Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
- Thread starter
- #121
MhMasogange ni nani nchi hii? Yani umalaya na kuwa punda hiyo nayo ni CV!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhMasogange ni nani nchi hii? Yani umalaya na kuwa punda hiyo nayo ni CV!?
InasikitishaHali ni tete sana huko ndani inavyo onekana kwa sasa! Kila abiria anachunga Mzigo wake!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wamwera hao balaa kama wapare wanapenda kesi mnoooMembe na Familia ya Membe
Membe ameacha urithi wa kukataa kuongelewa isivyostahili kwa familia kwa kushurtisha "Kuombwa msamaha au kupelekwa mahakamani"
Kumbe aliletwa na JK? Basi sawaYule jamaa sio Dr wa mchezo mchezo nasikia kasoma Havard wakimfungia bongo anaruka zake Marekani akale Bata, inasemekana JK ndio alimleta bongo kutoka US alipokuwa anafanya kazi.
Kama mtu anabaka kibibi cha miaka 92 ili apate utajiri /fedha kuna linaloshindikana kujifanya daktari wa familia?? [emoji12]Hivi mtu anawezaje kutokea tu na kusema yeye ni daktari wa mtu fulani
Duh!Kama mtu anabaka kibibi cha miaka 92 ili apate utajiri /fedha kuna linaloshindikana kujifanya daktari wa familia?? [emoji12]
Wanapenda hakiHii Familia wanapenda kesi kesi sana aisee,hivi huwa hawawezi kupotezea mambi km haya?.Baba yao alifanya hivyo hivyo kwa Cyprian Musiba,na wao leo tena wanarudia kufanya kitu kilekile.
Kwahiyo ugonjwa wa Membe aliovujisha huyo daktari ni upi? Maana hospitali ya Kairuki ndio ilitangaza amefariki kwa kifua, kwanini wasishtaki hospitali?Sijui huwa unafanya makusudi au ni kweli una upeo Mdogo?
Ugonjwa wa mtu ni siri yake na daktari na akifa ni swala la familia.
Mbona wanaokufa kwa ukimwi hamtangazi?
Kwahiyo taarifa za ugonjwa alizotoa huyo daktari ni zipi? Maana hospitali ndio ilitangaza kwamba amefariki kwa kifua, mbona hawajashtaki hospitali kama hoja ni hiyo?Mkuu unaelewa kwamba madaktari wanakatazwa kutoa taarifa za mgonjwa bila ya idhini ya mgonjwa au mtu wa familia ya mgonjwa mwenye medical power of attorney?
Familia inataka tena vita na wasiojulikana?Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.
Kushtaki au kutoshtaki ni uamuzi wao, hoja ni kwamba hospitali na daktari wamevunja maadili ya kitabibu ya kuvunja faragha za mgonjwa kinyume na matakwa ya familia.Kwahiyo taarifa za ugonjwa alizotoa huyo daktari ni zipi? Maana hospitali ndio ilitangaza kwamba amefariki kwa kifua, mbona hawajashtaki hospitali kama hoja ni hiyo?
Aliyeongea na tulimsikia alisema yeye ni daktari wa familia hakusem yeye ni hospitaliKwahiyo taarifa za ugonjwa alizotoa huyo daktari ni zipi? Maana hospitali ndio ilitangaza kwamba amefariki kwa kifua, mbona hawajashtaki hospitali kama hoja ni hiyo?
Wataondoka wengi..Na sisi kama SG tunasema huyo hajafa natural death, maelezo zaidi karibuni Tocha.
Ushauri mzuriSema familia wamwachie Mungu tu ila kwa kuwa hiyo familia inapenda kesi wataendelea nae huyo Dr kuongezea Billioni za Musiba inaonekana ni chache...
Huyu Daktari alijitambulisha kuwa anatoka taasisi moja pale Muhimbili lakini cha kushangaza Membe hakufia huko alifia hospitali ya Kairuki!Alionekana ni mtu hakuwa hata na umakini wowote wakati anaongea.
Lugha ya mwili au tuseme mwili wa msemaji ulikuwa very relax as if nothing happened.
Even the doctor ar that hospital where he died yaani aliongea tu hivyo.
Kweli msiba huwa una wenyewe
Sasa kama waliotoa taarifa za kufariki kwa kifua ni hospitali ya Kairuki, kwanini anatishiwa kushtakiwa daktari?Kushtaki au kutoshtaki ni uamuzi wao, hoja ni kwamba hospitali na daktari wamevunja maadili ya kitabibu ya kuvunja faragha za mgonjwa kinyume na matakwa ya familia.
Familia hata isiposhitaki, hilo halibadiliki.
Ni kama familia ikiibiwa na kulalamika kuwa imeibiwa, ikilalamika tu bila kushtaki, kulalamika huko hakuondoi ukweli kwamba wameibiwa.