waislam safi sana ambao kwa hakika wataiona pepo ya Allah subuhana wataara
Wito wangu kwa wana jf tumutumie vizur huyu bibi yetu maana ni moja ya tunu za jf
Ni mama mbalikiwa sana na mwingi wa hekima asiyekuwa na kinyongo na mtu
Abalikiwe sana bibi yetu huyu
Inshanlaa
N:B punguza tu udini bibi yangu
Nawasilisha
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mzigo mkuu naona unavyokutesa pole sanaUnaweza kujifunga mambomu na kwenda kujilipua mbele ya halaiki ya watu maana kuna bikira zimeandaliwa ndo malipo yako huko akhera
Kama ukiweza hivyo bas utampata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijuimbalikiwa= mbarikiwa
abalikiwe= abarikiwe
subuhana wataara= Subhanna wataala
"udini" ndiyo nini?
Ila arekebishe hilo moja maana wengi wamelisemea kwa nia njema