Familia ya GSM ilivyotembea kwa magoti korido za Ikulu kuomba Hayati Magufuli asiwafunge

Kuna watu wakiona maisha yamewapiga hawana mipango chuki zao za kimasikin wanahamishia kwa matajiri, ila yote ni wivu tu uliowajaa kutokan na umaskin wao tafuta pesa mzee, laiti ungekuw nawe una hela usingepoteza muda wako kujaji pesa za wanaume wenzako mtoto wa kiume tafuta pesa hutawaonea wivu matajiri, yaaan kwa mikodi iliyojaa nchi hii ya umeme wa mgao me nipate nafasi ya kukwepa kodi niache hivi hvi!!! Subutu
 
Natamani kama stori iendelee....

All in all Tanzania ilipoteza tarehe 17.03.2021

JPM ni Rais anaeishi mioyoni mwa watu atakumbukwa daima.
Shukuru Mungu kuwa upepo wake haukukupitia!

Kumbuka: Wengine upepo uliwapitia kihalali (walikuwa waovu na mafisadi) na kuna wengine upepo uliwapitia kwa uonevu.
 
Sawa walipiga magoti sisi tufanyeje sasa?
Huna akili wewe! Kwa mawazo yako mepesi kama bao la kuku wewe hujaathirika na uhujumu huo uliofanywa na hao waarab hapo kwa miaka yote hiyo?! Rangi nyeusi hii aliyetulaani naona kashakufa... hivi seriously mtu unatoa jibu hili kuonesha wazi huumii na huelewi kinachoendelea. Mungu akusaidie, ungeenda shule ungeelewa. Tatizo watu weusi uzalendo ni "0%" na unafiki ni "100%"
 
Nawashangaaga sana wale jamaa wanaojipendekezaga na hao kina Salaah, sijui GSM sijui nani... hao jamaa ni washenzi tu! Ndo mana wenzetu watasha wanafanikiwa sana! Ufanikiwe nchini kwao na kodi usilipe halafu na humohumo nchini kwao unapata wafuasi wanajitia marafiki zako wa karibu huku unawanyonya tu πŸ˜‚

Dahh! Afrikaaaa ni nani alikuroga wewe na watu wako?!
 
Tumerogwa sie
 
Na jamaa sahvi wananyoosha balaa

Ova
 
Unamjua CAG!?..ni nani?!
Acha ufala wewe! Nina elimu ya kumzidi huyo CAG wenu huko chooni kwenu Bongo... Na wewe nikuulize unaijua siasa wewe?!

Hiadhi maneno na ripoti zake CAG wa sasa na msikilize tena Rais wenu huyo akishakufa au akistaafu utaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…