Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
- Thread starter
- #41
[emoji38][emoji38][emoji38]Alafu huyo dokita nasikia ni mshauri wa musiber
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Alafu huyo dokita nasikia ni mshauri wa musiber
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.
Kwani yeye kazi yake ni kutoa watu hofu nani ka muambia kuna hofu kama sio yeye alie azisha hofu, mbona alikurupuka alikua anaficha nini?Hawa akina Membe wanapenda sana ligi za kijinga.., sasa mtu katoa watu hofu, shida ipo wapi?
Wewe ni miongoni mwa wanachadema ambao Nawaelewa sana na michango yako naiheshimu japo huwa tunakwaruzana sana tu!Kwanza kiutaratibu dajtari hawezi kueleza maradhi ya mgonjwa au marehemu bila idhini ya mgonjwa mwenyewe (kama yupo hai na ana ufahamu) au familia (kama mgonjwa hana ufahamu au mgonjwa amefariki).
Kama daktari hakuwa na mamlaka ya familia, ashtakiwa na awe suspect wa kwanza, kama itaonekana kifo cha Membe hakikuwa natural. Huenda daktari kwa kupitia fani yake, alitumika na wabaya wa Membe kummaliza marehemu.
Yawezekana daktari alikuwa anafahamu kuwa marehemu atakwenda hospitali kwa checkup ya kawaida, na hivyo alivyoenda kwenye uchunguzi wa kawaida, alipandikizwa mwilini vitu vya kuundoa uhai wake, maana tunaambiwa tatizo lilianza baada ya yeye kwenda kwenye checkup ya afya yake ambayo huifanya kila mwaka.
Hahahaha mara hii tu mmeshaanza kumuita maembe?Mamluki uyo, akili yangu inanambia maembe hajafa natural death
Numbisa siku hizi huna comments kabisa, kazi yako ni duuh aisee, Daah,...duh aiseee
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.
...Familia ilimtuma atoe Watu Hofi ?...Hawa akina Membe wanapenda sana ligi za kijinga.., sasa mtu katoa watu hofu, shida ipo wapi?
Numbisa siku hizi huna comments kabisa, kazi yako ni duuh aisee, Daah,...
Hebu toa neno sisi wafiwa tupate faraja
DaahNeno ni moja tu kuimba(kulia) kwa kupokezana