Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Hapo wamepata majibu sahihi ya kifo cha baba yao, wamepanda hasira kwanini alisema uongo inaonekana nayeye alikua miongoni.
Yule kwanza ni kujua , kweli ni Daktare bingwa ? KWELI alikuwa dr wa membe ??
Allilenga nini Kukimbilia kuongea na waandishi kuwatuliza wananchi kuwahakikishia ni Kifo cha Kawaida ? Je alitumwa hata kama ni na kikao cha Marafiki na Ndugu dar au hata mkewe?