Familia ya Malkia Elizabeth wa Uingereza inayopitia kwenye msukosuko baada ya mjukuu wake kujitoa kwenye ufalme

Familia ya Malkia Elizabeth wa Uingereza inayopitia kwenye msukosuko baada ya mjukuu wake kujitoa kwenye ufalme

Waungwana! Hivi huu ulimbukeni (Kama kweli kwa kuishi hivyo ni ulimbukeni) unaofanywa na waingereza, kutawaliwa na mtu mmoja toka miaka ya 50 huko hadi leo, akifa hatatawala mwinginewe toka nje ya uko wake, na hili ni toka vizazi hadi vizazi, wanaharakati wa demokrasia hamlioni???!!!

Uingereza, mkuu wa nchi ni mafalme/malkia, halafu kuna waziri mkuu ambaye yeye ni mkuu wa serikali tu. Ila mfalme ndiye ampitishae/amridhiae mtu kuwa waziri mkuu,,yaani ana influence kubwa. Hata ktk utendaji wake, PM lazima aendane na mapenzi/matakwa/codes za ukoo wa kifalme. Kimantiki tu, Mfalme na Rais wa kiafrika wana tofauti gani?

Mfalme ndiye mkuu wa nchi na ana mamlaka makubwa juu ya serikali, Rais ndiye mkuu wa nchi na mkuu wa serikali, hivi hapa kuna tofauti? Mimi nilidhani,hawa Waingereza,kama wajiitavyo, civilized society, na ni vinara wa kuyataka mataifa mengine kuufuata mfumo wa kidemokrasia (kwa uwanja wa kuachiana vijiti) basi wao wangeonesha mfano.

Afrika sijui nani katuroga, wenyewe tumemuua Gadafi, eti kisa kakaa sana madarakani, wazungu wamesema tena haohao Waingereza, Mugabe ni king'ang'anizi wa madaraka, tukamtoa. Mimi naweza wataja wakuu wa nchi wa tano wajao wa Uingereza, si wameshazaliwa, labda itokee vinginevyo. Pole Africa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Queen wa uingereza haongozi serikali....yeye yupo kiutamaduni zaidi... Na waingereza wanarespect culture yao...Tangu kuanza kwa taifa la uingereza mambo yapo hivyo ni kwa familia teule tu.... And to avoid the so called dictatorship, the queen or king is the head of state and not the government... Hivyo hakuna dictatorship yoyote hapo.
Tusaidie tu swali letu hili, kipi kikubwa/kinamvaa/kinamuongoza/kinamuumba mwenzie kati ya STATE and GOVERNMENT? Nadhani hatu tu utamwelewa uliyemjibu juu.

Lingine, je government interests zikigongana na State interests, zipi zita prevail? Hapo ndiko tukuambiako kuwa, Rais, wa Uingereza alianza kuitawala tangu miaka ya 50 hadi Leo anaitawala tu. Na hata maraisi wajao wa Uingereza tunaweza kuwataja, wasitufanye maboya hawa.

Queen's bench, Queen's language, God bless Queen, hizo ni kanuni kuu za State and the government of the whole British empire,not only England

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu naona ni Sawa, Kuna mambo mawili hapa hii familia wanakumbana nayo. Kwanza Kuna dalili ya unyanyapaa Kwa sababu wenzetu ukiwa na nasaba ya Kiafrika tayari ni shida kubwa. Pili Meghan anapenda kufanya kazi na uhuru wa kuwa mbele ya Umma bila kufungwa na kanuni na taratibu fulani fulani, uku akijipatia kipato kisicho na masharti.
Nakumbuka Price Diana aliondoka Birmighan ili kupata uhuru alioukosa kwa muda mrefu,alitamani kwenda Miami,Hawaii, Bermuda , Hongkong,Durban na Masai Mara bila kizuizi .
Sina shaka kama atajitoa kwenye ruzuku ya serikali na umaarufu wao utapungua na mwanzoni serikali ya Canada itagharimu ulinzi wake na hata Waziri mkuu ameahidi Tradeu atawasaidia ulinzi ,
Meghan atarudi kwenye kazi yake na Harry atakuwa mratibu na mambo yatakwenda
Ukioa au kuolewa nje ya familia ya kifalme basi nafasi yako katika familia ya kifalme inakuwa matatani. Huyu Malkia mwenyewe asingekuwa Malkia kama si Mfalme aliyekuwepo kabla ya Mfalme George VI kuamua kuachia ngazi ili amwoe kipenzi chake ambaye hakuwa na damu ya kifalme. Baada ya hapo ndio George VI akaipata hiyo nafasi.
Huyo dada kaona mbali. Maisha yao yanaingiliwa na mapaparazi na pia hawako huru kufanya mambo ambayo wao wanaona yana manufaa kwao.
 
Huyu Harry ni damu ya kunguni. Diana alikiri kutembea na dereva mmoja wa Jumba la mfalme na inasemekana ndio baba ake huyu dogo.
Kisa cha Charles kumkataa Diana ni kupenda kugongwa akiwa nje. Mwishowe akakumbana na playboy Doddy Fayad alie pata nae ajali.
Hivyo hii ni bad blood halafu akaenda kuoa chotara ikazidisha chuki dhidi yake.
Kujitoa huko imekua bora kwa jumba la malkia kwani Kiti hakiwezi tena kwenda kwa mtoto wa nje


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Queen na predecessors wake na kizazi chao wanakula dhambi ya kutawala, kunyonya na kuiba maliasili na rasilimali za binadamu wenzao, hawana maana hata kidogo, wache wafarakane mpaka waishie huko...
Predecessors ni nini?
 
Si kweli. Charles alikua na mpenzi wake(camilla) kabla ya kumuoa diana. Charles hakumpenda diana basi tu ilitakiwa amuoe maana camilla tayari alikua makando kando kibao. Hata baada ya ndoa charles hakumuacha camilla ndo chanzo cha diana kuanza kusaka suluhisho la moyo wake. Baada ya diana kufariki Charles alipata nafasi ya kumuoa rasmi Camilla (ndo mkewe hadi muda huu ila hawana mtoto)

Hata asingejitoa bado yupo mbali kwenye kurithi kiti cha ufalme.
Huyu Harry ni damu ya kunguni. Diana alikiri kutembea na dereva mmoja wa Jumba la mfalme na inasemekana ndio baba ake huyu dogo.
Kisa cha Charles kumkataa Diana ni kupenda kugongwa akiwa nje. Mwishowe akakumbana na playboy Doddy Fayad alie pata nae ajali.
Hivyo hii ni bad blood halafu akaenda kuoa chotara ikazidisha chuki dhidi yake.
Kujitoa huko imekua bora kwa jumba la malkia kwani Kiti hakiwezi tena kwenda kwa mtoto wa nje


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Tusaidie tu swali letu hili, kipi kikubwa/kinamvaa/kinamuongoza/kinamuumba mwenzie kati ya STATE and GOVERNMENT? Nadhani hatu tu utamwelewa uliyemjibu juu.

Lingine, je government interests zikigongana na State interests, zipi zita prevail? Hapo ndiko tukuambiako kuwa, Rais, wa Uingereza alianza kuitawala tangu miaka ya 50 hadi Leo anaitawala tu. Na hata maraisi wajao wa Uingereza tunaweza kuwataja, wasitufanye maboya hawa.

Queen's bench, Queen's language, God bless Queen, hizo ni kanuni kuu za State and the government of the whole British empire,not only England

Sent using Jamii Forums mobile app
Waingereza wanaendeshwa na mfumo wa constitutional monarchy... Where the monarch takes little direct part in the government.... The legislative power is exercised by the Queen but the executive is exercised by the Queen's government (ministers, prime minister etc).. Zamani her Majesty alikuwa na uwezo wa kumuondoa prime minister katika nafasi yake lakini kwa sasa kinachoweza kumuondoa prime minister ni election, kifo au resignation... However the Queen can appoint the prime minister wherever necessary..Na pia Queen or King ni mkuu wa majeshi kama rais huku kwetu.... Kama kuna nilipokosea nipo radhi kurekebishwa.
Hilo swali lako la pili sijalielewa interest zigongane vipi sababu bunge ni moja,katiba ni moja,serikali ileile zitagongana kivipi labda ufafanue zaidi.
 
Huyu Harry ni damu ya kunguni. Diana alikiri kutembea na dereva mmoja wa Jumba la mfalme na inasemekana ndio baba ake huyu dogo.
Kisa cha Charles kumkataa Diana ni kupenda kugongwa akiwa nje. Mwishowe akakumbana na playboy Doddy Fayad alie pata nae ajali.
Hivyo hii ni bad blood halafu akaenda kuoa chotara ikazidisha chuki dhidi yake.
Kujitoa huko imekua bora kwa jumba la malkia kwani Kiti hakiwezi tena kwenda kwa mtoto wa nje


Sent from my iPad using JamiiForums
Hahaahaa haya maelezo yako hayana hata chembe ya ukweli

Ukweli huujui. PERIOD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli. Charles alikua na mpenzi wake(camilla) kabla ya kumuoa diana. Charles hakumpenda diana basi tu ilitakiwa amuoe maana camilla tayari alikua makando kando kibao. Hata baada ya ndoa charles hakumuacha camilla ndo chanzo cha diana kuanza kusaka suluhisho la moyo wake. Baada ya diana kufariki Charles alipata nafasi ya kumuoa rasmi Camilla (ndo mkewe hadi muda huu ila hawana mtoto)

Hata asingejitoa bado yupo mbali kwenye kurithi kiti cha ufalme.
Eeh afadhali umemfafanulia maana[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harry siyo damu ya kifalme ile, Ka Diana kalikuwa kanachepuka sana mwishoni mwishoni huku, alikuwa anajirusha na mtunza farasi mwanajeshi, jina nimesahau kidogo anikumbushe anayejua

Bwana Chaaz km kawaida yao yeye alimng'ang'ania Cammila Paka, walikwa wanakulana sana,kimwendelezo. Diana ikamuuma akaipeleka kwa rijamaa!

Huenda pia ni shinikizo la Malkia kuweka pembeni DNA za kijana haramu! Konyo lile la Harry haliendani na wenzake wa kifalme!

Diana kalikuwa kana ongea sana B/ palace kuliko C/.Paka. ilikuwa inamtia kinyaa sana jamaa! basi akawa ana shinda kwake kuliko Diana.

Mara kimimba cha Harry hichooo! si kampa P. chaaz!
 
Back
Top Bottom