Mkuu pole kwa changamoto, badili mawazo yako, hayo mawazo unayojiwazia yanazidi kuattract hali unayopitia.......
Jiangalie kwa upande wako mzuri pia Mungu aliokupa, shukuru kwa kazi ulionayo kuna wengine wamesoma hata hiyo kazi tu hawana. Shukuru
Jiwazie positive, amka, panga, chukua hatua.