Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa


Umeongea facts!! DCI/DPP wachukue huu ushauri ,wawahoji tena mlinzi na ben10 bila shuruti.
 
Mwendazake alisema kuwa kuna mtu alikuwa anatuma SMS kwa Mwanyika. Lisu ndiye alikuwa anatuma SMS. Mwendazake alimwita mtuma SMS kuwa ni msaliti. Na akasema wasaliti huwa wanauawa. Muda haukupita hukumu hiyo ikatekelezwa. Mungu akakataa. Labda kama mwendazake alimtumia dereva wa Lissu, hapo watapata taarifa kuhusu nani alitaka Lissu afe.
Alafu dereva wa Lisu amefichwa ,hawataki aulizwe chochote
 
siyo vijana wote mkuu, mimi ni kijana lakini ningepata nafasi ya jamaa nisingefanya kama alivyofanya
Mbona kuna kijana mmoja maarufu Dar alikuwa na kashfa ya kumuua girlfriend wake kwa tamaa ya pesa
 
[emoji3][emoji3][emoji3] umeandika kweli ukishakuwa na watoto hasa wamekua na kubalehe ni muhimu kukituliza, maana boyfriend anaweza kuwatoa wanao bikra hivi hivi, pia dildo nazo janga k siitaota sugu, pia human touch inabaki na umuhimu wake.
anajifariji huyo yaani nyama na plastic haviwezi kuwa na taste sawa hata dunia igeuke juu chini
 
Umenifikirisha kiakili zaidi[emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sio ndio hapo Hii ni zaidi ya kuchukua PESA, I am sure ni mirathi

boyfriend hawezi Kurithi lakini ndugu wa mume ndio walikua wanatamani mali za kaka Yao

kuwaua wote Ina maana wao ndugu ndio watarithi
Very true duuuh!


Wahaya tena[emoji134]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Absurd!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…