Familia ya Diamond yatilia shaka mimba ya Zari

Familia ya Diamond yatilia shaka mimba ya Zari

Niuone wapi binamu nimeona uzi kufungua tu umeshafutwa.
Weka huko insta basi tujionee sie maana hizi sheria za JF zunatubana sana.

Nimeweka ila bado hapajachangamka, nasubir followers wajae kidogo nishushe vitu,mmh ni shidaa usije ukaipigia punyeto tu
 
Katunzi katulia tulii anasubiria mbegu yake, huyu ngonyani mwache auzie sura mimba za watu maana hana uwezo wa kumpa mwanamke mimb

Kama Diamond hana uhakika kama ni yake huyo katunzi amejuaje ni yake wakati mtoto hajazaliwa?,,,,,,,,Mtu pekee wa kujua Baba wa mtoto ni Zari na wala si mwingine....kwa hiyo bora kusema mimba haina mwenyewe kuliko kusema siyo ya! Diamond ni ya Katunzi
 
Nimeweka ila bado hapajachangamka, nasubir followers wajae kidogo nishushe vitu,mmh ni shidaa usije ukaipigia punyeto tu

Hahahaaa hilo haliwezekani shemeji yako vizuri sana sina shida mie.
 
Kama Diamond hana uhakika kama ni yake huyo katunzi amejuaje ni yake wakati mtoto hajazaliwa?,,,,,,,,Mtu pekee wa kujua Baba wa mtoto ni Zari na wala si mwingine....kwa hiyo bora kusema mimba haina mwenyewe kuliko kusema siyo ya! Diamond ni ya Katunzi

Let your ears hear and your eyes see
 
Niuone wapi binamu nimeona uzi kufungua tu umeshafutwa.
Weka huko insta basi tujionee sie maana hizi sheria za JF zunatubana sana.

Umbea ulikua unahusu nini jamani huo warumi hebu utupie huku.
 
Last edited by a moderator:
Acheni unafik...kama sio wake nyie ndio mlio mtia hiyo mimba??!
 
Hapo ndo ndugu huwa wananichosha, ndio maana wanatakiwa wasiruhusiwe hata hatua moja kuingilia mahusiano ya mtu . Ndugu ni watu hatari kuliko hata mtu baki.
 
Chanzo hicho kikizidi kumwaga ubuyu mbele ya kinasa sauti chetu kwamba, baada ya Diamond kubanwa na nduguze, alithibitisha kuwa Zari ndiyo kila kitu kwake kwa sasa, hivyo wasiwe na shaka yoyote juu ya kiumbe kinachotarajiwa kuzaliwa.

Well................
Ndiyo kila kitu kwake "Kwa sasa"
 
Nilichokigundua kwenye hii post ni muendelelezo wa matangazo ya party ya mei mosi Hyu kijana anajua sana marketing hongera kwakwe
 
AHahaha binamu pole nasikia mlirudishwa na ubaloz wa Tz south, ndio ukome na wewe kutaka makubwa, hyo yote umpate binamu yangu Dinazarde matokeo yake umerud bongo patupu mxiuuuu

Hhhaaa akomeeee akajifanya kuzira jf karudi mwenyewee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom