DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu Yeri, asante kwa taarifa hii, ila kama huko juu umeishasema uchunguzi umekuonyesha wamiliki wa hii kampuni ni kina fulani!, huwezi tena kumalizia kwa kuuliza swali ambalo tayari uchunguzi wako umeisha lijibu!.

Hii inamaana moja tuu, ama huna uhakika na hiyo ripoti ya uchunguzi, ama unajua kabisa kuwa sii kweli, ndio sababu ya hiyo inconsistance yako!.

Lakini ikitokea ikawa ni kweli, fuatilia umri wa hao wamiliki, kama wote wamevuka the age of the majority, then sio lazima kuwa ni mali ya familia, kwa sababu mtu akiisha vuka 18, ni legal person on her/his own independent of wazazi wake!.

Kama walikuwa hawajavuka 18!, hii inamaanisha na jamaa anafuata nyanyo za mtangulizi wake, "kufanya biashara "mahali patakatifu" pale!.

Pasco

ahsante Mkuu Pasco. Nina hakika Yeriko hataingia tena kwenye uzi huu japo anachungulia kwa mbali kusoma comments za watu. Nipo naye karibu na namuona anavyohangaika
 
Simba trust ni nan.? Uchunguzi umeonesha kuwa Simba trust ya Australia inamilikiwa na watu wawili ambao ni salima Kikwete na Miraji Kikwete.


Tujiulize,

Simba Trust inayomiliki 50% ya IPTL/ PAP ya nani?


Hapa naona,unacheza reggae tu.

Sasa tujiulize nini tena wakati majina umeshayataja?
 
Ndio maana wamechakachua katiba mpya. Kungekuwa na katiba bora inayobana watawala Rais angetakiwa ajiuzulu mara moja na watoto wake wafunguliwe mashtaka.
Kinachonishangaza ni ujinga wa mwafrika kushabikia hata kifo chake kisa anashabikia chama na kiongozi. Wale wanaopiga debe humu ndani kutetea katiba mpya hawana mbele wa nyuma zaidi ya pesa ya leo wanayopewa na watawala lakini hawajui wapo watoto wa shangazi zao, kaka zao, ukoo wao au kabila lao wanaokufa kwa kukosa dawa kwa ufisadi wa kishenzi kama huu wa mtawala anayemshabikia kijinga.
KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YA WATAWALA TUIPIGE CHINI TUTENGENEZE KATIBA MPYA BORA ITAKAYOTUPA HESHIMA NA KUJENGA NCHI YETU. SIYO HIZI AIBU.

duh! Naona umeamua kutoa matapishi yako humu baada kuvimbiwa. Katiba mpya na escrow wapi na wapi?
 
Wakuu,

Kuna mambo mengi yanayosababisha akili yangu kushindwa kuchanganua zaidi kuhusu suala hili ambalo kwa hakika limekuwa mwiba katika maisha ya watanzania.

lakini Jambo moja ni dhahiri. PAP kuendelea kulipwa Tsh Mil 400 kwa mwezi hadi mwaka 2033, halafu watu humu ndani badala ya kuliangalia hioli kwa zito unaostahili naona kama wanabeza kitu ambacho ni hatar kwa mustakabali wao na taifa kwa jumla.

Hii maana yake ni kwa watanzania na hasa watumiaji wa umeme watalazimika kukamuliwa zaidi ikiwezekana kuongezeka kwa gharama za matumizi ya umeme hivyo kuathiri masha yao wakati wenzetu kenya mwize uliopita walipunguza gharama za matmizi ya umeme!

Ukiacha hilo la kampuni ya Simba trust kumilikiwa na hao wanaotajwa, sishangai sana kwa taifa lililokosa maadili kwani sio jambo la kwanza hata mtangulizi wake aye alifanya hivyo hivyo na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa huku baadhi yetu tukiendfelea kuimba mapambio ya kuwasifu watawala.
 
Yericko ili kuondoa utata na ukakasi wa hili jambo..ni vyema utuambie pasipo shaka hiyo Kampuni ya Simba trust ya Australia imesajiliwa hapo BRELA kwa majina hayo halisi au..na kama kuna ushahidi pia uweke ili usije ukaambiwa unafanya ushabiki wa wa kisiasa tu ama unaichukia familia ya Mheshimiwa Rais japo kwa kweli ni hatari. Tusaidie katika hili mkubwa japo lisemwalo lipo......
Kweli kabisa mkuu
 
Wewe kama ni panya basi ni familia ya jk,mimi kamwe siwezi kuwa wa familia ya wezi wa raslimali za nchi,huku watanzania wakiishi wakiwa hawana uhakika wa uhai wapatapo magonjwa,yeye huyo panya mkubwa jk wako akiigua matibabu ni nje mimi je?halafu utuite eti ni wafamilia ya jk!thubutu! Utabaki kutumika tu na hutapata chochote,Wewe naye tuko kwenye shida zile zile.
Mkuu Hexa, kwani wewe una uwezo wa kuchagua uzaliwe familia gani, au unajikuta tuu umezaliwa familia hiyo uliozaliwa?!, ikitokea na mtu mmoja wa familia yako akawa mwizi, vipi utahama familia?!.

Pasco
 
Wakuu,

Kuna mambo mengi yanayosababisha akili yangu kushindwa kuchanganua zaidi kuhusu suala hili ambalo kwa hakika limekuwa mwiba katika maisha ya watanzania.

lakini Jambo moja ni dhahiri. PAP kuendelea kulipwa Tsh Mil 400 kwa mwezi hadi mwaka 2033, halafu watu humu ndani badala ya kuliangalia hioli kwa zito unaostahili naona kama wanabeza kitu ambacho ni hatar kwa mustakabali wao na taifa kwa jumla.

Hii maana yake ni kwa watanzania na hasa watumiaji wa umeme watalazimika kukamuliwa zaidi ikiwezekana kuongezeka kwa gharama za matumizi ya umeme hivyo kuathiri masha yao wakati wenzetu kenya mwize uliopita walipunguza gharama za matmizi ya umeme!

Ukiacha hilo la kampuni ya Simba trust kumilikiwa na hao wanaotajwa, sishangai sana kwa taifa lililokosa maadili kwani sio jambo la kwanza hata mtangulizi wake aye alifanya hivyo hivyo na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa huku baadhi yetu tukiendfelea kuimba mapambio ya kuwasifu watawala.

mkuu, uwe unashirikisha vizuri ubongo wako japo kwa kiasi kidogo. Si kuendekeza ushabiki kwa Yeriko. Yeriko ni muongo na mzandiki
 
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya

huu utumwa mnajikuta hadi mnatetea upuuzi unaoathiri hata ndugu zenu ni ubinafsi na unafiki wa hali ya juu uliowajaa watanzania wa sampuli yako.
 
Ufisadi wa dola 250m (zaidi ya 400bn) umetikisa nchi kwa kuikosesha takribani miradi ya sh 3trilion imefahamika. Kampuni ya PAP ilipewa dola 122m (200bn), na kusaini makubaliano kikao cha kunduchi beach hotel oct8.2013 kuwa kiasi kilichobaki (128m au zaidi ya 200bn), PAP watalipwa kila mwezi 8bn mpaka deni kwisha.

Kampuni hii ya PAP iliyopewa tuzo hiyo ya 400bn kwa kuwekeza 6mTsh tu ni ya nan? Kwa mujibu wa nyaraka za BRELA, 50% inililiwa na Singh Sethi(singasinga) na mwanae na asilimia 50% zinamilikiwa na kampuni ya Simba Trust ya Australia.

Simba trust ni nan.? Uchunguzi umeonesha kuwa Simba trust ya Australia inamilikiwa na watu wawili ambao ni salima Kikwete na Miraji Kikwete.

Uwepo wa majina haya mawili kama wamiliki wa PAP inatafsiriwa kuwa ndio sababu kuu ya JK kuvuta miguu huku nchi ikiumia.

Kwa mkataba huu wa IPTL wa 100MW wa miaka 20 (1995_2015), umeongezwa miaka mingine 20 (2013_2033)kwa kuzalisha 500MW.

Kwa mujibu wa mkataba huu, kampuni ya PAP italipwa 400m kila siku kama capacity charges . Maana yake singasinga mwenye 50% atapata 200m kila siku. Na watoto wawili wa JK watapata kila mmoja 100m kila siku hadi 2033.

Uwepo wa familia ya JK kwenye ufisadi huu inadaiwa ndio Kinga ya wahusika ; Muhongo, werema, maswi, mramba, likwilile na hata waziri mkuu kutetea

Ushahidi unakwenda kuonesha kuwa hata uamuzi wa Gavana kuruhusu fedha hiyo itoke kimakosa ni baada ya kupata MEMO kutoka Katibu wa rais Bw Mbena ikisema Rais kaelekeza.

Na ni sababu hiyo pia baada ya Dr Hosea kuwasilisha report kwa rais, JK alisoma na kumjibu achana nayo na ndio maana mpaka sasa report hiyo haijapelekwa kwa DPP ili.wahusika wafikishwe mahakamani.

Tujiulize,

Simba Trust inayomiliki 50% ya IPTL/ PAP ya nani
?

we unajua hata unachozungumzia?? this contradiction proves that "its a made up story"

Kwa nini unauliza swali ambalo ndo msingi wa thread yako?? Sipendi uongozi wa JK, lakini sipendi zaidi wazushi kama wewe sababu mnatumika ku divert attention ya watu kutoka katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo kwa kutaka kuwaaminisha majibu yasiyo na msingi.

Ungetusaidia zaidi kama ungeweka walau nyaraka yeyote katika hili, lakini kwa porojo hii unayotumia inaonyesha hujui kitu na umeweka bandiko hili kutumia hayo majina ili wanaojua waje wakupe taarifa ya nani muhusika wa hizo 50%.

Ungeweza tu kuuliza moja kwa moja na ungepata majibu, kuliko kuja na majina alafu baadaye unasahau kuwa ushaweka majina na unauliza tena eti majina ya wamiliki ni kina nani?? Ridiculous , poor Yericko Nyerere
 
2015 watakuwa na mengi ya kujibu.

Watanzania wa leo siyo wale wa 47.
 
Stupidity is a profession. Ni upumbavu wa hali ya juu, watu wanaongelea mambo ya maana wewe wakati wote mawazo yako yapo kwenye kuoa na kuolewa. Kuoa au kuolewa inakusaidia nini wewe au Taifa? Tumia akili na jaribu kuchangia kitu cha maana katika mijadala ya kitaifa. Tukiendekeza michango ya kipumbavu na kijinga tutaendelea kuwa Taifa la wapumbavu na wajinga. Jenga hoja, kwa kufanya hivyo unasaidia vizazi vya sasa na baadaye, Taifa la leo na la kesho.

mkuu, hawa jamaa wanajifariji sana. Mtu anashindwa hata kuoa ataweza kushinda urais? Aoe kwanza ndipo afikirie kugombea urais
 
It doesn't matter awe nani au nani twataka pesa zetu na kuwajibishwa mtu.
 
We m.p. ambavu. msh.e.n.zi wa haja. unaweza kumfananisha na huyo jamaa yenu ambaye hajulkan ana wake wangapi na kesha u.ngua tayari.

hahahahahahahaaaaaa! Mwambie Dr Slaa aache uzinifu na badala yake aoe ili aishi maisha ya Ndoa. Kama dini ni kikwazo, anaweza kubadili ili apate haki yake ya kuishi maisha halali ya ndoa. Ndoa tamu jamani.

Uzinifu haufai. Ni laana kwa Mungu na huondoa baraka ya maisha. Mambo mengine Dr Slaa anajitakia mwenyewe, pengine angeoa mpaka sasa angekuwa Presidaa wetu
 
umeandika kwa staha sana. Ningekuwa mimi ningemwambia Yeriko alete ushahidi la si vyo nitamchukulia hatua kwa kujaribu kuihusisha familia ya Rais na maovu

Hivi ww mama usawa huu niwakutishana.Watu tunaha.si.ra na nyinyi.Soon utajua tuloweka mioyon mwetu.
 
Mkuu Yeri, asante kwa taarifa hii, ila kama huko juu umeishasema uchunguzi umekuonyesha wamiliki wa hii kampuni ni kina fulani!, huwezi tena kumalizia kwa kuuliza swali ambalo tayari uchunguzi wako umeisha lijibu!.

Hii inamaana moja tuu, ama huna uhakika na hiyo ripoti ya uchunguzi, ama unajua kabisa kuwa sii kweli, ndio sababu ya hiyo inconsistance yako!.

Lakini ikitokea ikawa ni kweli, fuatilia umri wa hao wamiliki, kama wote wamevuka the age of the majority, then sio lazima kuwa ni mali ya familia, kwa sababu mtu akiisha vuka 18, ni legal person on her/his own independent of wazazi wake!.

Kama walikuwa hawajavuka 18!, hii inamaanisha na jamaa anafuata nyanyo za mtangulizi wake, "kufanya biashara "mahali patakatifu" pale!.

Pasco

1. Sio sawa Pasco uandishi haumaanishi lololte linapokuja suala la kuhoji " degree of truth and validity" sababu uandishi ni fani na kipaji kama mtu hana fani wala kipaji hii haimaanishi ina compromise "degree of truth and validity" ya anachokisema ndio maana polisi unahojiwa ila anaandika anayejua kuandika unachokisema. Mathalani nyi mnaoitwa waandishi wengi wabovu saaanaaaa kuanzia composition mpaka eloquence!! Kama ni hoja basi tuhoji ukweli wa habari husika!

2. Kuhusu umri sawa kisheria ulivyosema lakini kama habari hiyo ni kweli kwa kiasi chochote kile haiwezi kumuacha huru kama unavyo wish mtajwa mkuu hata kama jina na umri wa wahusika viko wazi "socio-cultural-political-human" domains haziwezi kuachia moral and humane consciousness huru tu kwa hoja zako!!

Issue hapo ni kiasi gani habari hii ina ukweli????!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom