kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Haya matakataka hii comment yako yataipita kama hayaioni mkuu. Mijitu mingine sijui ikoje.... [emoji848] [emoji848] [emoji848]Ndiyo nakwambia.....ukifanya dhambi ndani ya zile amri 10 za Mussa kwa kufurahia sababu tu una madaraka hiyo ni laana tena inakwenda hadi kizazi cha nne.
Marehemu alitesa na aliua wengi. Ben Saanane; Azory mpo wapi - Mungu awarehemu!!