kwa hiyo Mfungwa anaweza kumfunga Mkuu wa Gereza ?JM atamaliza watu huko CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo Mfungwa anaweza kumfunga Mkuu wa Gereza ?JM atamaliza watu huko CCM
Mhh!kwa hiyo Mfungwa anaweza kumfunga Mkuu wa Gereza ?
Kulwa Jilala ,unaweza kusemaje??
Bado nasikitika tuKulwa Jilala ,unaweza kusemaje??
Yule jamaa sio Dr wa mchezo mchezo nasikia kasoma Havard wakimfungia bongo anaruka zake Marekani akale Bata, inasemekana JK ndio alimleta bongo kutoka US alipokuwa anafanya kazi.Hana mamlaka hayo unless kwa kibari cha familia.
Hii hata akishtakiwa kwenye bodi ya yao atafungiwa Leseni yake.
Kwani hofu si ilikuwepo? Au ni uongo? Kutoa watu hofu ni kazi ya daktari ndio.Kwani yeye kazi yake ni kutoa watu hofu nani ka muambia kuna hofu kama sio yeye alie azisha hofu, mbona alikurupuka alikua anaficha nini?
Yeye kaapishwa kuhudumia waTz, na kawatoa hofu, hana haja ya ruhusa kufanya kazi yake...Familia ilimtuma atoe Watu Hofi ?...
Familia ndio inamiliki hospitali anayofanya kazi?, yeye katoa waTz hofu, kaapishwa kuhudumia wa Tz, na leseni kapewa na serikali ya watz anaowahudumia.Hana mamlaka hayo unless kwa kibari cha familia.
Hii hata akishtakiwa kwenye bodi ya yao atafungiwa Leseni yake.
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.
Marekani ndiyo wanaruhusu daktari kutoa siri za mgonjwa?Yule jamaa sio Dr wa mchezo mchezo nasikia kasoma Havard wakimfungia bongo anaruka zake Marekani akale Bata, inasemekana JK ndio alimleta bongo kutoka US alipokuwa anafanya kazi.
Nami nilishangaa, iweje siri ya mgonjwa na daktari ianikwe bila ridhaa ya familiaFamilia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Sijui huwa unafanya makusudi au ni kweli una upeo Mdogo?Yeye kaapishwa kuhudumia waTz, na kawatoa hofu, hana haja ya ruhusa kufanya kazi yake
Kuna vichaa wengi sana JF.Marekani ndiyo wanaruhusu daktari kutoa siri za mgonjwa?
Tena ni daktari bingwa, hilo ndio linazusha maswali kuliko majibu.Mimi pia nilishangaa kuona daktari anatoa habari za faragha za mgonjwa vile.
Nikafikiri labda amepata ruhusa ya familia.
Hawa madaktari wetu wanakuwa hawajui miiko ya utabibu kuhusu faragha ya mgonjwa?
Mbona haya ni mambo ya kawaida tu ambayo hata sisi tusio madaktari tunayafahamu?
Mkuu unaelewa kwamba madaktari wanakatazwa kutoa taarifa za mgonjwa bila ya idhini ya mgonjwa au mtu wa familia ya mgonjwa mwenye medical power of attorney?Familia ndio inamiliki hospitali anayofanya kazi?, yeye katoa waTz hofu, kaapishwa kuhudumia wa Tz, na leseni kapewa na serikali ya watz anaowahudumia.
Na wabongo tunavyopenda kuunganisha dots, washatupa sababu hapo!Tena ni daktari bingwa, hilo ndio linazusha maswali kuliko majibu.
Huyo anajizima data tu, hata mpendwa wao alivyokufa ni Rais ndiye aliyetangaza kifo chake na sababu za kifo chake na ana mandate hiyo kikatiba.Mkuu unaelewa kwamba madaktari wanakatazwa kutoa taarifa za mgonjwa bila ya idhini ya mgonjwa au mtu wa familia ya mgonjwa mwenye medical power of attorney?