Familia ya Bakhresa azam ina mamluki sana mtapigwa sana hata mumsajili nani

Familia ya Bakhresa azam ina mamluki sana mtapigwa sana hata mumsajili nani

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Hapo Azam kuna watu NI Simba na Yanga lialia hawana mapenzi na timu

Hapo watu wakija wanakuja kama kusomba hela tuu

USHAURI WANGU:
Kuanzia benchi la ufundi wote watoke nnje ya nchi wasiwe watanzania

Fumua uongozi wote, tena kama popat ndio Simba lialia, wakina zaka wote wale Wana timu zao wanaihujumu timu, uongozi wote ajira wageni hela si ipo, mkiajiri WABONGO mtafeli Sana watu Wana timu zao
 
Hapo Azam kuna watu NI Simba na Yanga lialia hawana mapenzi na timu

Hapo watu wakija wanakuja kama kusomba hela tuu

USHAURI WANGU:
Kuanzia benchi la ufundi wote watoke nnje ya nchi wasiwe watanzania

Fumua uongozi wote, tena kama popat ndio Simba lialia, wakina zaka wote wale Wana timu zao wanaihujumu timu, uongozi wote ajira wageni hela si ipo, mkiajiri WABONGO mtafeli Sana watu Wana timu zao
sasa wao wenyewe ni simba sasa mamluki yupi tena?
 
Wakati mwingine uwe na akili timamu, azam wametolewa na APR sasa Yanga na Simba zinaingiaje hapo, kuhusu benchi la ufundi kutoka nje mbona hilo walishafanya na hawakuwaweza hao Yanga na Simba.
 
Hapo Azam kuna watu NI Simba na Yanga lialia hawana mapenzi na timu

Hapo watu wakija wanakuja kama kusomba hela tuu

USHAURI WANGU:
Kuanzia benchi la ufundi wote watoke nnje ya nchi wasiwe watanzania

Fumua uongozi wote, tena kama popat ndio Simba lialia, wakina zaka wote wale Wana timu zao wanaihujumu timu, uongozi wote ajira wageni hela si ipo, mkiajiri WABONGO mtafeli Sana watu Wana timu zao
Popat humjui wewe.Abdulkarim Popat ni Yanga wa kulialia sana.Sisi tunaomfahamu hatuna shaka na uwananchi wake.
 
pale ni kujaza wachezaji kama 36 na salary za Kawaida. asiye pambana achezi simple watu wakae benchi hadi waoze. mind set ita change sana.

bonus ni wachezaji walio anza tu
Hata CEO Yule NI WA kuondoa, ndio inasemakana kwenye mech za simba anafanya figisu NI Simba lialia
 
Yanga na Simba hazihusiki kabisa na kufanya vibaya kwa Azam,wao waendelee kujitafuta kwenye kujenga team shida ya Azam ni wanafanya gambling kwenye mpira
Huwezi kuuza Kipre au kumuacha Dube kirahisi wakati unajenga team ,Azam ya Sasa ni mbovu sana Bora ya msimu ulioisha yule Dabo ni WA kuondoa pale haraka sana Bora na zahera au mgunda wapewe team
 
Na kimataifa nako uSimba na uyanga unahusikaje hebu nifafanulie kidogo. Kwani mashabiki wa Simba na Yanga hawataki Azam afike mbali kimataifa?
hao wamiliki wa azam wote ni simba,kwenye mashindano ya kimataifa hawaweki nguvu yoyote,nguvu zao huziweka siku wanacheza na yanga
 
Hapo Azam kuna watu NI Simba na Yanga lialia hawana mapenzi na timu

Hapo watu wakija wanakuja kama kusomba hela tuu

USHAURI WANGU:
Kuanzia benchi la ufundi wote watoke nnje ya nchi wasiwe watanzania

Fumua uongozi wote, tena kama popat ndio Simba lialia, wakina zaka wote wale Wana timu zao wanaihujumu timu, uongozi wote ajira wageni hela si ipo, mkiajiri WABONGO mtafeli Sana watu Wana timu zao
Hoja yako ni mfu! Huyo Popat na Zakaza kazi wana impact gani uwanjani? Huwa wanawaambia wachezaji wafungwe?
 
Back
Top Bottom