Familia nzima tumefeli kila ndoto imegeuka alinacha, hatuna muelekeo kabisa

Familia nzima tumefeli kila ndoto imegeuka alinacha, hatuna muelekeo kabisa

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Picha ilianza na Mimi. Nilibahatika ya kufaulu na kwenda shule nzuri tu ya sekondari ambako pia nilifauli kwenda masomo ya juu. Nikiwa nimekomaa na masomo ya biashara, ndoto kuu ilikuwa kuja kuwa mfanyakazi wa taasisi flani za kifedha.

Tena huko zinakotokea. Leo hii ni mwalimu ninayefundisha Jiografia na Kiingereza, mwaka zaidi ya wa 10 kazini, hakuna gari hakuna nyumba hakuna heshima nyumbani.

Ndugu yangu, akiwa ameyashika vizuri masomo ya Sayansi hadi kidato cha tano na kuwa na ndoto lukuki za kuwa daktari. Ghafla bin vuu nae Sasa huu mwaka wa 5 anasotea kazi tu ya ualimu bila mafanikio. Ni ualimu wa shule ya msingi nauzungumzia ndugu wanaJF

Ndugu mwingine baada ya kufika kidato cha nne alikuwa na ndoto ya kuwa askari. Sasa hivi anakesi mahakamani baada ya kumgonga mtu akiwa katika shughuli zake za bodaboda.

Dada zangu wote wapo nyumbani, shuleni hata somo la kirai kwao halikupanda. Wapo tu nyumbani wanachoma mkaa.

Binti yangu, nikiwa nimejaribu kuweka nguvu nyingi sana na kwa muda mrefu Kwakweli Ili asome, tena masomo haya ya sayansi (kutokana na uelekeo wa Dunia kwa Sasa); hajui hata 1 + 1 jibu ni ngapi, hajui Archimedes principle Wala Newtown's 1st law of motion.

Nikiwa mfariji na mtegemewa mkuu wa familia yetu hii, najihisi kuchanganyikiwa. Wanaotegemea pia nao wanachanganyikiwa siku baada ya siku. Tuko vururu vururu, hakuna ndoto tena.
 
Picha ilianza na Mimi. Nilibahatika kifaulu na kwenda shule nzuri tu ya sekondari ambako pia nilifauli kwenda masomo ya juu. Nkiwa nimekomaa na masomo ya biashara, ndoto kuu ilikuwa kuja kuwa mfanyakazi wa taasisi flani za kifedha......tena huko zinakotokea. Leo hii ni mwalimu ninayefundisha jiografia na kiingereza. Mwaka zaidi ya wa 10 kazini, hakuna gari; hakuna nyumba hakuna heshima nyumbani.

Ndugu yangu, akiwa ameyashika vizuri masomo ya sayansi Hadi kidato Cha tano na kuwa na ndoto lukuki za kuwa daktari. Ghafla bin vuu nae Sasa huu mwaka wa 5 anasotea kazi tu ya ualimu bila mafanikio. Ni ualimu wa shule ya msingi nauzungumzia ndg wanajf!!

Ndugu mwingine baada ya kufika f4 alikuwa na ndoto ya kuwa askari. Sasa hivi anakesi mahakamani baada ya kumgonga mtu akiwa katika shughuli zake za bodaboda.

Dadas wote wapo nyumbani, shuleni hata somo la kirai kwao halikupanda. Wapo tu nyumbani wanachoma mkaa.

Binti yangu, nikiwa nimejaribu kuweka nguvu nyingi sana na kwa muda mrefu Kwakweli Ili asome, tena masomo haya ya sayansi (kutokana na uelekeo wa Dunia kwa Sasa); hajui hata 1 + 1 jibu ni ngapi, hajui Archimedes principle Wala Newtown's 1st law of motion.

Nikiwa mfariji na mtegemewa mkuu wa familia yetu hii, najihisi kuchanganyikiwa.........wanaotegemea pia nao wanachanganyikiwa siku baada ya siku. Tuko vururu vururu, hakuna ndoto tena.
Hii ni advanced marginalised.. nyinyi ni watu wa kabila gani?. Nyie ndo familia zetu hizi ukitaka kufanya maendeleo husein mana husda iko juu sana. Ukienda mjini huagi.. madada wakirukaruka mpaka age ya 22 wana katoto hakana baba.

Hauko peke yako
 
Picha ilianza na Mimi. Nilibahatika ya kufaulu na kwenda shule nzuri tu ya sekondari ambako pia nilifauli kwenda masomo ya juu. Nikiwa nimekomaa na masomo ya biashara, ndoto kuu ilikuwa kuja kuwa mfanyakazi wa taasisi flani za kifedha.

Tena huko zinakotokea. Leo hii ni mwalimu ninayefundisha Jiografia na Kiingereza, mwaka zaidi ya wa 10 kazini, hakuna gari; hakuna nyumba hakuna heshima nyumbani.

Ndugu yangu, akiwa ameyashika vizuri masomo ya Sayansi hadi kidato cha tano na kuwa na ndoto lukuki za kuwa daktari. Ghafla bin vuu nae Sasa huu mwaka wa 5 anasotea kazi tu ya ualimu bila mafanikio. Ni ualimu wa shule ya msingi nauzungumzia ndugu wanaJF

Ndugu mwingine baada ya kufika kidato cha nne alikuwa na ndoto ya kuwa askari. Sasa hivi anakesi mahakamani baada ya kumgonga mtu akiwa katika shughuli zake za bodaboda.

Dada zangu wote wapo nyumbani, shuleni hata somo la kirai kwao halikupanda. Wapo tu nyumbani wanachoma mkaa.

Binti yangu, nikiwa nimejaribu kuweka nguvu nyingi sana na kwa muda mrefu Kwakweli Ili asome, tena masomo haya ya sayansi (kutokana na uelekeo wa Dunia kwa Sasa); hajui hata 1 + 1 jibu ni ngapi, hajui Archimedes principle Wala Newtown's 1st law of motion.

Nikiwa mfariji na mtegemewa mkuu wa familia yetu hii, najihisi kuchanganyikiwa. Wanaotegemea pia nao wanachanganyikiwa siku baada ya siku. Tuko vururu vururu, hakuna ndoto tena.

Rule #1: Hapana kuchanganyikiwa.

Rule #2: Jifunze kuhesabu mibaraka ya Mola: "Count your blessings."

Kulikoni kujikita kwenye usivyo navyo?

Maisha ndiyo haya haya. Angalia Gaza huko. Kina Gaddafi, Bongo na wengi tu walikuwa Marais. Wako wapi Leo?

Matajiri wakuu wa dunia hawakusoma kuwamo kwenye list ya wabobezi.

Kwamba una possibility au mna possibilities, wazima buheri wa afya, mko vyema mno ndugu.

Usikute, wengi tu Labda hata watakuwa wanawa admire kwa kuwaona mko mno successful kuliko unaowadhania?

Hebu fika Mhimbili, Moganzila au ocean road huko kupata ladha.

Usi kufuru ndugu.

Nani alijua Samia au hata sasa Kamala Harris anaweza kutimba ikulu.

Mpaji Mungu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wakati mwingine hizi familia zetu za kiafrika huwa tunaua ndoto nyingi sana, huenda huyo binti yako anakipaji kizuri sana cha tennis, au anapenda sheria, lakini mzazi umemkazania physics na mathematics. Huenda nyie mnavipaji vya soka, au ballet dancer, au kipaji cha kuogelea kama phelps au riadha kama hussein bolt. Lakini hakuna uwezeshaji kabisa, au huenda mafanokio yenu yalikuwa kwenye biashara ya madini, Lakini nyie mkakomaa na chemistry na titration😀
 
Rule #1 hapana kuchanyikiwa

Rule #2 count your blessings.

Kulikoni kujikita kwenye usivyo navyo?

Maisha ndiyo haya haya. Angalia Gaza huko. Kina Gaddafi, Bongo na wengi tu walikuwa Marais. Wako wapi Leo?

Matajiri wakuu wa dunia hawakusoma.

Kwamba una possibility au mna possibilities wazima buheri wa afya, mko vyema mno ndugu.

Wengi mbona watakuwa wanavwa admire?

Hebu fika Mhimbili, Moganzila au ocean road huko kupata ladha.

Usi kufuru ndugu.

Nani alijua Samia au hata sasa Kamala Harris anaweza kutimba ikulu.

Mpaji Mungu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mbona unaongea nonsensical inachanganya na vitu vya muhimu ndan yake?. Ukaunti blesing ili iweje mkuu? Akaangalie walio wagonjwa huko mahospitalin ili apate afadhali?
 
Wakati mwingine hizi familia zetu za kiafrika huwa tunaua ndoto nyingi sana, huenda huyo binti yako anakipaji kizuri sana cha tennis, au anapenda sheria, lakini mzazi umemkazania physics na mathematics. Huenda nyie mnavipaji vya soka, au ballet dancer, au kipaji cha kuogelea kama phelps au riadha kama hussein bolt. Lakini hakuna uwezeshaji kabisa, au huenda mafanokio yenu yalikuwa kwenye biashara ya madini, Lakini mtajuaje?
Vipaji bongo vinasafa! Nani mcheza tennis bongo unaemjua wewe? Walau soka na hali yake kwa jinsia ke unaweza kuifikiria tu hata ukiwa chumbani
 
First of all mimi huwa siamini ktk kitu kinachoitwa “ndoto yangu/yetu ya maisha”,hiki kitu kinawapotezea sana watu muda ningeshauri hata madogo mitaani wasiwe wanaaminishwa hiki kitu waache maisha yaende yatakavyotaka wa kuwa doctor atakuwa wa kuwa mwalimu sijui muhasibu atakuwa alimradi wasizuie wigo wao wa kuwaza nje ya kile wanachokitamani.

Ule muda mwenye maisha yake anawaza namna ya kuitekeleza anayoiita ndoto yake pembeni ya ndoto yake unakuta zinapita fursa ambazo kama siyo kujifunga kwenye wazo lake angezifuata angetoka,maisha siyo ndoto maisha ni reality unatamani kuwa doctor kumbe ukweli wa maisha yako ulikuwa uwe mfanyabiashara kupitia kuajiriwa kwenye duka la mtu fursa inayokupita ukiwaza udaktari huku ikienda kwa mwengine ambaye hata kusoma hajasoma.
 
Vipaji bongo vinasafa! Nani mcheza tennis bongo unaemjua wewe? Walau soka na hali yake kwa jinsia ke unaweza kuifikiria tu hata ukiwa chumbani
Ndiyo maana nikasema 'familia zetu za kiafrika' umasikini umetuharibi sana.Hali ni tofauti na kwa wenzetu walioendelea huko duniani. Wao wanazo options nyingi za kutoka kimaisha
 
Ndiyo maana nikasema 'familia zetu za kiafrika' umasikini umetuharibi sana.Hali ni tofauti na kwa wenzetu walioendelea huko duniani. Wao wanazo options nyingi za kutoka kimaisha
Nasikia ulaya kuna kazi za kufanya wasiokuwa na kazi
 
Picha ilianza na Mimi. Nilibahatika ya kufaulu na kwenda shule nzuri tu ya sekondari ambako pia nilifauli kwenda masomo ya juu. Nikiwa nimekomaa na masomo ya biashara, ndoto kuu ilikuwa kuja kuwa mfanyakazi wa taasisi flani za kifedha.

Tena huko zinakotokea. Leo hii ni mwalimu ninayefundisha Jiografia na Kiingereza, mwaka zaidi ya wa 10 kazini, hakuna gari hakuna nyumba hakuna heshima nyumbani.

Ndugu yangu, akiwa ameyashika vizuri masomo ya Sayansi hadi kidato cha tano na kuwa na ndoto lukuki za kuwa daktari. Ghafla bin vuu nae Sasa huu mwaka wa 5 anasotea kazi tu ya ualimu bila mafanikio. Ni ualimu wa shule ya msingi nauzungumzia ndugu wanaJF

Ndugu mwingine baada ya kufika kidato cha nne alikuwa na ndoto ya kuwa askari. Sasa hivi anakesi mahakamani baada ya kumgonga mtu akiwa katika shughuli zake za bodaboda.

Dada zangu wote wapo nyumbani, shuleni hata somo la kirai kwao halikupanda. Wapo tu nyumbani wanachoma mkaa.

Binti yangu, nikiwa nimejaribu kuweka nguvu nyingi sana na kwa muda mrefu Kwakweli Ili asome, tena masomo haya ya sayansi (kutokana na uelekeo wa Dunia kwa Sasa); hajui hata 1 + 1 jibu ni ngapi, hajui Archimedes principle Wala Newtown's 1st law of motion.

Nikiwa mfariji na mtegemewa mkuu wa familia yetu hii, najihisi kuchanganyikiwa. Wanaotegemea pia nao wanachanganyikiwa siku baada ya siku. Tuko vururu vururu, hakuna ndoto tena.
Pole sana mkuu, I feel you pinch! Mshirikishe Mungu!
 
Back
Top Bottom