Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ndugu wa marehemu masogange wanasema hadi dikika hii hawajapata hata mia ya pesa za rambirambi zilizochangwa na wasanii wa Bongo muvi na Bongo fleva,licha ya kuwepo kwa uhakika wa kwamba pesa hizo zilichangwa.
Soma zaidi hapa .....
Yale yale ya Kanumba.....hivi mwenyekiti wa hii si alikuwa Steve Nyerere...
Soma zaidi hapa .....
Yale yale ya Kanumba.....hivi mwenyekiti wa hii si alikuwa Steve Nyerere...