Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

kipindi cha kampeni alikuwa ni mgonjwa mara kadhaaa alikuwa hawez kusimama jukwaani mda mrefu

..binafsi nilianza kushtuka alivyochelewa kufika kwenye ibada ya mazishi ya Mzee Mkapa kule Lupaso.

..pia kila alipokwenda kulikuwa na mashine kama feni kubwa karibu na alipokuwa akiketi jukwaani.

..alivyopotea na watu walivyoanza kumuulizia na alivyoshindwa kujitokeza Kanisani siku ya jumapili nikahisi ana tatizo kubwa.
 
Paulo mtume aliwaomba msamaha aliowaua baada ya kuongoka/kuokoka? (Sauli - Paulo).
Msamaha wa Mungu hauna masharti.
Ukitubu kwa imani unasamehewa!
 
Kama huko (mbinguni/peponi), nako kuna utapeli, sina haja ya kujihangaisha kutafuta njia za kwenda huko!
 
Umewahi kufika Muhimbili?
 
Ili Mungu akusamehe sharti uwaombe msamaha kwanza uliowakosea. Je, hayo yalifuatwa?
 
Haya
 
Ukisoma vitabu vya dini,Mungu aliwasamehe wauaji na waliotenda dhulma nyingi sana kwa watu mfano ni Paul,Daudi,Jamaa aliyekufa na yesu msalabani,unadhani hawa waliomba msamaha kwa kila mtu waliyemkosea hakuna hyo theory unayosema.
 
Nikiunganisha niliyoyasikia na uliyosema naamini ulichoandika.
 
Hatuna mamlaka mengine zaidi ya kusema "Mwenyezi Mungu Mwenye wingi wa Rehema aipokee Roho yake Pema Peponi. Amin" Kristo Yesu aliwaombea msamaha hata wauaji wake, Shahidi Stefano alimwomba Mwenyezi Mungu asiwahesabie wauaji wake kosa walilokuwa wanalitenda la kumuua yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…