Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe halafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!

Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.

Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


Nawaunga mkono 100% lakini familia inapaswa iwe makini isije ikawa huyo daktari alitumwa na Musiba ili kuwapotezea focus wasimfilisi. Kwanza wamuulize ni nani kamtuma kuudanganya umma kuhusu kifo cha Membe. Kama atasema alitumwa na Musiba, haraka waachane naye wamshughulikie Musiba kwanza. Kesi zikiwa nyingi zitawatoa kwenye reli ya kumfilisi Musiba.
 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe halafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!

Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.

Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


Membe hawezi kwenda peke yake, lazima aende na mtu. Kaa chonjo!
 
Mimi namuongelea huyu Mzee aliyetoa habari za Membe bila idhini ya familia, kwa nini kafanya hivyo?

They can sue the whole hospital, kwa sababu hawa ni wafanyakazi wa hiyo hospitali.

Wanatakiwa kuwa na professional code of ethics wanazozifuata.
Huyo mzee sina shida naye, wamshataki tu.., maana hapo utakuwa unaishtaki hospitali kwa kumshtaki yeye, kwa sababu ana authority ya kuongea onbehalf ya hospitali
 
L
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe halafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!

Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.

Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


Vita ya urais 2025 imeshaanza, Membe ni miongoni mwao wahanga wa mwanzoni
 
Yule jamaa sio Dr wa mchezo mchezo nasikia kasoma Havard wakimfungia bongo anaruka zake Marekani akale Bata, inasemekana JK ndio alimleta bongo kutoka US alipokuwa anafanya kazi.
Harvard my foot. Ungejua usingesema. Nenda Wizara ya Afya ucheki file lake. Hutokuta cheti hata kimoja. Kaficha. JK alidanganywa na huyu Jamaa, akambeba kichwa kichwa na vyeti vyake fake vikapitishwa haraka haraka wizarani bila kufanya vetting, na actually alijiita daktari wa upasuaji wa moyo, halafu akachange angani alipofika Tz, sasa wanashindwa kurekebisha makosa, maana ameshaota mizizi. Utakachoona sasa ni justification ya kwamba yeye ni daktari bingwa mbobezi wa Moyo. Kwamba kajisajili kwenye American na European bodies huku na kule (ambako ni very easy, unahitaji kuji connect tu), na majoho kibao ambayo hayahusu academic qualifications. Muulizeni huo Uprofesa kapata toka chuo gani na kwa kazi ipi? Anasema kasoma Master of Science in Cardiology, akawaoneshe ni Chuo gani Ukraine kinatoa hiyo Course? Alinakili tu kozi za Muhimbili ili zifanane na title anazojipa.

Watu wasiokuwa na sifa, hupenda sana kujipenyeza sehemu mbalimbali ili waonekane na kuaminiwa.

 
Harvard my foot. Ungejua usingesema. Nenda Wizara ya Afya ucheki file lake. Hutokuta cheti hata kimoja. Kaficha. JK alidanganywa na huyu Jamaa, akambeba kichwa kichwa na vyeti vyake fake vikapitishwa haraka haraka wizarani bila kufanya vetting, na actually alijiita daktari wa upasuaji wa moyo, halafu akachange angani alipofika Tz, sasa wanashindwa kurekebisha makosa, maana ameshaota mizizi. Utakachoona sasa ni justification ya kwamba yeye ni daktari bingwa mbobezi wa Moyo. Kwamba kajisajili kwenye American na European bodies huku na kule (ambako ni very easy, unahitaji kuji connect tu), na majoho kibao ambayo hayahusu academic qualifications. Muulizeni huo Uprofesa kapata toka chuo gani na kwa kazi ipi? Anasema kasoma Master of Science in Cardiology, akawaoneshe ni Chuo gani Ukraine kinatoa hiyo Course? Alinakili tu kozi za Muhimbili ili zifanane na title anazojipa.

Watu wasiokuwa na sifa, hupenda sana kujipenyeza sehemu mbalimbali ili waonekane na kuaminiwa.

Makubwa haya
 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe halafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!

Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.

Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.



Pana Musiba na 9Bn/- zingine hapa
 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe halafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!

Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.

Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


Vipi wakuu hii issue ilishia wapi?
Daktari aliomba msamaha au aliburuzwa mahakamani?
 
Back
Top Bottom