macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ukifukazana na mmoja mmoja hawataisha. Alichotakiwa kufanya ni kuufumua mfumo wa uongozi wa nchi na 2020 tuwe tumeanza na mfumo mpya. Viroboto wangekufa kifo kwa kukosa mazalio.Huwezi kuwamakiza viroboto kwa siku moja,wako wengi sana bandani
Sio rahisi kihivyo maana ni process ya miaka mingi,kabla hujatimiza azma wanakuwahi wewe labda uwe mafia kwelikweli kama Kagame au PutinUkifukazana na mmoja mmoja hawataisha. Alichotakiwa kufanya ni kuufumua mfumo wa uongozi wa nchi na 2020 tuwe tumeanza na mfumo mpya. Viroboto wangekufa kifo kwa kukosa mazalio.
Kabisa. Ni process ndefu ndiyo maana nimesema alitakiwa aanze mapema kwa kuufumua mfumo. Rais huwezi kufanya haya kwa awamu moja ila ukifanya vizuri wakati wa awamu yako unakuwa umeweka msingi imara kwa awamu inayofuata.Sio rahisi kihivyo maana ni process ya miaka mingi,kabla hujatimiza azma wanakuwahi wewe labda uwe mafia kwelikweli kama Kagame au Putin
"Tunaanza Upyaaaaaa" - Mh Bwege.Sasa wamerudi upyaaaaaa!
Mzee, sio kwamba sijui takwimu ila kuanza kupoteza muda kuandika takwimu ili tubishane tu huo upumbavu wa grade one.So hujui lolote kuhusu takwimu,unaharisha tu humu!?
Na Yanga juu, ukiona raisi au kiongozi mkuu ana urafiki mkubwa na wafanyabiashara jua huku nyuma kuna kitu, namkubuka baba wa taifa alisema Ikulu isigeuzwe pango la Wafanyabiashara enzi za mzee rukhsa wafanyabiashara hasa hawa wasio wamatumbi walikuwa wanaenda kumsalimia mzee na vifuko vya sandarusi, duniani kote wafanyabiashara wakubwa na wadogo, magenge ya maharamia wanataka kuwa karibu na viongozi wakuu ili wafanye mambo wanvyotaka, si tunawakumbuka akina Zuma, ndio shida ya hizi banana republic ,waacha niishie hapa nisijesekwa ndani kwa kudai naichonganisha serikali na wananchi, wakubwa hawataki na hawapendi kuambiwa ukweli wa madudu wanayoyafanya. Tutamkumbuka sana JPMSasa wamerudi upyaaaaaa!
Kwa hiyo utendaji wa serikali unapimwaje!?Mzee, sio kwamba sijui takwimu ila kuanza kupoteza muda kuandika takwimu ili tubishane tu huo upumbavu wa grade one.
Aliyeenda shule hachangiagi udedere kama wewe bogus! Walioenda shule maoni na michango yao inaonekana tu na hata kwa kusoma na kuchambua kwa haraka haraka utajua ni mtu wa aina gani... we bogus!Sikiliza nikuambie kitu kijana kutumia jina feki haimaanishi ukose adabu,kwataarifa yako nina elimu ya uhakika kuliko wewe ila hauwezi hata siku moja najisifu mbele za watu kwasababu katika harakati zangu za maisha nimekutana na watu wenye uelewa wa hali ya juu mno ila hawakwenda shule kama mimi, kwahiyo nikajifunza kumbe kwenda shule sio kujua kila kitu
Na ndo uongozi wa Dictatorship unataka hivyo... tulipofikia tunataka dictatorship mambo yaende sio usengeusenge tuChukulia ni kweli kilichondikwa, mzalendo gani anakiuka sheria na kutoa maamuzi mwenyewe tena Ikulu? Huoni alifanya makosa makubwa na sasa hivi ndiyo wamerudi upya? Angesema sheria ichukuwe mkondo wake huoni tatizo lingekuwa limeisha? Magufuli tatizo lake, miongoni mwa madhambi mengi ni kuwa alikuwa anaendesha nchi kama familia binafsi. Alikuwa anaamua nani akamatwe, nani asamehewe, nani auawe na nani afungwe. Wazalendo hawako hivyo.
Sasa mbonq singer hakufungwa na Rugemalila?,, Tatizo wabongo mna mentality za kijamaa,, kila tajiri mnamuona bepari,, huu ujinga na majungu dhidi ya watu matajiri huwezi kuuona katika nchi zilizostaarabika kama kenya😂.Chukulia ni kweli kilichondikwa, mzalendo gani anakiuka sheria na kutoa maamuzi mwenyewe tena Ikulu? Huoni alifanya makosa makubwa na sasa hivi ndiyo wamerudi upya? Angesema sheria ichukuwe mkondo wake huoni tatizo lingekuwa limeisha? Magufuli tatizo lake, miongoni mwa madhambi mengi ni kuwa alikuwa anaendesha nchi kama familia binafsi. Alikuwa anaamua nani akamatwe, nani asamehewe, nani auawe na nani afungwe. Wazalendo hawako hivyo.
JPM alikua komesha. Mungu amlaze pemaTunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM..
Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili.
Mwenyekiti alimkusudia kumrithisha kijiti rafiki yake wa kitambo Bernard Membe,lakini wana CCM walimtaka Edward Lowassa.
Baada ya jina la Magufuli kuibuka kidedea kuna watu hawakulala siku hiyo. Tena sio wapinzani, bali wafanyabiashara na mafisadi ndani ya CCM, walijua kiama chao kimefika.
Mojawapo wa wafanyabiashara hao ni familia ya Bwana Ghalib almaarufu kama GSM.
Tukirudi nyuma kidogo hii familia ina asili ya mkoa wa Tanga na mzee wao marehemu Said Mohamed ambaye alifariki mapema mwaka huu alihamia huko Kusini mwa Tanzania na kujikita na kilimo na biashara ya korosho, alipozeeka akawaachia biashara vijana wake waziendeleze.
Pia hii familia imekuwa na ukaribu na familia ya mstaafu JK kwa miaka mingi.
Tufahamu kuwa JK aliwapenda sana watu wa mkoa wa Tanga kuliko watu wa mkoa wowote uli, labda ni kwa sababu alisoma Tanga School au kwa sababu wilaya anayotokea iko jirani na mkoa wa Tanga sielewi.
Nikikupa hapa orodha ya watu wa mkoa wa Tanga ambao walibebwa na JK kipindi cha utawala wake utashangaa,wengine hakuna aliyekuwa akiwafahamu wakalama post kubwa za ukuu wa mkoa,wilaya hata uwaziri ,achilia mbali post zingine za juu.
Kipindi hiki cha JK ndipo familia hii ya GSM nayo ikaibuka kama uyoga, kupitia kampuni zao za HSC na Silent Ocean wakaigeuza Kariakoo kuwa Dubai ya Afrika au China ya Afrika, wafanyabiashara toka nchi jirani wakawa hawaendi tena China kufuata mzigo mambo yote yaliiishia kariakoo.
Umafia wa kiwango cha juu uliofanyika bandarini na TRA na kampuni hizi ulivutia wateja wengi, mzigo ulikombolewa bandarini fasta na kwa gharama ndogo.
Kumbe nyuma yake kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za bandari na kodi za TRA, mabilioni ya shilingi yalihujumiwa na hii familia.
Baada ya hii jina la JPM kupenya sasa ikawa patashika nguo kuchanika wakawata na kuwazua wakaamua kuiua kampuno ya HSC wakijua tu ikibaki hewani JPM atowaacha salama.
Kupitia kampuni ya Law Domain Adocate tarehe 19 oct 2015 siku chache kabla ya uchaguzi mkuu,wakafile A notice of resolution to wind up voluntarily. Hii kwa wasiojua sheria, wind up ni kusimamisha shughuli za kampuni kisheria.
Walisahau kitu kimoja ila wakaja kukikumbuka baadae kuwa jinai huwa haifi, pamoja na kuwind up HSC kisheria bado wangekamatwa na kujibu tuhuma hata kama kampuni haipo.
Ile Silent Ocean ilibaki kuoparate kwa sababu inasemekana haikusajiliwa Tanzania japo iliwakenga wafanyabiashara wa Tanzania.
Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani, naweza kusema mwezi mzima alikuwa akishinda kama sio bandarini basi ni TRA, mabosi wa taasisi hizo mbili vitambi viliporomoka.
Vijana wake wakamletea ripoti ya wakwepa kodi maarufu,jina la HSC na Silent Ocean likiwa kidedea pale juu.
Matumbo moto wakajua hapa Segerea inawahusu, kama Manji alilala Segerea who is GSM?
Kwa kutumia ushawishi wa vijana wa mstaafu wakaomba apointment mara kadhaa kuonana na JPM.
Appointment ikawa approved wakaitwa Ikulu, kwa makosa yao walitembea kwa magoti kwenye korido mpaka ofisini kwa JPM. Akiwa na sura iliyokasirika akawaambia sitaki maelezo lipeni hizo arreas au Segerea inawasubiri
Yakalipwa mabilioni kimyakimya GSM dhambi zao zikasamehewa.
Plea bargain kwa wasiojua ilianza na hawa mabwana ila yao ilikuwa ya kimya kimya.
Kuanzia siku hiyo JK na JPM wakawa watu wa kutupiana vijembe hadharani kama utani vile kumbe wanajua kinachoendelea, ukitaka kula lazima uliwe.
Ikulu kutamu jamani
Huyu ni fisadi na jizi mkubwa, tena ni afadhali unyamaze tu badala ya kumtetea. Usituchokoze na kutukumbusha machungu ya ufisadi wake tafadhali.Kikwete amestaafu bado maneno dhidi yake mengiii huyu atasema vile na huyu hivi. Mwacheni inatosha.
EmeeAlikuwa mzalendo wa kweli, mola ailaze roho yake mahali pema peponi!
Waswahili kwakweli mna kazi sana nikwamba wewe haunizidi chechote kile maishani kuanzia pesa,elimu na mafanikio kiujumla.........mitandaoni kuna mambo sana eti nawewe una elimu ya hgk ambayo unakaa unajisifia tena kwa mtu ambaye usikute ni umri wa baba yakoAliyeenda shule hachangiagi udedere kama wewe bogus! Walioenda shule maoni na michango yao inaonekana tu na hata kwa kusoma na kuchambua kwa haraka haraka utajua ni mtu wa aina gani... we bogus!
Umaskini unakusumbua sana na pia kutokana tangu jana upo period basi unachangia kwahasira mno hebu nikuambie kitu kimoja hamna uzalendo unaofundishwa darasani ila uzalendo unaanzia moyoni bila kujali dini,kabila wala elimu.....ewe mwanamke wa kisukuma fikiria kauli ya mumeo magufuli alipokiwaambia watu kuwa jimbo fulani sileti maendeleo kwasababu mumemchagua mbunge wa upinzani je hii ni sawa? Fikiria wale waliokavunjiwa nyumba dar halafu na mwanza nao wakaachiwa kwa kauli kuwa walimchagua je kwako ni sawa hata kama magufuli alikuwa mumeo?Na ndo uongozi wa Dictatorship unataka hivyo... tulipofikia tunataka dictatorship mambo yaende sio usengeusenge tu
Hadithi bila picha hainogi. Hebu weka picha tuone jinsi GSM alivyotembea kwa magoti ikulu.Tunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM..
Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili.
Mwenyekiti alimkusudia kumrithisha kijiti rafiki yake wa kitambo Bernard Membe,lakini wana CCM walimtaka Edward Lowassa.
Baada ya jina la Magufuli kuibuka kidedea kuna watu hawakulala siku hiyo. Tena sio wapinzani, bali wafanyabiashara na mafisadi ndani ya CCM, walijua kiama chao kimefika.
Mojawapo wa wafanyabiashara hao ni familia ya Bwana Ghalib almaarufu kama GSM.
Tukirudi nyuma kidogo hii familia ina asili ya mkoa wa Tanga na mzee wao marehemu Said Mohamed ambaye alifariki mapema mwaka huu alihamia huko Kusini mwa Tanzania na kujikita na kilimo na biashara ya korosho, alipozeeka akawaachia biashara vijana wake waziendeleze.
Pia hii familia imekuwa na ukaribu na familia ya mstaafu JK kwa miaka mingi.
Tufahamu kuwa JK aliwapenda sana watu wa mkoa wa Tanga kuliko watu wa mkoa wowote uli, labda ni kwa sababu alisoma Tanga School au kwa sababu wilaya anayotokea iko jirani na mkoa wa Tanga sielewi.
Nikikupa hapa orodha ya watu wa mkoa wa Tanga ambao walibebwa na JK kipindi cha utawala wake utashangaa,wengine hakuna aliyekuwa akiwafahamu wakalama post kubwa za ukuu wa mkoa,wilaya hata uwaziri ,achilia mbali post zingine za juu.
Kipindi hiki cha JK ndipo familia hii ya GSM nayo ikaibuka kama uyoga, kupitia kampuni zao za HSC na Silent Ocean wakaigeuza Kariakoo kuwa Dubai ya Afrika au China ya Afrika, wafanyabiashara toka nchi jirani wakawa hawaendi tena China kufuata mzigo mambo yote yaliiishia kariakoo.
Umafia wa kiwango cha juu uliofanyika bandarini na TRA na kampuni hizi ulivutia wateja wengi, mzigo ulikombolewa bandarini fasta na kwa gharama ndogo.
Kumbe nyuma yake kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za bandari na kodi za TRA, mabilioni ya shilingi yalihujumiwa na hii familia.
Baada ya hii jina la JPM kupenya sasa ikawa patashika nguo kuchanika wakawata na kuwazua wakaamua kuiua kampuno ya HSC wakijua tu ikibaki hewani JPM atowaacha salama.
Kupitia kampuni ya Law Domain Adocate tarehe 19 oct 2015 siku chache kabla ya uchaguzi mkuu,wakafile A notice of resolution to wind up voluntarily. Hii kwa wasiojua sheria, wind up ni kusimamisha shughuli za kampuni kisheria.
Walisahau kitu kimoja ila wakaja kukikumbuka baadae kuwa jinai huwa haifi, pamoja na kuwind up HSC kisheria bado wangekamatwa na kujibu tuhuma hata kama kampuni haipo.
Ile Silent Ocean ilibaki kuoparate kwa sababu inasemekana haikusajiliwa Tanzania japo iliwakenga wafanyabiashara wa Tanzania.
Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani, naweza kusema mwezi mzima alikuwa akishinda kama sio bandarini basi ni TRA, mabosi wa taasisi hizo mbili vitambi viliporomoka.
Vijana wake wakamletea ripoti ya wakwepa kodi maarufu,jina la HSC na Silent Ocean likiwa kidedea pale juu.
Matumbo moto wakajua hapa Segerea inawahusu, kama Manji alilala Segerea who is GSM?
Kwa kutumia ushawishi wa vijana wa mstaafu wakaomba apointment mara kadhaa kuonana na JPM.
Appointment ikawa approved wakaitwa Ikulu, kwa makosa yao walitembea kwa magoti kwenye korido mpaka ofisini kwa JPM. Akiwa na sura iliyokasirika akawaambia sitaki maelezo lipeni hizo arreas au Segerea inawasubiri
Yakalipwa mabilioni kimyakimya GSM dhambi zao zikasamehewa.
Plea bargain kwa wasiojua ilianza na hawa mabwana ila yao ilikuwa ya kimya kimya.
Kuanzia siku hiyo JK na JPM wakawa watu wa kutupiana vijembe hadharani kama utani vile kumbe wanajua kinachoendelea, ukitaka kula lazima uliwe.
Ikulu kutamu jamani
Lengo sio kufa kwa ajiili ya nchi yakoWamjini wapo kazini cowboys tupo pembeni jamani. Ila lake zone Ni kiboko kwa uongozi. Hawatakigi utani Mana watu wao na wao Ni masikini so wanayo Ile feel yake.
Ila wengine wao Ni kujichotea ama kuiba hela za wananchi masikini kwa manufaa yao binafsi.cheki kwanza kwa taizi la malipo ya Arab contractor kinachoendelea,Mara Kuna 69bn za software ya kufuatilia umeme kukatika tu. Symbion wamefaulu kesi wanalipwa 300bn.
Yaani lake zone Ni Cuba ya Fidel ama Bolivia ya Che guavara, Thomas Sankara,jf Kennedy,Maduro,hugo Chavez ,Gadafi wa Libya,wale viongozi walio tayari kuifia nchi zao. Jamani msinishambulie Ila Kuna ukweli cheki uhalisia.