Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Inasikitisha, wapumzike kwa amani....
Sasa boyfriend kashindwa kula hela za bibie kupitia mapenzi? Mbona ni rahisi kuliko hiyo njia ya kutumia manguvu/mauaji
Jamaa puuzi kabisa
Linasaidiwa bado linataa limiliki mali za mwanaume mwenzie li nyongwe kabisa
 
Unajaribu kubisha nini? Au una information za ndani zaidi ya hizi hapa. Kama huna basi sioni mantiki ya kubisha. Kuna watu wameua kwa njia za kijinga kuliko huyu. Kusema tu mtu anayewea kurithi mali ndiye mwenye motive ya kuua sidhani ni sahihi. Dunia ya sasa mtu anakuua hata kwa shilingi milioni 2.
 
Yes is possible
 
Natamani kukielewa hiki kisa.
Huyo Joe ni nani? Boyfriend Wa nani amehusika? Mlinzi je?

Anyway, poleni wafiwa.

I also think there is more story to this problem. Muda utasema
 

Pole sana bro Paskali

Alale salama Emmy na waschana wake

So sad jamani
 
So hata akikupa nyama , utabaki kuitolea macho au utatafuta mcongo ulipo ?
 
Inasikitisha, wapumzike kwa amani....
Sasa boyfriend kashindwa kula hela za bibie kupitia mapenzi? Mbona ni rahisi kuliko hiyo njia ya kutumia manguvu/mauaji

Kiben10 kijinga sana ,vumbi la congo lipo kibao kinondoni na mikoani wanatuma ameshindwa kulitumia kusimamia kucha Mama akawa anampa pesa na kumfungulia miradi? Muache akaungane na SABAYA.
 
Yaani kuna muda ukifika kwa mwanamke kitulize tu .Kama una watoto Lea tu
Uzuri wazungu wameleta plastic penis tamu hatare
[emoji3][emoji3][emoji3] umeandika kweli ukishakuwa na watoto hasa wamekua na kubalehe ni muhimu kukituliza, maana boyfriend anaweza kuwatoa wanao bikra hivi hivi, pia dildo nazo janga k siitaota sugu, pia human touch inabaki na umuhimu wake.
 
Umeona kwa jicho la tatu
 
Sio ndio hapo Hii ni zaidi ya kuchukua PESA, I am sure ni mirathi

boyfriend hawezi Kurithi lakini ndugu wa mume ndio walikua wanatamani mali za kaka Yao

kuwaua wote Ina maana wao ndugu ndio watarithi
Hii inaweza kuwa sababu, mirathi imeua wengine bila huruma refers case ya dadake msuya aliuliwa kikatili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…