Familia ya Bashar Assad

Familia ya Bashar Assad

Naona hapo wamepoteza utu wao na nchi yao pia
Kuwa mkimbizi ni kitu kibaya sana mkuu
Unapoteza identity yako
Hela sio kila kitu mkuu especially za kujigawia
Sawa kabisa. Wanaenda kuishi Urusi kama vile wako “under house arrest” na hizo $2bn zao! No freedom of movement or speech.

Yaani hapa duniani mtu unaweza kuwa na US$ 2bn na usiwe na raha!!???
 
Sawa kabisa. Wanaenda kuishi Urusi kama vile wako “under house arrest” na hizo $2bn zao! No freedom of movement or speech.

Yaani hapa duniani mtu unaweza kuwa na US$ 2bn na usiwe na raha!!???
Yaani ni mtihani tu
 
Mzuka wanajamvi!

Picha ya Familia ya dikteta aliyepinduliwa na waasi nchini Syria Bashar Al Assad ambaye anaanza maisha mapya Moscow akiwa na utajiri wa dollars za kimarekani 2 billion.
View attachment 3173356

Kushoto kwenda kulia ni binti yake wa kipekee Zein, Yeye, mke wake Asma, na vijana wake Karim na Hafez.

Angalau wangekimbilia Dubai wale bata la uhakika hadi mauti kuliko urusi kumepoa ambapo mamilionea na mabilionea wanapatoroka.
Ni zao yao sasa kuishi kama Digidigi
 
Sawa kabisa. Wanaenda kuishi Urusi kama vile wako “under house arrest” na hizo $2bn zao! No freedom of movement or speech.

Yaani hapa duniani mtu unaweza kuwa na US$ 2bn na usiwe na raha!!???
Sisi maskini tunasemaga pesa hailete furaha🤣🤣🤣
 
Raha na chungu ya madaraka.
Hivi ni nini huwa kinawaziba akili viongozi wanasubiri kufurushwa?
Raha kuondoka/kustaafu kwa amani kisha unakula mema ya nchi ukishuhudia wenzio walioshika usukani.
Hebu waje wajifunze Tanzania.
 
Mzuka wanajamvi!

Picha ya Familia ya dikteta aliyepinduliwa na waasi nchini Syria Bashar Al Assad ambaye anaanza maisha mapya Moscow akiwa na utajiri wa dollars za kimarekani 2 billion.
View attachment 3173356

Kushoto kwenda kulia ni binti yake wa kipekee Zein, Yeye, mke wake Asma, na vijana wake Karim na Hafez.

Angalau wangekimbilia Dubai wale bata la uhakika hadi mauti kuliko urusi kumepoa ambapo mamilionea na mabilionea wanapatoroka.
asikudanganye mtu fikiria ndugu zako uhuru wako hata uwe na pesa kiasi gani kuishi uhamishoni ni mtihani sana. hapo dubai kiongozi akibadilika akaja mwingine ambaye hakubaliani na wewe akaamua kukurudisha au uhame tena. Nyumbani ni nyumbani tu hakuna utajiri duniani kama kuishi na kuwa na watu hata kama ni maskini ila kuwa na upendo na watu. Hizi mali zote mwisho wa siku tutaziacha ila ukiwa na watu hata kwa kukutaja tu mema yako naamini ukifa Mungu atakupa mema.
 
Back
Top Bottom