Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


Kwa hii style sioni unafuu wa case ya Musiba hata baada Membe kufariki!
 
Kesi ile haijaisha wanataka nyingine tu.
Kwanza kiutaratibu dajtari hawezi kueleza maradhi ya mgonjwa au marehemu bila idhini ya mgonjwa mwenyewe (kama yupo hai na ana ufahamu) au familia (kama mgonjwa hana ufahamu au mgonjwa amefariki).

Kama daktari hakuwa na mamlaka ya familia, ashtakiwa na awe suspect wa kwanza, kama itaonekana kifo cha Membe hakikuwa natural. Huenda daktari kwa kupitia fani yake, alitumika na wabaya wa Membe kummaliza marehemu.

Yawezekana daktari alikuwa anafahamu kuwa marehemu atakwenda hospitali kwa checkup ya kawaida, na hivyo alivyoenda kwenye uchunguzi wa kawaida, alipandikizwa mwilini vitu vya kuundoa uhai wake, maana tunaambiwa tatizo lilianza baada ya yeye kwenda kwenye checkup ya afya yake ambayo huifanya kila mwaka.
 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.

Mbona hawajamtaja huyo Dr au yule professa wa JKCI?
 
Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ya Membe alafu akaanza kuwatoa hofu wananchi kwa kuelezea namna marehemu Membe alivyofariki kwa kifo cha kawaida tu cha kubanwa na kifua hivyo wasiwe na wasiwasi!
Steven Membe amesema kama familia hawamjui huyo daktari na hawakumpa ruhusu kusema hayo aliyokuwa anayasema mbele ya watanzania.
Familia ya marehemu Membe wamempa siku saba daktari huyo kuomba radhi au wamburuze mahakamani.


kuna watu wanaenda kufa so soon
 
Atakuwa na lake alilokuwa anawai kufumba watu midomo, mbona aliongea kama anaongelea mbuzi tu na si kifo cha binadamu, na alikuwa na haraka gani kuongea bila makubaliano ya wanafamilia
 
Back
Top Bottom