Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah hata kwa hayo maelezo nilipata hili wazoNzela wameiga nyimbo ya Wasauzi inaitwa" We miss you manelo".
Ukiimba nyimbo zenye zenye uhalisia hudumu sikuzoteHabari zimetapakaaa mujiiiiiiiiiiini,
Unaujauzito, ulopewa na mpiga debe ,eeeeeeee nampiga debe.
Nzela Mimi jilani yako nzela
Nimesoma na kaka yako nzeeela
Naumia na tabia uliyonayoooooo
Kumbuka umeacha shule nzelaaaaa
Duniaaaaa nitambala lililotobokaaaa
Kumbuka Kuna gonjwa zito nzela
Nzela Dada Rudi Nyumbani sis tunakukumbuka
Niko hapa namjomba yetu nzela
Jua mama unampa tabu nzela
We miss u Nzela wela yooo mama x2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa umetuingiza chaka mkuu. Walikuwa wakimuasa kwamba dunia ni tambala lililotoboka, na wakamkumbusha kuna gonjwa zito. Hilo gonjwa halikutajwa kwa kusadifu kwamba tayari amepewa, bali kumuasa ajiepushe na fedheha kwani anaweza kulikwaa gonjwa husika.So ndo alimpa Gonjwa zito la ukimwi ? Km nyimbo inavyosema
"Dunia ni tambala lililotoboka kumbuka Kuna Gonjwa zito la ukimwi"
Kuna kipindi kama sikosei cha Mkasi miaka ya nyuma sana.maunda alisha wahi kukataa kuwa nyimbo hiyo kipindi inaimwa yeye alikuwa bado binti...mdogo sana
We muhaya ndio mana jiwe alisema mpo Bampa to Bampa na ukimwi😂 Akili imewaza ukimwi tuSo ndo alimpa Gonjwa zito la ukimwi ? Km nyimbo inavyosema
"Dunia ni tambala lililotoboka kumbuka Kuna Gonjwa zito la ukimwi"
So ndo alimpa Gonjwa zito la ukimwi ? Km nyimbo inavyosema
"Dunia ni tambala lililotoboka kumbuka Kuna Gonjwa zito la ukimwi
😀😀😀😂🤣We muhaya ndio mana jiwe alisema mpo Bampa to Bampa na ukimwi😂 Akili imewaza ukimwi tu
(Utani)
Yna,I like your bootyAhsante
Basi feityy wewe ni kabinti kadogo Sana,wakati wimbo huo unatoka ni Mwaka 2011,Mimi naukumbuka Tamaa Mbaya wa 20% nadhani kama sijakosea jina la wimbo.
Huu wimbo ulinifanya nikaogopa kujiingiza katika mahusiano kipindi nasoma.
Nilikuwa AdvanceBasi feityy wewe ni kabinti kadogo Sana,wakati wimbo huo unatoka ni Mwaka 2011,
Wanatamka "Manelo" kwani kwa nyakati zile hawakuweza kumtaja Mandela moja kwa moja, Wazungu bado walikuwa wameshika hatamu.Hii ya Wasauzi ilikuwa ni kummis Mandela ambaye alikuwa Gerezani kwa 27yrs ndio wakaimba "We miss you Mandela where are you?"
Wanatamka "Manelo" kwani kwa nyakati zile hawakuweza kumtaja Mandela moja kwa moja, Wazungu bado walikuwa wameshika hatamu.
Ila walilenga Mandela kupiga chenga ingawa ilikuwa rahisi sana kuunganusha dots.
We mbona libishi! Ile nyimbo ilitumika tafsda ya binti aliyetajwa kama Manelo, ila mlengwa haswa alikua Mandela.....Mzee Chiko Chikaya aliogopa ngoma ingefungiwa maana makaburu walikua wameshika hatamu wakati huo vitabu sijui mabandiko na nyimbo zenye mlengo wa kiharakat zilikua zinafungwa...Kuhusu Nzela yes idea waliiiga kwa Twala kwa ujumbe wa wazi (sio ujumbe uliofichwa).....kwenye ngoma ya Manelo Wazazi wanamtimua binti afu baadae wanajitakari wanamtafuta NZELA-MANELO idea.Hii ya Wasauzi ilikuwa ni kummis Mandela ambaye alikuwa Gerezani kwa 27yrs ndio wakaimba "We miss you Mandela where are you?"