Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Zipo nchi ambazo ni lazima ziendeshwe na mkono wa chuma moja wapo ni Syria! (Time shall tell)Bora huko Urusi ana hakikisho la usalama.
Huko Dubai wangeweza kumgeuka na kumkabidhi kwa waasi waliompindua Ili wamshitaki kwa jinai alizofanya.