Familia ya kiarabu na wakristo wameniambia niache kutembea na mtoto wao eti kisa nimi ni muislamu nikiendelea watanifunga jela

Familia ya kiarabu na wakristo wameniambia niache kutembea na mtoto wao eti kisa nimi ni muislamu nikiendelea watanifunga jela

1000016908.jpg
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Umekula lakini? Aya, amka kamsaidie dada yako kuosha vyombo kabla shemeji yako hajaamka.
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Screenshot_20241208-093455.jpg
Screenshot_20241208-093236.jpg
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
"Chai ya moto, kikombe cha bati."

Huu ni msemo wa timu ya Nyumbani, Fountain Gate FC
 
Wewe dogo juzi ulileta stori ya kufukuzwa kwenye kipaimara kisa muislamu. Leo tena umeibuka. Acha udini
 
Si uoe jini aisee,kwani majini kwako si viumbe unao interact nao.
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
chakufanya kipo nenda kinyume na matakwa yao
 
Achana usije ukaambukiza huyo binti uzombi wenu ule, kumbuka hao waarabu mpaka kuwa wakristo wamepitia mengi sana ikiwemo kubaguliwa na kuchukiwa na waislamu, halafu unataka kurudisha Binti wao kwenye njia ya kuzimu.
Wala sikushangai kuingia mkenge huu na uongo wa kijinga
Huoni ni story ya kitoto hii
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Kwani huko ujinini hamnaga wanawake
 
Back
Top Bottom