Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais,Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.
Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!
Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!
Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.
Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.
Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Yule alikuwa anawaza kuua pekeeUnajua hata wakati wa Mobutu, na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi
Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais,
Maghu alikuwa mwizi, tu kama wezi wengine wa ccm,
Hakuna mtu ambae sio mwizi ccm na in fact wizi ni sifa ya Mtanzania na anaeiba Huwa anaonekana mjanja na kutetewa 🤣🤣Gordian Magufuli kawa bilionea baada ya JPM kufariki, nadhani ndio zile hela zilikuwa zinawekwa kwenye kampuni ya ujenzi ambayo Goro aliwekeshwa kama mkurugenzi bandia, na pia uwakala wa simenti na sukari aliopewa kibabe kwa kuficha jina la JPM lisionekane.
Kabla ya hapo Gordian alikuwa anazurura na kisuzuki, na akitaka kutumia pikup nyeusi ya baba yake, lazima aombe kibali kwa JPM
Mkuu kwa wenzio muda ulisha jibu!Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.
Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!
Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!
Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.
Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.
Baada ya miaka mitatu Mange na Kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais na Nape Nnauye ndiyo anahusika kuwafungia akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii! Kumbuka Nape alikuwa mlilia uhuru wa kutoa maoni nchini. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa hadi kufungiwa Instagram zao, karma is karma na bado.
Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
🤔🤔🙄Meg@fool aliwadondosha isivyo haki wanachama wenzake kwenye ubunge, wakamwambia, 'tukose wote'... what ever happened is a history.
🤝Waongo na wanafiki hasa kutokea chadema....
Jaribu kutumia akili hata kidogo.
Kuna wanafiki zaidi ya CCM?
Chadema wako against ccm sio magufuli....
Ndege hasara
Bwawa hasara
Kila kitu hasara...
Yani kwa akili za waafrika FUTA kabisa kichwani mwako eti mbembelezane alafu mpate maendeleo kuna li taasisi lilikuwa linajiendesha kwa hasara mno akaletwa ngozi nyeupe mmoja tu kuwa msimamizi mbona palinyooka.Ficha upumbavu wako. Lengai yuko nje baada ya kukiri makosa yake kwa DPP na sio kwamba alishinda kesi. Tunafurahia mazuri ya JPM lakini haiondoi pia ukweli alikuwa na mabaya mengi ikiwamo kuwakumbatia majambazi kama Sabaya.
📝🔊🆒💐🥂👌👍👊👏🙏⏳Familia ya Hayati Magufuli wala haina manung'uniko dhidi ya Chadema bali Chanzo Cha Matatizo (CCM). Maana wanajua Chadema hawajahusika kumuua Magu, ila CCM.
Hata sumu alizowahi kulishwa Magufuli akiwa Waziri, familia inajua hakulishwa na Chadema isipokuwa wale jamaa wasioachiana maji mezani.
Mkuu, mchele huo!Walitaka aachwe na alikuwa anahujumu ulinzi wa usalama wa nchi na mipaka yake ??? Alikuwa na Nia ovu ya kuidhooofisha nchi kiulinzi na utendaji Kivita Huku machoni kwa watu akifunika na kufanya miradi ya haha na pale ..
Amiri jeshi gani miaka yake alisitisha ajira majeshini ?? na hata akitoa zilikua Chache sana tena kwa kulenga kuingiza watu Fulani Fulani …..
Hata Vijana alioaaahidi ajira akashindwa kuwapa…
MIAKA yake yote hakuwezesha jeshi kwa silaha wala mafunzo [ mafunzo ya nje ndio kabisaaa] , waliostaafu na kufariki hapakuwa na wa kufidia nafasi zao [ career gap ] …
ALIANZA Mkakati haramu ambao Mwisho ulikuwa Mpango haramu wa himaya ya hima kujipanua kuja hadi GEITA kwa jina la MKOA Mpya ya Chato ambao waliudai hadi msibani [ Baada ya kustukiwa Nia ovu hiyo umemsikia Nani anadai tena MKOA wa Chato?? ] ule baadaye ungedai kujitenga na kuwa sehemu ya nchi jirani Kama wanavyopata shida Goma Leo…
Sio Ajabu kuugua bila uwepo wa mke au ndugu …kwasababu alikuwa captive wa state ….treason against the sorveregnity of the state .