Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Umeandika kama muhaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka mnoooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu utopolo nao vpi?! Ndio umeandika utumbo gn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Whoever did it atakua mtu au watu ambao watanufaika na kutokuwepo kwa mama na wanae wa pekee..boyfriend hawezi kunufaika na chochote...mlinzi kama kweli alikua anafokewa na manyanyaso angewaibia siku moja na kutokomea ili kuwakomesha..
Hii kesi ina mengi sana nyuma ya pazia lakini yote yanawezekana
 
Kwenye uchunguzi vyote vitaangaliwa, ingawa kama nimesikia akisema alikuwa "safari" nalo lita chunguzwa . Kwa kweli Mlinzi mfanyakazi wa ndani atasema yote, labda mwanzoni anaweza kuhusisha upande usio husika lakini watajukikana tu , mfano nawasiliana yake na Boy friend na ndugu za Marehemu Joe, au mawasiliano ya Marehemu na mashemeji Na ya boy friend n.k
 
Huyo Boyfriend hakuwa kijana ni mtu mzima na kama mmesikia mohojiano ya majirani alimuja akapiga honi sana hakufunguliwa ndipo akaenda kuripoti .Gari lake pia lilikuwa ndani kama sikosei kutokana na.shuhuda za majirani.Jamani msitunge
Taarifa ya police ya kwanza walitunga Basi sijui kwa faida gani , wanasema walimkuta house boy anauza Simu ili apate nauli ya kutoroka Kwenda kwao walivyomuoji house boy akasema majambazi wamemuua boss wake walimuhoji tena house boy akasema ameua alitumwa kuua na huyo boyfriend

boyfriend alivyomdhulumu akatoa siri so which is which wananchi walivyoanza Kuhoji kwenye mitandao police wakaona aibu wakatoa maelezo mengine Kua wanafatilia kujua chanzo cha house boy kuua au nini kiini cha mauaji

kuna kitu police wanataka kuficha au Kuna mtu wanataka kumlinda kwa faida zao (RIP JPM)

Roho yangu inaniambia ndugu wa mume wanahusika kwa asilimia kubwa msiba wameupelekwa ( kiumeni ) jamani jeshi la police lifanye uchunguzi kuwahoji hao Nshomile hawana uchungu na ndio maana msiba wameuwahi ili wachukie Mali pia

marehemu alikua na mji wake kwa nini wakimbilie kupeleka msibani ukweni ni huruma wanatafuta au kujivua waoenekane hawajausika?
 
Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Kibenten ni fala sasa amefanya uamuzi utakaompeleka jela moja kwa moja! Pumbavu zake πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… huyu mama unakula taratibu tu na kumzuzua wee huku unampiga hela tu
 
Boyfriend mpuuzi kashindwa kula na kipofu! Alitakiwa aende nae taratibu tu ni mapenzi tu ndio dawa ya faraja!
 
Huyu boya alichonichekesha ni kitendo cha kuiba Dstv
 
Anahisi kupata mtu decent ni rahisi hahahah!
 
Huyu shadrak kapanga ana uhusiano na mzee kapanga baba yao akina ema yule wa Uk. Anaeishi tabata .
No sijui kama wana undugu, ila kina Peter Kapanga enzi za Driven walikuwa dada yao mkubwa nimemsahau jina, wapili ni Judy, watatu Peter, wanne Line, watano Emma, na kadogo chao cha mwisho kavery sweet girl Eva, kalitwaliwa kakiwa malaika. Judy pia aliishaitwa!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…