Familia ya GSM ilivyotembea kwa magoti korido za Ikulu kuomba Hayati Magufuli asiwafunge

Familia ya GSM ilivyotembea kwa magoti korido za Ikulu kuomba Hayati Magufuli asiwafunge

I doubt kama kuna ukweli wowote katika hili....

1. Ambao walikumbana na mkono wa JPM ama hawakuinuka tena au wali-struggle sana kuinuka!

Kinyume chake, GSM hawakutetereka kabisa... na hata kama watu mnajisahaulisha, GSM waling'ara zaidi kipindi cha JPM pengine kuliko hata wakati wa JK!

Minoti ya GSM ikaanza kuonekana wazi wazi hadharani kipindi cha JPM pale walipoanza kujihusisha moja kwa moja na Yanga!!

2. Ukimhusisha GSM na JK hapo ndo unavuruga kila kitu!!

Pamoja na mambo yake yote, JPM aliwakumbatia sana Vigogo wa CCM na Watendaji Wakuu wa Serikali.

Ni kutokana na ukweli huo, ndo maana hadi siku Mwenyezi Mungu anamchukua, JPM hakuwahi kumgusa any high profile CCM Politician and Top Govt Executive!

JPM alisimamisha miradi mingi ya ujenzi kama sio yote ya NSSF kwa madai kwamba kuna ufisadi mkubwa!

Kama kuna ufisadi mkubwa, vipi kuhusu wahusika wa huo ufisadi?! DG wa NSSF akampa Ubalozi Malaysia!!!

Hata hasimu wake mkuu Bernard Membe, aliishia tu kuongea kwa mafumbo kwamba "...kule Lindi watu wametafuna Sh 20B" lakini hakumtaja hata kwa jina!

And guess what... mwaka jana nilienda nyumbani kwao Membe! Kwa hali niliyoikuta pale, kuna kila dalili kwamba Magu aliongea ukweli kuhusu "watu kutafuna 20B kule Lindi"!

Je, alimfanya nini?!

Sasa ikiwa hata Membe hakumfanya kitu zaidi ya kumwadhibu kisiasa, ndo aguse maslahi ya JK?! Au hizi habari za JK na GSM hazina ukweli wowote?

3. Hivi mlilifuatilia vizuri Sakata la Makinikia? Wakati mambo yapo HOT, watu wakanza kumhusisha JK na mikataba ya madini wakati akiwa waziri Wizara ya Nishati na Madini!

Katika kutekeleza "mahaba" ya JPM kwa Wastaafu kwamba waachwe wapumzike, Ripoti ya 2 ya Makinikia (Ripoti ya Profesa Oroso) ikaja na hili:-
View attachment 2435158

Kwa wasiofahamu, huyo Waziri anayetajwa kwenye Ripoti ya Makinikia 2 kwamba "alipambana kwa jasho na damu kuhakikisha maslahi ya taifa yanalindwa" ni Jakaya Kikwete!

Ukiisoma ripoti ile, utaona mikataba YOTE ya madini ambayo ilisainiwa tangu enzi za Mwinyi ilikuwa na kasoro EXCEPT, mikataba iliyosainiwa na JK!!

Na kule bungeni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Hassan Zungu akapiga marufuku mijadala ya kibunge iliyokuwa inataka wastaafu wahojiwe!

Magu alimaanisha alipokuwa anasema waacheni wazee wapumzike!

Hakutaka kabisa kuwagusa Vingunge wa CCM! Ni kutokana na ukweli ndo maana napata shaka sana kuamini haya unless kama HAKUNA UKWELI wowote kuhusu JK kuhusika na GSM!

4. JK pamoja na tuhuma zake nyingi lakini mwishowe akaona Rostam Azizi na Swahibu ake Lowassa ni liability!!

Baada ya JK kuasisi "Kujivua Gamba", RA akasusa siasa za Bongo na akapotea kabisa kwenye mainstream politics!

Hivi nchi hii kuna mtu alikuwa na tuhuma nyingi kumzidi RA?!

Je, RA alifanywa nini zaidi ya kuanza tena kujipenyeza serikalini kipindi cha JPM?! Au pia tukumbushane kwamba ni JPM ndie--

View attachment 2435130

Narudia, JPM aliwalinda sana Vigogo wa CCM, na kama mnaamini GSM ni mkono wa kuume wa JK, basi JPM asingewagusa!

5. Watu mnadanganyana kwamba JK hakumtaka JPM bali alimtaka swahibu ake Membe!

Ukweli ni kwamba, ni janja janja ya Membe ndiyo iliwafanya watu waamini yeye ndo chaguo la JK! Membe ni mpole lakini ni mjanja sana! Kama umepata kukaa pamoja na Membe na kuongea nae utalifahamu hili!

Binafsi, nimewahi kukaa na Membe face to face, tena at a comfort zone, living room kwake! The guy is CLEVER!

Ni ujanja ujanja wake huu akafikia hadi kuaminisha watu kwamba yeye ndo Chaguo #1 la Mr. President! Watu wakafikia hadi kusema eti Membe na JK ni ndugu wa damu wakati hakuna ukweli wowote!!

Na wengi mnaaminishana ni Mkapa ndie ka-influence JPM kuwa Rais kinyume na matakwa ya sitting president!

Hapa nawakumbusha tu kwamba kutokana na mifumo mibovu, nchi hii Rais ndo kila kitu! Kama Jk angemtaka Membe basi hakuna ambae angemzuia!

Rais: Yeye ndo Mwenyekiti wa Chama Tawala! Yeye ndo Amiri Jeshi Mkuu, yeye ndo Mwenyekiti wa Baraza la Usalama, yeye ndo "Jaji Mkuu", yeye ndo "Askofu Mkuu", yeye ndo "Mufti na Kadhi" etc etc etc!

Atakacho, HAKUNA WA KUMZUIA!

Mambo nyeti yanajadiliwa kwenye National Security Council ambayo, unless Sheria ya 2010 iwe imebadilishwa, Rais Mstaafu sio Mjumbe wa NSC ingawaje anaweza kuwepo kwenye kikao kwa MWALIKO!

Sasa huyo Rais Mstaafu influence ya kuweka rais amtakaye yeye ataitoa wapi?!

Kikao pekee nyeti ambacho Rais Mstaafu ni mjumbe ni Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM! Hiki ndicho kikao ambacho, kinadharia, ndicho kinafanya mchujo!

Nasema kinadharia kwa sababu, practically, sitting president anaenda kwenye hicho kikao akiwa tayari na watu wake.

Anaenda pale kutetea tu wale alioona wanastahili kuingia kwenye Top 5!

Wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015 Mark Mwandosya aliwahi kulalamika kwamba "Mwenyekiti alikuwa anatembea na majina yake mfukoni"!

He's damn right!

JK alifika kwenye Kamati ya Maadili na Usalama akiwa na majina yake 5 huku EL na wenzake wakiwa wamekatwa juu kwa juu, na sio kwamba walikatwa na Kamati...

...kamati ili-rubber stamp tu maamuzi ya rais!

JK alivyo mjanja, akampeleka Membe Top 5 huku akiwa amemchinja EL! Unadhani JK ni stupid na hakufahamu kwamba hasira za Watu wa Lowassa zingekuwa ni kutompa kura Membe?!

Anyway, Rais Mstaafu pekee ambae alikuwa na ubavu wa ku-influence maamuzi ya sitting president ni Nyerere ambae alimtaka Mkapa awe Rais, na akawa!

But look... huyo huyo Nyerere baada ya kumpa urais Mkapa, baada ya hapo akashindwa kumdhibiti coz' Rais ndo kila kitu!

Siku NBC inaingizwa mnadani Nyerere alibaki kunung'unika tu lakini hakuwa na ubavu wa kumzuia Mkapa!!

So, always JPM alifahamu kama JK asingetaka, basi hata yeye huo Urais asingeupata! Na ni kutokana na hilo, ndo maana mara zote JPM alikuwa anasisitiza "waacheni wazee wapumzike"!

Hapo aliyekuwa analengwa aachwe apummzike ni JK kwa sababu ndie alikuwa anaandamwa sana!

Sema ndo vile tu, zikifika siku za mwezi mchanga, unakuta JPM huyo huyo anapiga vijembe wazee!

JPM aliendelea kuwabeba hata watu wa JK. Mchukulie Said Mtanda kwa mfano! Yule alikuwa hafahamiki kabisa kwenye system.

Lakini kwavile babake Said Mtanda alistaafia B'moyo na kuishi jirani na familia ya JK, bond kati ya JK and Mtanda Family ikaanza hapo!

Said Mtanda na Rizimoko na wenyewe wamekua pamoja!

So, kwavile Said Mtanda hakuwa na issue ya maana mjini, Membe na JK wakampeleka Mchinga kugombea ubunge in 2010 lakini 2015 akatoswa na Wananchi!

JPM hadi anaingia kaburini hakumtupa Said Mtanda! "Mtu wa JK" ambae alimpiga chini ni yule ambae alikuwa DC wa Geita enzi za JK!

Huyu alipigwa chini na Magu kwa sababu basically, hakuwa mtu wa JK bali alikuwa mtu wa Membe!!

Hivi tukumbushane kwamba hata Salma alipewa ubunge kwa heshima ya Mstaafu!!
Umeongea ukweli mwingi sana hapa Ila Kuna sehemu umepuyanga, maana yote uliyosema nayajua
 
I doubt kama kuna ukweli wowote katika hili....

1. Ambao walikumbana na mkono wa JPM ama hawakuinuka tena au wali-struggle sana kuinuka!

Kinyume chake, GSM hawakutetereka kabisa... na hata kama watu mnajisahaulisha, GSM waling'ara zaidi kipindi cha JPM pengine kuliko hata wakati wa JK!

Minoti ya GSM ikaanza kuonekana wazi wazi hadharani kipindi cha JPM pale walipoanza kujihusisha moja kwa moja na Yanga!!

2. Ukimhusisha GSM na JK hapo ndo unavuruga kila kitu!!

Pamoja na mambo yake yote, JPM aliwakumbatia sana Vigogo wa CCM na Watendaji Wakuu wa Serikali.

Ni kutokana na ukweli huo, ndo maana hadi siku Mwenyezi Mungu anamchukua, JPM hakuwahi kumgusa any high profile CCM Politician and Top Govt Executive!

JPM alisimamisha miradi mingi ya ujenzi kama sio yote ya NSSF kwa madai kwamba kuna ufisadi mkubwa!

Kama kuna ufisadi mkubwa, vipi kuhusu wahusika wa huo ufisadi?! DG wa NSSF akampa Ubalozi Malaysia!!!

Hata hasimu wake mkuu Bernard Membe, aliishia tu kuongea kwa mafumbo kwamba "...kule Lindi watu wametafuna Sh 20B" lakini hakumtaja hata kwa jina!

And guess what... mwaka jana nilienda nyumbani kwao Membe! Kwa hali niliyoikuta pale, kuna kila dalili kwamba Magu aliongea ukweli kuhusu "watu kutafuna 20B kule Lindi"!

Je, alimfanya nini?!

Sasa ikiwa hata Membe hakumfanya kitu zaidi ya kumwadhibu kisiasa, ndo aguse maslahi ya JK?! Au hizi habari za JK na GSM hazina ukweli wowote?

3. Hivi mlilifuatilia vizuri Sakata la Makinikia? Wakati mambo yapo HOT, watu wakanza kumhusisha JK na mikataba ya madini wakati akiwa waziri Wizara ya Nishati na Madini!

Katika kutekeleza "mahaba" ya JPM kwa Wastaafu kwamba waachwe wapumzike, Ripoti ya 2 ya Makinikia (Ripoti ya Profesa Oroso) ikaja na hili:-
View attachment 2435158

Kwa wasiofahamu, huyo Waziri anayetajwa kwenye Ripoti ya Makinikia 2 kwamba "alipambana kwa jasho na damu kuhakikisha maslahi ya taifa yanalindwa" ni Jakaya Kikwete!

Ukiisoma ripoti ile, utaona mikataba YOTE ya madini ambayo ilisainiwa tangu enzi za Mwinyi ilikuwa na kasoro EXCEPT, mikataba iliyosainiwa na JK!!

Na kule bungeni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Hassan Zungu akapiga marufuku mijadala ya kibunge iliyokuwa inataka wastaafu wahojiwe!

Magu alimaanisha alipokuwa anasema waacheni wazee wapumzike!

Hakutaka kabisa kuwagusa Vingunge wa CCM! Ni kutokana na ukweli ndo maana napata shaka sana kuamini haya unless kama HAKUNA UKWELI wowote kuhusu JK kuhusika na GSM!

4. JK pamoja na tuhuma zake nyingi lakini mwishowe akaona Rostam Azizi na Swahibu ake Lowassa ni liability!!

Baada ya JK kuasisi "Kujivua Gamba", RA akasusa siasa za Bongo na akapotea kabisa kwenye mainstream politics!

Hivi nchi hii kuna mtu alikuwa na tuhuma nyingi kumzidi RA?!

Je, RA alifanywa nini zaidi ya kuanza tena kujipenyeza serikalini kipindi cha JPM?! Au pia tukumbushane kwamba ni JPM ndie--

View attachment 2435130

Narudia, JPM aliwalinda sana Vigogo wa CCM, na kama mnaamini GSM ni mkono wa kuume wa JK, basi JPM asingewagusa!

5. Watu mnadanganyana kwamba JK hakumtaka JPM bali alimtaka swahibu ake Membe!

Ukweli ni kwamba, ni janja janja ya Membe ndiyo iliwafanya watu waamini yeye ndo chaguo la JK! Membe ni mpole lakini ni mjanja sana! Kama umepata kukaa pamoja na Membe na kuongea nae utalifahamu hili!

Binafsi, nimewahi kukaa na Membe face to face, tena at a comfort zone, living room kwake! The guy is CLEVER!

Ni ujanja ujanja wake huu akafikia hadi kuaminisha watu kwamba yeye ndo Chaguo #1 la Mr. President! Watu wakafikia hadi kusema eti Membe na JK ni ndugu wa damu wakati hakuna ukweli wowote!!

Na wengi mnaaminishana ni Mkapa ndie ka-influence JPM kuwa Rais kinyume na matakwa ya sitting president!

Hapa nawakumbusha tu kwamba kutokana na mifumo mibovu, nchi hii Rais ndo kila kitu! Kama Jk angemtaka Membe basi hakuna ambae angemzuia!

Rais: Yeye ndo Mwenyekiti wa Chama Tawala! Yeye ndo Amiri Jeshi Mkuu, yeye ndo Mwenyekiti wa Baraza la Usalama, yeye ndo "Jaji Mkuu", yeye ndo "Askofu Mkuu", yeye ndo "Mufti na Kadhi" etc etc etc!

Atakacho, HAKUNA WA KUMZUIA!

Mambo nyeti yanajadiliwa kwenye National Security Council ambayo, unless Sheria ya 2010 iwe imebadilishwa, Rais Mstaafu sio Mjumbe wa NSC ingawaje anaweza kuwepo kwenye kikao kwa MWALIKO!

Sasa huyo Rais Mstaafu influence ya kuweka rais amtakaye yeye ataitoa wapi?!

Kikao pekee nyeti ambacho Rais Mstaafu ni mjumbe ni Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM! Hiki ndicho kikao ambacho, kinadharia, ndicho kinafanya mchujo!

Nasema kinadharia kwa sababu, practically, sitting president anaenda kwenye hicho kikao akiwa tayari na watu wake.

Anaenda pale kutetea tu wale alioona wanastahili kuingia kwenye Top 5!

Wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015 Mark Mwandosya aliwahi kulalamika kwamba "Mwenyekiti alikuwa anatembea na majina yake mfukoni"!

He's damn right!

JK alifika kwenye Kamati ya Maadili na Usalama akiwa na majina yake 5 huku EL na wenzake wakiwa wamekatwa juu kwa juu, na sio kwamba walikatwa na Kamati...

...kamati ili-rubber stamp tu maamuzi ya rais!

JK alivyo mjanja, akampeleka Membe Top 5 huku akiwa amemchinja EL! Unadhani JK ni stupid na hakufahamu kwamba hasira za Watu wa Lowassa zingekuwa ni kutompa kura Membe?!

Anyway, Rais Mstaafu pekee ambae alikuwa na ubavu wa ku-influence maamuzi ya sitting president ni Nyerere ambae alimtaka Mkapa awe Rais, na akawa!

But look... huyo huyo Nyerere baada ya kumpa urais Mkapa, baada ya hapo akashindwa kumdhibiti coz' Rais ndo kila kitu!

Siku NBC inaingizwa mnadani Nyerere alibaki kunung'unika tu lakini hakuwa na ubavu wa kumzuia Mkapa!!

So, always JPM alifahamu kama JK asingetaka, basi hata yeye huo Urais asingeupata! Na ni kutokana na hilo, ndo maana mara zote JPM alikuwa anasisitiza "waacheni wazee wapumzike"!

Hapo aliyekuwa analengwa aachwe apummzike ni JK kwa sababu ndie alikuwa anaandamwa sana!

Sema ndo vile tu, zikifika siku za mwezi mchanga, unakuta JPM huyo huyo anapiga vijembe wazee!

JPM aliendelea kuwabeba hata watu wa JK. Mchukulie Said Mtanda kwa mfano! Yule alikuwa hafahamiki kabisa kwenye system.

Lakini kwavile babake Said Mtanda alistaafia B'moyo na kuishi jirani na familia ya JK, bond kati ya JK and Mtanda Family ikaanza hapo!

Said Mtanda na Rizimoko na wenyewe wamekua pamoja!

So, kwavile Said Mtanda hakuwa na issue ya maana mjini, Membe na JK wakampeleka Mchinga kugombea ubunge in 2010 lakini 2015 akatoswa na Wananchi!

JPM hadi anaingia kaburini hakumtupa Said Mtanda! "Mtu wa JK" ambae alimpiga chini ni yule ambae alikuwa DC wa Geita enzi za JK!

Huyu alipigwa chini na Magu kwa sababu basically, hakuwa mtu wa JK bali alikuwa mtu wa Membe!!

Hivi tukumbushane kwamba hata Salma alipewa ubunge kwa heshima ya Mstaafu!!
Umejitahid sana kufanya Uongo uonekane kama Kweli.

Anyway nimesoma.
 
Haya ni maneno wanayokaririshwa watu ili wamchukie JPM, yule jamaa asingekufa hii nchi ingeendelea sana kiuchumi....now hamna namna, tuendelee tu kuongozwa na mifisadi.
Ushahidi hata hawana,ni zengwe tu wameaamua kumpaka matope!!
 
Waswahili kwakweli mna kazi sana nikwamba wewe haunizidi chechote kile maishani kuanzia pesa,elimu na mafanikio kiujumla.........mitandaoni kuna mambo sana eti nawewe una elimu ya hgk ambayo unakaa unajisifia tena kwa mtu ambaye usikute ni umri wa baba yako
Sijasoma mitaala ya kishamba na ya kuandaliwa kuwa masikini wa mawazo, uchumi na kutawaliwa. POLE SANA MZEE UNAEZEEKA HATA 200M HUNA! UNAISHIA KUTETEA WANAUME WENZIO TENA WANA ASILI ZA MBALI(ASILI ZA KISHENZI) TENA MPAKA MISULI INAKUTOKA POLE SANA MZEE! LEA WAJUKUU NA TUMIA VIZURI PENSHENI USIJE KUISHIA KWENYE STROKE NA SUKARI.
 
Mkuu,hata kama ni Mimi ningefanya hivo hivo,hata siku nikipata fursa ya kupenya mafisadi watakoma sana!!

Nchi hii mlipa kodi wa uhakika ni mtumishi wa umma na wajasiria Mali wadogo wadogo !!

Haiwezekani watz hawafurahii matunda ya NCHI yao full kukandamizwa KWA kodi HUKU mafisadi yakitamalaki

KWA hili I stand with him!

Mungu ibariki nchi yangu Tanzania!
Mara nyingi mafisadi yako serikalini tena vyeo vya juu kabisa. Hawa wengine wanaonewa tu
 
Wamjini wapo kazini cowboys tupo pembeni jamani. Ila lake zone Ni kiboko kwa uongozi. Hawatakigi utani Mana watu wao na wao Ni masikini so wanayo Ile feel yake.
Ila wengine wao Ni kujichotea ama kuiba hela za wananchi masikini kwa manufaa yao binafsi.cheki kwanza kwa taizi la malipo ya Arab contractor kinachoendelea,Mara Kuna 69bn za software ya kufuatilia umeme kukatika tu. Symbion wamefaulu kesi wanalipwa 300bn.
Yaani lake zone Ni Cuba ya Fidel ama Bolivia ya Che guavara, Thomas Sankara,jf Kennedy,Maduro,hugo Chavez ,Gadafi wa Libya,wale viongozi walio tayari kuifia nchi zao. Jamani msinishambulie Ila Kuna ukweli cheki uhalisia.
Hakuna fisadi kama jiwe sasa!
 
Tunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM..

Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili.

Mwenyekiti alimkusudia kumrithisha kijiti rafiki yake wa kitambo Bernard Membe,lakini wana CCM walimtaka Edward Lowassa.

Baada ya jina la Magufuli kuibuka kidedea kuna watu hawakulala siku hiyo. Tena sio wapinzani, bali wafanyabiashara na mafisadi ndani ya CCM, walijua kiama chao kimefika.

Mojawapo wa wafanyabiashara hao ni familia ya Bwana Ghalib almaarufu kama GSM.

Tukirudi nyuma kidogo hii familia ina asili ya mkoa wa Tanga na mzee wao marehemu Said Mohamed ambaye alifariki mapema mwaka huu alihamia huko Kusini mwa Tanzania na kujikita na kilimo na biashara ya korosho, alipozeeka akawaachia biashara vijana wake waziendeleze.

Pia hii familia imekuwa na ukaribu na familia ya mstaafu JK kwa miaka mingi.
Tufahamu kuwa JK aliwapenda sana watu wa mkoa wa Tanga kuliko watu wa mkoa wowote uli, labda ni kwa sababu alisoma Tanga School au kwa sababu wilaya anayotokea iko jirani na mkoa wa Tanga sielewi.

Nikikupa hapa orodha ya watu wa mkoa wa Tanga ambao walibebwa na JK kipindi cha utawala wake utashangaa,wengine hakuna aliyekuwa akiwafahamu wakalama post kubwa za ukuu wa mkoa,wilaya hata uwaziri ,achilia mbali post zingine za juu.

Kipindi hiki cha JK ndipo familia hii ya GSM nayo ikaibuka kama uyoga, kupitia kampuni zao za HSC na Silent Ocean wakaigeuza Kariakoo kuwa Dubai ya Afrika au China ya Afrika, wafanyabiashara toka nchi jirani wakawa hawaendi tena China kufuata mzigo mambo yote yaliiishia kariakoo.

Umafia wa kiwango cha juu uliofanyika bandarini na TRA na kampuni hizi ulivutia wateja wengi, mzigo ulikombolewa bandarini fasta na kwa gharama ndogo.

Kumbe nyuma yake kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za bandari na kodi za TRA, mabilioni ya shilingi yalihujumiwa na hii familia.

Baada ya hii jina la JPM kupenya sasa ikawa patashika nguo kuchanika wakawata na kuwazua wakaamua kuiua kampuno ya HSC wakijua tu ikibaki hewani JPM atowaacha salama.

Kupitia kampuni ya Law Domain Adocate tarehe 19 oct 2015 siku chache kabla ya uchaguzi mkuu,wakafile A notice of resolution to wind up voluntarily. Hii kwa wasiojua sheria, wind up ni kusimamisha shughuli za kampuni kisheria.

Walisahau kitu kimoja ila wakaja kukikumbuka baadae kuwa jinai huwa haifi, pamoja na kuwind up HSC kisheria bado wangekamatwa na kujibu tuhuma hata kama kampuni haipo.

Ile Silent Ocean ilibaki kuoparate kwa sababu inasemekana haikusajiliwa Tanzania japo iliwakenga wafanyabiashara wa Tanzania.

Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani, naweza kusema mwezi mzima alikuwa akishinda kama sio bandarini basi ni TRA, mabosi wa taasisi hizo mbili vitambi viliporomoka.

Vijana wake wakamletea ripoti ya wakwepa kodi maarufu,jina la HSC na Silent Ocean likiwa kidedea pale juu.

Matumbo moto wakajua hapa Segerea inawahusu, kama Manji alilala Segerea who is GSM?

Kwa kutumia ushawishi wa vijana wa mstaafu wakaomba apointment mara kadhaa kuonana na JPM.

Appointment ikawa approved wakaitwa Ikulu, kwa makosa yao walitembea kwa magoti kwenye korido mpaka ofisini kwa JPM. Akiwa na sura iliyokasirika akawaambia sitaki maelezo lipeni hizo arreas au Segerea inawasubiri

Yakalipwa mabilioni kimyakimya GSM dhambi zao zikasamehewa.

Plea bargain kwa wasiojua ilianza na hawa mabwana ila yao ilikuwa ya kimya kimya.

Kuanzia siku hiyo JK na JPM wakawa watu wa kutupiana vijembe hadharani kama utani vile kumbe wanajua kinachoendelea, ukitaka kula lazima uliwe.

Ikulu kutamu jamani
Walivyo Lipa kimya kimya bila wenye nchi kutangaziwa hizo PESA ziliingia account gani???
 
Unapenda tuwe na watu kama makonda na sabaya? Au yule anayesema mukichagua upinzani sahauni mimi kuwaletea maendeleo jimboni kwenu? Au yule aliekabomoa nyumba dar ila kule mwanza akadai wasibomolewe kisa walimpigia kura?
Sasa kwann serekali ya Sasa HV isibomoe nyumba hzo alizozitetea magu
 
Sawa walipiga magoti sisi tufanyeje sasa?
Ombolezeni kwa mayowe!........ msiache kuomboleza hata kimoyo moyo basi!...yaani mjue unyama wa watoto wa wakulima ambao Mungu hakuwachagua kimaongozi!...msirudie tena kosa km hilo!
 
Back
Top Bottom