mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Usiwachukulie watu powa. Wapo ambao kwa maisha wanayoishi Magufuli alikua sio rais.., alikua baba.Walitumwa wangekaa nyumbani yasingewapata.
Sasa subiri ufe wewe halafu wanao wasiumie wala kuja kukuaga