Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

😀😀😀😀 alikuwa na sababu gani ya kuficha kama alikwenda kumfanyia duaa ya mwisho?...si ingempa political and social milage kwa watanzania?
script ya hii movie inaandikwa nusu nusu. Kipindi cha mahojiano ilikuwa kipande cha maombezi hakijaandikwa bado.
 
Angewaomba na msamaha wote aliowakosea.
Toba ni kwa Mungu. Msamaha wa binadamu kwa binadamu kwa mujibu wa mafundisho ya maandiko ni muhimu zaidi kufanywa na aliyekosewa.
Ndio maana wafuasi wa Kristu waliomba na wakafundishwa na Yesu kumuomba Mungu awasamehe kwa kipimo cha wao wanavyosamehe wenzao.
 

Wakristo kwani mna hiyo?
 
Walitaka Lissu asipate hii bahati, Azory, Mawazo nna wengine
 
Uamuamini Sheikh muongo muongo kama huyo? Zubeir akikwambia yeye ni mwafrika kataa mpaka uone rangi yake.
Na rangi yenyewe unaeza kukuta amejipaka tu... Andaa maji na steel wire umsugue hadi upate rangi ojirino
 
Tuoneshe ni vifungu gani vya kwenye Biblia vinavyotetea hoja yako.
35 Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu; 36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? 37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. 38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. 40 Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.

Mathayo 22:35-40
 
script ya hii movie inaandikwa nusu nusu. Kipindi cha mahojiano ilikuwa kipande cha maombezi hakijaandikwa bado.
Hii ya Shekh ilikuwa Mubashara Mkuu!...kama ni movie hilo jipya sasa!...lakini Shekh alisema kwa siku za karibuni mpaka amefariki, hakupata nafasi ya kumtembelea iwe hospital au Kwake/Ikulu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…