Familia ya Malkia Elizabeth wa Uingereza inayopitia kwenye msukosuko baada ya mjukuu wake kujitoa kwenye ufalme

Sasa hapo kuna msukosuko upi mkuu? Unaujua msukosuko ww.... Kwanza una kitambulisho cha uraia ww?

Sent using tofali la kuchoma
 
Wanakudanganya hao, Queen ana powers kubwa tu huko uingereza, hata serikali ya uingereza huwa inaitwa her majesty's governnent, hata jeshi la maji linaitwa royal navy. Queen ana uwezo wa kukataa waziri mkuu asiunde serikali.
Queen akiamua kukunjua makucha yake ana powers kubwa sana
 
Hawa nao na mambo ya kifalme ujinga tu,ingekuwa africa kila siku wangekuwa wanaponda........
 
Ndiye mkuu wa majeshi... Hivyo hayo mambo ya army,navy and air force yapo chini yake.
Her majesty ana power zaidi parliamentary na si executive.Ana nguvu kubwa sawa lakini si kama zamani.
 
Ndiye mkuu wa majeshi... Hivyo hayo mambo ya army,navy and air force yapo chini yake.
Her majesty ana power zaidi parliamentary na si executive.Ana nguvu kubwa sawa lakini si kama zamani.

haijalishi kama hizo power zimepungua kulingana na ilivyokuwa karne zilizopita. lakini wale wanaodai kuwa Queen yupo pale ceremonial tu wanadanganywa au wanajidanganya.
Queen powers anazo!
 
haijalishi kama hizo power zimepungua kulingana na ilivyokuwa karne zilizopita. lakini wale wanaodai kuwa Queen yupo pale ceremonial tu wanadanganywa au wanajidanganya.
Queen powers anazo!
Si nimekudadavulia power zake hapo juu... Au hutaki
 
Unavyoelezea mbavu Sina[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibibi kina 95 years old lakini kipo fiti utadhani kina miaka 66
 
Waingereza uswahili mwiingi.

Kwanini waishi bila uhuru huku wakipigwa majungu kila siku na media eti kwa kuwa wanaishi kwa kodi za Waingereza wakati wanaweza kutafuta peza zao wenyewe ?
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…