Wachawi ni makanji.. af ukizingartia bloodline ya malkia wa Sheba ni kulekule unaweza ku break codeMmmmm umenikumbusha awamu ile ya Ladwas ilipoiweka mfukoni awamu ya pili nhe wahindi hawa ni balaa!
Familia ya Kikwete sio kumuweka mfukoni Rais tu bali watanzania woteAfrika Kusini wakati wa utawala wa Zuma familia ya Gupta ilikuwa na uswahiba usiokuwa na afya na mtoto wa rais huyo.
Hii ikapekekea ufisadi mkubwa Sana kufanyika serikalini kupitia tenda zilizokabidhiwa kwa familia hiyo.
Hivi Sasa Kuna ufisadi unaowekwa wazi na CAG hapa Tanzania lkn mamlaka zianqpata kigugunizi kuchukua hatua.
Ndiyo maan tunajiuliza kuna Gupta family hapa Tanzania inayomsumbua rais Samia??
Kama amewekwa mfukoni ni udhaifu wake hata hivyo sishaangai rais kuwa hivyo fuatilia history yake mpaka alipohivi sasaAfrika Kusini wakati wa utawala wa Zuma familia ya Gupta ilikuwa na uswahiba usiokuwa na afya na mtoto wa rais huyo.
Hii ikapekekea ufisadi mkubwa Sana kufanyika serikalini kupitia tenda zilizokabidhiwa kwa familia hiyo.
Hivi Sasa Kuna ufisadi unaowekwa wazi na CAG hapa Tanzania lkn mamlaka zianqpata kigugunizi kuchukua hatua.
Ndiyo maan tunajiuliza kuna Gupta family hapa Tanzania inayomsumbua rais Samia??
Kuna tetesi aliekopa benki 5 nchini na kutoweka ni MHINDI PIAMmmmm umenikumbusha awamu ile ya Ladwas ilipoiweka mfukoni awamu ya pili nhe wahindi hawa ni balaa!
Duuh!Tanesco wanalipa mabilioni kulea vyura ulaya,