Familia ikiweza kula ng'ombe 400 kwa siku ni tafsiri ya utajiri.

Familia ikiweza kula ng'ombe 400 kwa siku ni tafsiri ya utajiri.

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ukiwa na jamii ambayo inaweza ikala ng'ombe 400 kwa siku moja ni tafsiri ya utajiri.

Ng'ombe 400 ni tafsiri ya kukamilika kwa miradi ya maji, umeme, elimu na afya. Ni tafsiri kwamba Tanzania hatuna sababu ya kuomba misaada nje maana tuna surplus

Swali gumu ambalo tunapaswa kujiuliza ; tungebadili ng'ombe 400 kuwa vituo vya afya au kununua dawa tungeokoa maisha ya watu wangapi?
 
Ukiwa na jamii ambayo inaweza ikala ng'ombe 400 kwa siku moja ni tafsiri ya utajiri.

Ng'ombe 400 ni tafsiri ya kukamilika kwa miradi ya maji, umeme, elimu na afya. Ni tafsiri kwamba Tanzania hatuna sababu ya kuomba misaada nje maana tuna surplus

Swali gumu ambalo tunapaswa kujiuliza ; tungebadili ng'ombe 400 kuwa vituo vya afya au kununua dawa tungeokoa maisha ya watu wangapi?
Labda ni ile ya siku moja moja sio mbaya😅😅😅... Ila jamaa ni kama ameamua kuwafanya wakuu wa mikoa wengine wajione si kitu.
 
Hapo zaidi ya million 200 zimeteketea yaani kituo cha Afya kingejengwa,
Siasa za rushwa zinaturudisha nyuma sana hapa Tanzania 🇹🇿,tumepiga kelele sana na hawabadiliki
 
Hapo zaidi ya million 200 zimeteketea yaani kituo cha Afya kingejengwa,
Siasa za rushwa zinaturudisha nyuma sana hapa Tanzania 🇹🇿,tumepiga kelele sana na hawabadiliki
Sio kila mtu anaumwa wewe
Wacha watu wasioumwa wale nyama zao
Wewe kama nyama haipandi sababu ya maradhi yako shauri yako na afya yako mgogoro

Pambana na hali yako
 
Sio kila mtu anaumwa wewe
Wacha watu wasioumwa wale nyama zao
Wewe kama nyama haipandi sababu ya maradhi yako shauri yako na afya yako mgogoro

Pambana na hali yako
Anakupa nyama ya siku moja hakusaidii, bora akufundishe jinsi ya kujitafutia nyama yako ya kila siku,
 
Ukiwa na jamii ambayo inaweza ikala ng'ombe 400 kwa siku moja ni tafsiri ya utajiri.

Ng'ombe 400 ni tafsiri ya kukamilika kwa miradi ya maji, umeme, elimu na afya. Ni tafsiri kwamba Tanzania hatuna sababu ya kuomba misaada nje maana tuna surplus

Swali gumu ambalo tunapaswa kujiuliza ; tungebadili ng'ombe 400 kuwa vituo vya afya au kununua dawa tungeokoa maisha ya watu wangapi?
CCM inalea upumbavu mwingi sana
 
Namuona gambo anatamani aseme neno ila atasema nini mpaka waty wamuone yeye ana akili zaidi ya Makonda yaani nimejaribu kuvaa viatu vyake ila vimenipwaya kabisa
 
Swali gumu ambalo tunapaswa kujiuliza ; tungebadili ng'ombe 400 kuwa vituo vya afya au kununua dawa tungeokoa maisha ya watu wangapi?
Siku ya kufa ikifika hata ukizungushwa vituo vinne vya afya vyenye dawa zote, utakufa tu
 
Ukiwa na jamii ambayo inaweza ikala ng'ombe 400 kwa siku moja ni tafsiri ya utajiri.

Ng'ombe 400 ni tafsiri ya kukamilika kwa miradi ya maji, umeme, elimu na afya. Ni tafsiri kwamba Tanzania hatuna sababu ya kuomba misaada nje maana tuna surplus

Swali gumu ambalo tunapaswa kujiuliza ; tungebadili ng'ombe 400 kuwa vituo vya afya au kununua dawa tungeokoa maisha ya watu wangapi?
Je, na wewe unashiriki makafara ya Makonda huko Arusha?
 
Back
Top Bottom