Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.

1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.

Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?

Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.

Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.

Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?

Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
 
Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.

1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.

Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?

Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.

Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.

Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?

Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
 
Mungu wa Israeli kama kweli Yupo Matukio kama la Ali Kibao na wengi kutekwa Mwenyezi Mungu, Mungu wa Yakobo na ibrahim atatulipia tu
 
Hata bila kuongea hilo neno, mwenendo wa matukio na namna yanavyoachwa yaendelee moja kwa moja inaonekana Wenye mamlaka wanaona hivyo Kifo ki kifo tu.Hata bila kutamka.
 
Mimi tangu waliposhirikiana na sisiemu + bakwata eti kumsimea DUA..
niliwadharau kama familia, yaani "uniulie baba yangu" alafu useme njoo tufanye ibada ya pamoja kumuombea...!! Walikubaliana uzwazwa sana.

By the way leo katoa HISIA dhabiti pasipo kupepesa macho hasa aliponuKUU kwamba kifo ni kifo tu.
 
Mungu wa Israeli kama kweli Yupo Matukio kama la Ali Kibao na wengi kutekwa Mwenyezi Mungu, Mungu wa Yakobo na ibrahim atatulipia tu
Mwenyezi Mungu ni mmpja tu, hakuna tofati wa wa waisraili na wamatumbi. Pata faida:

Qur'an 112
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…