Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe halafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!

Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.

Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.

 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Kwakweli kama ni mamluki achukuliwe hatua Kali. Hawa watu wanaotumika kupoza mambo ni wa kupiga mawe hadi wafe kwa kupotosha ukweli ili jamii isahau na isione umuhimu wa kuwataka wahusika kuchukuliwa hatua. Hata yule Binti wa dodoma anayedaiwa kufa kwenye ajali ya kiongozi mpaka Leo kimya
 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


Hapo wamepata majibu sahihi ya kifo cha baba yao, wamepanda hasira kwanini alisema uongo inaonekana na yeye alikuwa miongoni.
 
IMG_6849.jpg
 
Alionekana ni mtu hakuwa hata na umakini wowote wakati anaongea.

Lugha ya mwili au tuseme mwili wa msemaji ulikuwa very relax as if nothing happened.

Even the doctor ar that hospital where he died yaani aliongea tu hivyo.

Kweli msiba huwa una wenyewe
 
Back
Top Bottom