Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

Baada ya miaka mitatu mange na kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa karma karma na bado

R.I.P JPM

Hadi wanafungia kwenye mitandao ya kijamii
 
Unajua hata wakati wa Mobutu, na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.

Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!

Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!

Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.

Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais,
Maghu alikuwa mwizi, tu kama wezi wengine wa ccm,
 
Unajua hata wakati wa Mobutu, na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi

Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais,
Maghu alikuwa mwizi, tu kama wezi wengine wa ccm,

Muda utakujibu
 
Unajua hata wakati wa Mobutu, na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi

Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais,
Maghu alikuwa mwizi, tu kama wezi wengine wa ccm,
Yule alikuwa anawaza kuua pekee
 
Walitaka aachwe na alikuwa anahujumu ulinzi wa usalama wa nchi na mipaka yake ??? Alikuwa na Nia ovu ya kuidhooofisha nchi kiulinzi na utendaji Kivita Huku machoni kwa watu akifunika na kufanya miradi ya haha na pale ..

Amiri jeshi gani miaka yake alisitisha ajira majeshini ?? na hata akitoa zilikua Chache sana tena kwa kulenga kuingiza watu Fulani Fulani …..

Hata Vijana alioaaahidi ajira akashindwa kuwapa…

MIAKA yake yote hakuwezesha jeshi kwa silaha wala mafunzo [ mafunzo ya nje ndio kabisaaa] , waliostaafu na kufariki hapakuwa na wa kufidia nafasi zao [ career gap ] …

ALIANZA Mkakati haramu ambao Mwisho ulikuwa Mpango haramu wa himaya ya hima kujipanua kuja hadi GEITA kwa jina la MKOA Mpya ya Chato ambao waliudai hadi msibani [ Baada ya kustukiwa Nia ovu hiyo umemsikia Nani anadai tena MKOA wa Chato?? ] ule baadaye ungedai kujitenga na kuwa sehemu ya nchi jirani Kama wanavyopata shida Goma Leo…



Sio Ajabu kuugua bila uwepo wa mke au ndugu …kwasababu alikuwa captive wa state ….treason against the sorveregnity of the state .
 
Sukuma gang zimeanza kulia baada ya kuachwa kwenye mfumo
 
Gordian Magufuli kawa bilionea baada ya JPM kufariki, nadhani ndio zile hela zilikuwa zinawekwa kwenye kampuni ya ujenzi ambayo Goro aliwekeshwa kama mkurugenzi bandia, na pia uwakala wa simenti na sukari aliopewa kibabe kwa kuficha jina la JPM lisionekane.

Kabla ya hapo Gordian alikuwa anazurura na kisuzuki, na akitaka kutumia pikup nyeusi ya baba yake, lazima aombe kibali kwa JPM
Hakuna mtu ambae sio mwizi ccm na in fact wizi ni sifa ya Mtanzania na anaeiba Huwa anaonekana mjanja na kutetewa 🤣🤣

Ila wajinga wanaoitwa wanyonge hawawezi elewa hili.
 
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.

Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!

Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!

Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.

Baada ya miaka mitatu Mange na Kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais na Nape Nnauye ndiyo anahusika kuwafungia akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii! Kumbuka Nape alikuwa mlilia uhuru wa kutoa maoni nchini. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa hadi kufungiwa Instagram zao, karma is karma na bado.


Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Mkuu kwa wenzio muda ulisha jibu!
 
Waongo na wanafiki hasa kutokea chadema....
Jaribu kutumia akili hata kidogo.
Kuna wanafiki zaidi ya CCM?
Chadema wako against ccm sio magufuli....
Ndege hasara
Bwawa hasara
Kila kitu hasara...
🤝
 
Ficha upumbavu wako. Lengai yuko nje baada ya kukiri makosa yake kwa DPP na sio kwamba alishinda kesi. Tunafurahia mazuri ya JPM lakini haiondoi pia ukweli alikuwa na mabaya mengi ikiwamo kuwakumbatia majambazi kama Sabaya.
Yani kwa akili za waafrika FUTA kabisa kichwani mwako eti mbembelezane alafu mpate maendeleo kuna li taasisi lilikuwa linajiendesha kwa hasara mno akaletwa ngozi nyeupe mmoja tu kuwa msimamizi mbona palinyooka.

Sitakuja kukubaliana na slogan za jina lako hasa kwa kuwaongoza waafrika japo sisemi aliyoyafanya yule mzee ni mazuri ila ukitaka kwenda na mwafrika vile ndiyo inatakiwa siyo kuleana leana.
 
Familia ya Hayati Magufuli wala haina manung'uniko dhidi ya Chadema bali Chanzo Cha Matatizo (CCM). Maana wanajua Chadema hawajahusika kumuua Magu, ila CCM.

Hata sumu alizowahi kulishwa Magufuli akiwa Waziri, familia inajua hakulishwa na Chadema isipokuwa wale jamaa wasioachiana maji mezani.
📝🔊🆒💐🥂👌👍👊👏🙏⏳
 
Walitaka aachwe na alikuwa anahujumu ulinzi wa usalama wa nchi na mipaka yake ??? Alikuwa na Nia ovu ya kuidhooofisha nchi kiulinzi na utendaji Kivita Huku machoni kwa watu akifunika na kufanya miradi ya haha na pale ..

Amiri jeshi gani miaka yake alisitisha ajira majeshini ?? na hata akitoa zilikua Chache sana tena kwa kulenga kuingiza watu Fulani Fulani …..

Hata Vijana alioaaahidi ajira akashindwa kuwapa…

MIAKA yake yote hakuwezesha jeshi kwa silaha wala mafunzo [ mafunzo ya nje ndio kabisaaa] , waliostaafu na kufariki hapakuwa na wa kufidia nafasi zao [ career gap ] …

ALIANZA Mkakati haramu ambao Mwisho ulikuwa Mpango haramu wa himaya ya hima kujipanua kuja hadi GEITA kwa jina la MKOA Mpya ya Chato ambao waliudai hadi msibani [ Baada ya kustukiwa Nia ovu hiyo umemsikia Nani anadai tena MKOA wa Chato?? ] ule baadaye ungedai kujitenga na kuwa sehemu ya nchi jirani Kama wanavyopata shida Goma Leo…



Sio Ajabu kuugua bila uwepo wa mke au ndugu …kwasababu alikuwa captive wa state ….treason against the sorveregnity of the state .
Mkuu, mchele huo!
 
Miaka mitatu???
Miaka mitatu tumepata maridhiano,
Miaka mitatu hajatekwa mtu,
Miaka mitatu maslahi ya wafanyakazi yameboreshwa,
Miaka mitatu tumepata tume huru ya uchaguzi.
Miaka mitatu viongozi wababewajinga wamerekebishwa.
Miaka mitatu jeshi halishurutishwi kuingilia mambo hovyo,
Miaka mitatu hakuna mpinzani aliyefungwa,
Miaka mitatu makusanyo yakodi yamepanda bila maguvu,
Miaka mitatu apinzani wameandamana kwa amani.,
Miaka mitatu elimu Bure Hadi six,
Miaka mitatu ruzuku Kwa wakulima imerudi,
Miaka mitatu vyuma havikazik,
Miaka mitatu spwika ropox2 kapigwa chini,
Miaka mitatu ma ded na ma DC hawatukanwi Pumbafu hovuo....
 
Back
Top Bottom