Familia ya kiarabu na wakristo wameniambia niache kutembea na mtoto wao eti kisa nimi ni muislamu nikiendelea watanifunga jela

mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
bora usioe
 
Umekula lakini? Aya, amka kamsaidie dada yako kuosha vyombo kabla shemeji yako hajaamka.
 
 
"Chai ya moto, kikombe cha bati."

Huu ni msemo wa timu ya Nyumbani, Fountain Gate FC
 
Wewe dogo juzi ulileta stori ya kufukuzwa kwenye kipaimara kisa muislamu. Leo tena umeibuka. Acha udini
 
Si uoe jini aisee,kwani majini kwako si viumbe unao interact nao.
 
chakufanya kipo nenda kinyume na matakwa yao
 
Achana usije ukaambukiza huyo binti uzombi wenu ule, kumbuka hao waarabu mpaka kuwa wakristo wamepitia mengi sana ikiwemo kubaguliwa na kuchukiwa na waislamu, halafu unataka kurudisha Binti wao kwenye njia ya kuzimu.
Wala sikushangai kuingia mkenge huu na uongo wa kijinga
Huoni ni story ya kitoto hii
 
Kwani huko ujinini hamnaga wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…