Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaaSana tuuuu
Kwa Musiba watadundaKama walioachwa nao wana hulka hii basi watamdindia Musiba hadi kesho.
BTW:Mzee wa rika lile kujitokeza hadharani kuomba radhi kwa kiherehere chako ni fedheha sana.
naonaMbona hawajamtaja huyo Dr au yule professa wa JKCI?
Hivi mbombezi hakuwa asset yetu wananchi kweli mpaka wananchi, Tena tumetuma jeshi letu libebe mwili wake na kwa ndege kweli huyo hakuwa asset yetu kweli? Kweli hatukupaswa kupata taarifa ya kilochomsibu kweli? (Nawaza)Hawa madaktari wetu wanakuwa hawajui miiko ya utabibu kuhusu faragha ya mgonjwa?
Suala la faragha lina override hapo. Pia huyo alishastaafu vyeo rasmi vya umma kwa hivyo hata ukitaka kutumia karata ya utumishi wa umma aliivuka.Hivi mbombezi hakuwa asset yetu wananchi kweli mpaka wananchi, Tena tumetuma jeshi letu libebe mwili wake na kwa ndege kweli huyo hakuwa asset yetu kweli? Kweli hatukupaswa kupata taarifa ya kilochomsibu kweli? (Nawaza)
===
Mimi si mtaalamu wa mambo haya wanao yaelewa haya mambo watatufafanulia. Au unaonaje mtaalamu wa code za computing security?
Insemakana baadhi ya vyeo hurusiwi kustaafu yawezekana daktari mtuhumiwa alitumia uchochoro huo.alishastaafu vyeo rasmi
Mkuu, Mbona Michael Jackson hatukufichwa faragha ya ugonjwa wake? Au huko kuna ubaguzi bado?Jamie Foxx
Acha masikhara mkuu nyagori huyu huyu kasomea havard?naona unautani na hiko chuo wewe😂😂.Yule jamaa sio Dr wa mchezo mchezo nasikia kasoma Havard wakimfungia bongo anaruka zake Marekani akale Bata, inasemekana JK ndio alimleta bongo kutoka US alipokuwa anafanya kazi.
Wewe kutofichwa faragha ya ugonjwa wa Michael Jackson haina maana kwamba Michael Jackson hana faragha hiyo.Insemakana baadhi ya vyeo hurusiwi kustaafu yawezekana daktari mtuhumiwa alitumia uchochoro huo.
Mkuu, Mbona Michael Jackson hatukufichwa faragha ya ugonjwa wake? Au huko kuna ubaguzi bado?
Kuna vifo vingi ambavyo vimetokea na vinaonekana kuwa ni vya kawaida lakini ukichunguza kwa undani sana unagundua kwamba kumbe siyo. Sina uhakika kuhusiana na ukawaida wa kifi cha Samwel Sitta na Masogange, sina hakika kabisa, wale ambao wanafahamu vizuri kuhusu hilo naomba watujuze kwa sababu minong'ono ni mingi. Watujuze ili kzima minong'ono iliyopoBen alipigwa sumu na nani? Si ni natural death? Aisee mbona story za vijiweni?
Tanzania kila kitu kinawezekana,tena akifa Mtu mwenye Mali hadi wasimamizi wa Mirathi fake hutokea!!Hivi mtu anawezaje kutokea tu na kusema yeye ni daktari wa mtu fulani
Labda report ya Wazee imetoka! Na Je hiyo report ya Wazee inaweza tumika Kama ushahidi Mahakamani kuhusu kifo cha Kachero Mbobezi!!??AISEH Bas sawa!!
lakini mahojiano haya yanataka kuhalalisha nini!?
YAANI WANATAKA kufanya NINI hasa na hiki kifo!!?
kuna fukuta huko NDANI!ngoja tuone matokeo!!
Hali ni tete sana huko ndani inavyo onekana kwa sasa! Kila abiria anachunga Mzigo wake!!Mama anapotembea na kiti chake msidhani mjinga.
Masogange ni nani nchi hii? Yani umalaya na kuwa punda hiyo nayo ni CV!?Kuna vifo vingi ambavyo vimetokea na vinaonekana kuwa ni vya kawaida lakini ukichunguza kwa undani sana unagundua kwamba kumbe siyo. Sina uhakika kuhusiana na ukawaida wa kifi cha Samwel Sitta na Masogange, sina hakika kabisa, wale ambao wanafahamu vizuri kuhusu hilo naomba watujuze kwa sababu minong'ono ni mingi. Watujuze ili kzima minong'ono iliyopo