Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji

Familia ya Mzee Ali Kibao kupitia Mohamed Ali Kibao ambaye ni mtoto wa Mzee Kibao, imeomba uwepo wa uwazi na haki katika uchunguzi wa mauaji dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji ya Mzee Ali Kibao huku ikimsihi Rais Samia Suluhu Hassan, kutoa kauli kali dhidi ya wahusika ili kurejesha imani kwa dola na kupunguza hofu iliyotanda nchini.


View attachment 3134826


Soma pia: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana


Yaani inawezskana kabisa uchawa wa Polisi na usalama ndiyo umetufikisha hapa
 
Wewe unaeleweka unamkingia kifua mvaa ushungi mwenzako angekuwa ni Mkristo ungekuwa na msimamo tofauti.
Mimi ni Muislam na ninayasema na kuyaandika yaliyopo, siwezi kuwa kondoo nikaanza kuzusha yasiyokuwepo.

Kumbuka hilo.

Wewe kama unakijuwa kifo cha Ally Mohamed Kibao kwanini hawasaidii kwa kuwajulisha wanawe?
 
Kwa andiko lako hili linatosha kusema wahusika wote kwenye mauaji yale unawafahamu vema. Ambao ni Serikali ya Bi Chura Kiziwi.
Kwa andiko langu hilo naamini wapo wanaoujuwa ukweli, pengine wapo humo humo kwenye familia wanaoujuwa ukweli. Si kila mtu kwenye familia huambiwa ukweli wa kifo.

Tanzania hii, navijuwa vifo vingi ambavyo havisemwi ukweli. labda uy mtoto sana au kondoo sana kwa kutokulielewa hilo.
 
Mimi ni Muislam na ninayasema na kuyaandika yaliyopo, siwezi kuwa kondoo nikaanza kuzusha yasiyokuwepo.

Kumbuka hilo.

Wewe kama unakijuwa kifo cha Ally Mohamed Kibao kwanini hawasaidii kwa kuwajulisha wanawe?
Wewe ni Bakwata 😀
 
Bwana Mohamed Ali mohamed Kibao.

1) Inaonesha mlikuwa hamjuwi kazi zote za mzeew wenu, aliwaficha mengi.
2) Mbona tuliona mazikoni mpaka waziri kahudhuria, wakuu wa vyama vya siasa wamehudhuria. Wote jao wameshoimdwa kuwa mwanashewria?
3) Kuhusu "kifo ni kifo" hiyo ni nadharia ya Kiislam, nakushamngaa sana kama hulielewi hilo.
4) Yote manne uliyoyasema ni kujenhga hoja tu/ Cha msingi, kifo kimeytokea katika hali isiyo ya kawaida. Uchunguzi ufanyike na ijulikane nini ki;lichotokea.

Je, serikali ilikwambia kuwa jalada limefungwa na hakuna uchunguzi unaoendelea, au unaona suala linachukuwa muda mrefu?

Kama Muislam hutakiwa kuiweka imani yako kwa serikali au kwa mwengoine yeyote yule bali kwa Allah pekee.

Unaonesha imani yako iko finyu sana na unatumika kijinga.

Hivi ulikuwa hujuwi kuwa baba'ko ni mtu wa serfikali? Au hata hilo aliwaficha? Huko serikalini unafahamu alikuwa kitengo kipi?

Pengine kufichwa kwa uchunguzi wake ni faida kwenu kama familia, mkiyajuwa yote mnaweza kumkana baba yenu.
kama nimekuelewa hivi ila walimuua kinyama sana haibadilishi uhalisia hata huyo mumeo mzee Guzo wakimfanyia hivyo utakubali wewe?
 
Wewe shambulia hoja zangu, naona zimekuingia mpaka huna majibu, sasa unaanza kunishambulia mimi binafsi.

Akili za kikondoo zinajulikana. Sikushangai.
Huna hoja bali una mahaba tu. Na sijakushambulia bali nimeeleza wasifu wako wewe ni mnafiq.
 
Familia ya Mzee Ali Kibao kupitia Mohamed Ali Kibao ambaye ni mtoto wa Mzee Kibao, imeomba uwepo wa uwazi na haki katika uchunguzi wa mauaji dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji ya Mzee Ali Kibao huku ikimsihi Rais Samia Suluhu Hassan, kutoa kauli kali dhidi ya wahusika ili kurejesha imani kwa dola na kupunguza hofu iliyotanda nchini.


View attachment 3134826


Soma pia: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Poleni sana familia
 
Back
Top Bottom