t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Inategemea unapambana na nani! Kundi la watu tisa halafu utoe silaha ya jadi kupambana ineza kukusababishia umauti ,!Kuwa na silaha za jadi ndani ya nyumba ni muhimu.
My advise ukiona kundi la watu wengi wamekuvamia wanataka mali ni bora kutopambana , I learned it the hard way.