DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkapa katoka name epa
Jk mlitaka atoke nanini zaidi ya escrow jamani nimachpwenda zote wanapiga muhula wa mwisho
 
Stupidity is a profession. Ni upumbavu wa hali ya juu, watu wanaongelea mambo ya maana wewe wakati wote mawazo yako yapo kwenye kuoa na kuolewa. Kuoa au kuolewa inakusaidia nini wewe au Taifa? Tumia akili na jaribu kuchangia kitu cha maana katika mijadala ya kitaifa. Tukiendekeza michango ya kipumbavu na kijinga tutaendelea kuwa Taifa la wapumbavu na wajinga. Jenga hoja, kwa kufanya hivyo unasaidia vizazi vya sasa na baadaye, Taifa la leo na la kesho.

wewe ndo mpumbavu tena fedhuli mkubwa. Umedandia kujibu hoja ambayo haikuhusu. Fuatilia utaelewa kwa nn nimecoment hivyo
 
Je ni kweli Brela haiwajui wamiliki wa Simba Trust? Hapa ndipo kuna mzizi wa fitina kwa nini ESCROW haigusiki; kila anayejaribu kuigusa anaungua vidole. Huyo mhindi koko Harbinder Sing Sethi kweli anajua kucheza karata zake!

Mkuu hawa watu ni hatari sana kwa taifa letu, hawa lazima twende mguu kwa mguu,
 
Simba Trust itakuwa kama Kampuni ya KAGODA kwenye kashfa ya EPA ambayo eti mpaka leo serikali imeshindwa kujua inamilikiwa na nani. Tumelaaniwa waafrika. Tunawakabidhi wezi na majambazi madaraka.

Siku moja mwenyezi Mungu atatuuliza tulifanya nini kuzuia hawa majambazi wasiharibu nchi yake nzuri aliyotupa.
 
1. Sio sawa Pasco uandishi haumaanishi lololte linapokuja suala la kuhoji " degree of truth and validity" sababu uandishi ni fani na kipaji kama mtu hana fani wala kipaji hii haimaanishi ina compromise "degree of truth and validity" ya anachokisema ndio maana polisi unahojiwa ila anaandika anayejua kuandika unachokisema. Mathalani nyi mnaoitwa waandishi wengi wabovu saaanaaaa kuanzia composition mpaka eloquence!! Kama ni hoja basi tuhoji ukweli wa habari husika!

2. Kuhusu umri sawa kisheria ulivyosema lakini kama habari hiyo ni kweli kwa kiasi chochote kile haiwezi kumuacha huru kama unavyo wish mtajwa mkuu hata kama jina na umri wa wahusika viko wazi "socio-cultural-political-human" domains haziwezi kuachia moral and humane consciousness huru tu kwa hoja zako!!

Issue hapo ni kiasi gani habari hii ina ukweli????!!!

hoja ilikuwa mahsusi kwa Yeriko, wewe kiherehere cha nini?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Yeri, asante kwa taarifa hii, ila kama huko juu umeishasema uchunguzi umekuonyesha wamiliki wa hii kampuni ni kina fulani!, huwezi tena kumalizia kwa kuuliza swali ambalo tayari uchunguzi wako umeisha lijibu!.

Hii inamaana moja tuu, ama huna uhakika na hiyo ripoti ya uchunguzi, ama unajua kabisa kuwa sii kweli, ndio sababu ya hiyo inconsistance yako!.

Lakini ikitokea ikawa ni kweli, fuatilia umri wa hao wamiliki, kama wote wamevuka the age of the majority, then sio lazima kuwa ni mali ya familia, kwa sababu mtu akiisha vuka 18, ni legal person on her/his own independent of wazazi wake!.

Kama walikuwa hawajavuka 18!, hii inamaanisha na jamaa anafuata nyanyo za mtangulizi wake, "kufanya biashara "mahali patakatifu" pale!.

Pasco

Pasco, hakuna inconsistence kwenye bandiko la Yericko Nyerere. Nionacho ni mbwembwe za kiuandishi tu zimekuchanganya na huenda zikachanganya wengine. Yericko yuko clear and precise kuwa FAMILIA YA JK YAHUSIKA NA UFISADIVWA ESCROW.

Kwamba Salima yuko 18+ na Miraji pia hivyo wanabeba mzigo wa wizi wenyewe mi naona hujamsoma vizuri Yericko. Yericko anasema Gavana alipewa memo na katibu wa Rais kuwa Rais ameamrisha 'mzigo' utoke. Sasa hapo huoni uhusika wa Rais?
 
Last edited by a moderator:
Je ni kweli Brela haiwajui wamiliki wa Simba Trust? Hapa ndipo kuna mzizi wa fitina kwa nini ESCROW haigusiki; kila anayejaribu kuigusa anaungua vidole. Huyo mhindi koko Harbinder Sing Sethi kweli anajua kucheza karata zake!

Mag3 Ukweli utabaki kuwa ukweli Daima Escrow ni zaidi ya Watanzania wanavyojua.
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahaaaaaa! Mwambie Dr Slaa aache uzinifu na badala yake aoe ili aishi maisha ya Ndoa. Kama dini ni kikwazo, anaweza kubadili ili apate haki yake ya kuishi maisha halali ya ndoa. Ndoa tamu jamani. Uzinifu haufai. Ni laana kwa Mungu na huondoa baraka ya maisha. Mambo mengine Dr Slaa anajitakia mwenyewe, pengine angeoa mpaka sasa angekuwa Presidaa wetu

Simba Trust inayomiliki 50% ya IPTL/ PAP ya nani?
 
Watu kama mjepo Lizaboni, MwanaDiwani, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, ifweero na wengine kadhaa, yaani wako so low kuliko hata chawa ama kunguni...
 
Hapa kweli kuna haja ya kufikishana mahakamani mwishoni mwa mwaka 2015 kinga ya rais kushitakiwa itakapokoma, kama ni kweli huu ni zaidi ya ujangili...uwekezaji gani duniani mtu anawekeza Tsh. 6M. halafu alipwe milioni mia mia kila siku? Only in Tanzania.
 
Watu kama mjepo Lizaboni, MwanaDiwani, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, ifweero na wengine kadhaa, yaani wako so low kuliko hata chawa ama kunguni...

hoja yako hapa iko wapi? Au ndo kujipendekeza?
 
hahahahahahahaaaaaa! Mwambie Dr Slaa aache uzinifu na badala yake aoe ili aishi maisha ya Ndoa. Kama dini ni kikwazo, anaweza kubadili ili apate haki yake ya kuishi maisha halali ya ndoa. Ndoa tamu jamani. Uzinifu haufai. Ni laana kwa Mungu na huondoa baraka yaS maisha. Mambo mengine Dr Slaa anajitakia mwenyewe, pengine angeoa mpaka sasa angekuwa Presidaa wetu


Tatizo la chama chenu Viongozi karibia wote wajuu washa.ung.ua.uwezo wakufikiri haupo tena.ndo mana wanafanya bora liende.

Sasa kuwa na wake wasiyo idadi alaf umeungua na kukaa ktk hali unayoisema wewe kupi bora.

Alaf na wewe unaonekana una msongo upon kwenye orodha?
 
Mkuu Yeri, asante kwa taarifa hii, ila kama huko juu umeishasema uchunguzi umekuonyesha wamiliki wa hii kampuni ni kina fulani!, huwezi tena kumalizia kwa kuuliza swali ambalo tayari uchunguzi wako umeisha lijibu!.

Hii inamaana moja tuu, ama huna uhakika na hiyo ripoti ya uchunguzi, ama unajua kabisa kuwa sii kweli, ndio sababu ya hiyo inconsistance yako!.

Lakini ikitokea ikawa ni kweli, fuatilia umri wa hao wamiliki, kama wote wamevuka the age of the majority, then sio lazima kuwa ni mali ya familia, kwa sababu mtu akiisha vuka 18, ni legal person on her/his own independent of wazazi wake!.

Kama walikuwa hawajavuka 18!, hii inamaanisha na jamaa anafuata nyanyo za mtangulizi wake, "kufanya biashara "mahali patakatifu" pale!.

Pasco

Mkuu usipate hofu hiyo ni sanaa tu ya uwasilishaji,

Nimeiondoa ili kutowachanganya watu wengizaidi
 
Hata wale wanaokutuma nao pia ni familia ya jk hata wewe kama ni mtanzania halisi basi ujue ni familia ya jk,wazee wako hawa wote familia ya jk.

CCM imekukaa imekupoteza shunning you away from true or right reason
 
Kwa dakika kumi nilikuwa naangalia empty page nikitafakari cha kuchangia khs hili Taifa na mpaka sasa sijapata cha kuchangia nimeishia kuandika malalamiko yangu juu ya kukosa cha kuchangia........ngoja nisome habari zingine huko naweza kupata cha kusema hapa nimenyoosha mikono.
 
Familia ya JK ni ya mafisadi, hata wewe unayetetea unajua fika, ila kwa kuwa umelipwa kusema hayo unayosema we endelea tu. Kuna siku kibarua kitaota nyasi tutakutana tu kama raia wa kawaida.

hahahahahaaaaa! Familia ya Presidaa haiwezi kuingizwa kwenye ufisadi na watu ambao ni rejects kwenye vyama vyao. Yeriko ni mfano wao
 
Back
Top Bottom