King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Tanzania uwa wanashurutishwa wakubali, Wamelazwa kwenye maji hapo wamewekwa kwenye shoti ya umeme , wamechapwa sana hata Mimi nakubali ili nitoke kwenye mateso
na husikute aliefanya hivyo keshatembeza PESA za kutosha jeshi la police case apewe mwingine
Umeongea facts!! DCI/DPP wachukue huu ushauri ,wawahoji tena mlinzi na ben10 bila shuruti.