Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

TAL alipokuwa anasema magufuli baada ya siku tatu gereji,nilikuwa simuelewi ikanibidi sasa nianze kufuatilia kampeni zake aisee nilikuwa namuonea huruma nilijua kbs he will never stand for another five years.
 
Alipomuingiza Sheikh tu akaunguza na Kuharibu Imani yake, Huenda aliita Hadi ma Sangoma.
Ndio Maana tunasema huyu Mzee Yuko Motoni, mnatuita wachawi
 
Alitubu?
 
Mhimu hayupo mengine hatuhitaji
 
Umeona eh...alibanaaaaa , Nature ikafanya àchie ...Leo wale aliokuwa nao kiwananga Mabeberu ,kukebehi Safari za.Nje ,wanabadilisha Mabegi!
Na posho zmepanda😁
Mishahara Juu,
DUNIANI UNAYAKIWA KIWA NA KIASI!
TUNA MIDA.MFUPI SANA WA.KUISHI!
Hata kaa asahau hata huko alipo
 
Sifahamu hawa Viongozi hawana msingi wa imani waisimamio? Mungu wa Padre aliyempaka mafuta ndie mungu wa Sheikh? Mbona anachanganya miungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…