Haya matakataka hii comment yako yataipita kama hayaioni mkuu. Mijitu mingine sijui ikoje.... [emoji848] [emoji848] [emoji848]Ndiyo nakwambia.....ukifanya dhambi ndani ya zile amri 10 za Mussa kwa kufurahia sababu tu una madaraka hiyo ni laana tena inakwenda hadi kizazi cha nne.
Marehemu alitesa na aliua wengi. Ben Saanane; Azory mpo wapi - Mungu awarehemu!!
Watoto wadogo hivi unaenda nao kwenye mkusanyiko kama ule kweli? Hilo mama jinga sana... Ona sasa limesababisha balaa. Angeenda mwenyewe akafie mwenyewe huko.Hii ndio familia yenyewe,huyo wa nyuma mwenye rasta pona yake hakuwepo yupo shule boardingView attachment 1731984
Hawa tumewajua tusiowajua?Hii ndio familia yenyewe,huyo wa nyuma mwenye rasta pona yake hakuwepo yupo shule boardingView attachment 1731984
KivipiHawa tumewajua tusiowajua?
Huyu Mama mjinga sanaHii ndio familia yenyewe,huyo wa nyuma mwenye rasta pona yake hakuwepo yupo shule boardingView attachment 1731984
Ndio wake zetu haoHuyu Mama mjinga sana
Tumaaminisha ni hawa tu!! Kumbe kuna wingine?Kivipi
Hawa ndio ninaowafahamu,lakini kuna wengine waliofariki zaidi ya 40 ukiondoa hawa. Mmoja wapo ni Dada mmoja Mwalimu Mkuu wa shule fulani hapa DarTumaaminisha ni hawa tu!! Kumbe kuna wingine?
Aiseee ila nawalaumu wote waliofanikisha hili zoezi la kuagaNa bado wanamtafuta Binti mmoja wa familia hiyo hiyo ambaye hajaonekana mpaka hivi sasa,nae alikuwepo kwenye huo mkasa.View attachment 1731987
Kwa upande wangu watu wote ninaowafahamu waliopanga kwenda kuaga niliwakataza na wakatii,sababu najua mwili kama ule wenye mazindiko,damu na vilio vya watu wengi hauwezi kuondoka hivi hivi bila kutoa kafara.Aiseee ila nawalaumu wote waliofanikisha hili zoezi la kuaga
Marehemu nae ni wa kuonewa wivu??Unasikia wivu eeee
Vumilia tuu Mungu atakuchukua akikuhitaji inshallah!
Mataga hao,hapo ndio wanapata farajaMarehemu nae ni wa kuonewa wivu??
Mkuu tatizo sio kufa,kufa tutakufa lakini hakukua na mantiki ya kwenda na watoto wadogo,ni muhimu kuepuka vitu vinavyoepukikaBila wao kujua mkusanyiko walipojikusanya yatatokea yaliyotokea ni kuwaombea wapumzike kwa amani tu,
mnaojifanya mna akili sana nyie mtakufa kifo cha kijinga sana kwa kuwa ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaambiwa hauna uzalendo ndugu.Nchi yetu hii ina wajinga wengi sana!! Watu kama hawa hata kuwapa pole ni aibu kwa mwenyezi Mungu!!
Uncivilized nation!! Ndiyo maana tunatawaliwa watakavyo maana hata haki zetu za kikatiba hatuzijui maskini.
Kwakawaida hata mechi ya Simba na Yanga, huwa hatubebi watoto, ila wanawake akili zao Mungu anazielewa.Mkuu tatizo sio kufa,kufa tutakufa lakini hakukua na mantiki ya kwenda na watoto wadogo,ni muhimu kuepuka vitu vinavyoepukika
Tuwaombee wapumzike kwa amani inatosha,Mkuu tatizo sio kufa,kufa tutakufa lakini hakukua na mantiki ya kwenda na watoto wadogo,ni muhimu kuepuka vitu vinavyoepukika
Nimesikitika Sana Mkuu,Mungu awasaidie hawa Mama zetu kujaribu kufikiria jambo kwa jicho la tatu,pale ukianguka hunyanyuki watu watafanya stampeding mpaka unakufaKwakawaida hata mechi ya Simba na Yanga, huwa hatubebi watoto, ila wanawake akili zao Mungu anazielewa.
Ukute waliaga wanawahi kanisani.
Everyday is Saturday.............................π
Mtalaumu hata ambapo hapastahili kwa sababu ya husuda zenu.Come down to your senses.Tukipata Katiba mpya ambayo itaondoa umungu mtu wa Raisi,Raisi atakuwa mtu wa kawaida Taasisi ndio zitakuwa zenye nguvu
Vitu kama hivi havitatokea tena UMUNGUFULI unakuwa hakuna