ndio hapoo ujue hapa jf ni pumba nyingi and not home of great thimkers
Kwani unadhani Rais anaweza kuondolewa kwa uzushi wa wapuuzi kama akina Yeriko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unadhani Rais anaweza kuondolewa kwa uzushi wa wapuuzi kama akina Yeriko?
Hari mpya Nguvu mpya na Kasi Mpya.
Nimekosa hata cha kuandika kwa sababu ya HASIRA!
CCM!Go to hell!
Miongoni mwa mataifa hapa duniani yenye governance ya hali ya juu wakati mwingine zaidi ya Marekani ni Australia nitashangaa sana hapo nitakaposikia kweli... wanaingilika kirahisi kiasi hicho.
Kaka acha ushabiki je Songas ni mawe ,hii gas ya Songas ilitakiwa itumike IPTL na wajanja hawakutaka kufanya hivyo matokeo yake wanaofaidi ni viwanda kama Wazo Hill cement,sijui kwa nini Wa TZ ni wavivu wa kufikirisha akili tumekuwa kama kasuku,gas ya Songas ipo siku nyingi na mabomba yapo hadi viwandani.
Those guys they do due deligence ya hali ya juu... Katika eneo ambalo familia ya Mh. Rais naijua haiko fiti ni mambo ya biashara.... So nasubiria kuona ukweli... though by 95% nafahamu ni marororoso tu... hakuna lolote.Wameenda kwa gia ya foreign investors ila ndo ishabumburuka kumbe ni kikampuni cha kutakasa pesa za escrow
Porojo refu hakuna ukweli na una yo Andika
Tatizo la wa TZ wanapenda sana kudhulumu . Mimi sikubaliani na hola ya ufisadi.kama ufisadi ni pale mkataba huu ulipowekwa miaka ya 90
Jeee hawa IPTL walizalisha umeme bure ? Jee kuweka capacity changes ni sawa ..? Kwa maradi mikubwa kama hii mtu kuwekeza uzalishaji umeme na wakati msambazaji ni mmoja tu yaani Tanesco basi capacity charges ni muhimu ili kulinda investment ya investor.
Tatizo lilianza kwa walokubali miaka hio ya 90 kusaini .walikubali kwa charges za juju
Hata iweje serikali ingewajibika kulipa fedha hizi...kama sio kwa wanunuzi wa IPTL BASI kwa IPTL wenyewe.
Sio Kama watu hawajala ,,, ni kawaida fedha ya serikalini halitoki bure. Hata karani akitumwa kutoa copy basi anaweka yake . Bila Shaka kuna watu wamepata chochote lakini ni Katika mambo ya ahsante. Au takrima...lakini sio Kama kuna wizi umetokea iwavo na iwe lakini pesa lie mwisho wake iende kwa wenyewe
Mkuu tatizo sio kuweka capacity charges,bali ni uhalali wa kiwango kilichowekwa.
Hao waliosaini miaka ya 90 walisaini kwa KUDANGANYWA kwamba mtaji wa IPTL ni usd 105m wakati mtaji uliowekezwa ulikuwa 84m usd.
Capacity charges zikakokotolewa kulingana na mtaji wa 105 badala ya 84,Tanesco ikashtukia ishu baadae ilipogundua jamaa walichukua mkopo wa 105m usd benki lakini wakatumia 84m usd halafu wamesaini mkataba unaoifanya Tanesco kulipa gharama basing on the amount of money appearing as a debt kule bank,upo hapo?
Sasa unaelewa legal remedies pale one party to the contract anaposainishwa mkataba kwa kudanganywa?
Okey sawa lakini mbona mahakama zetu hazija amua in favor ya tanesco?
Au nazo zimekatiwa ?
Hii ishu pia inatokana ujinga jinga.
Zamani serikali ilijenga Mtera Kihansi Pangani Kidatu na nk . Hizi zote zikimilikiwa na serikali 100% .
Leo tumetiwa ujinga na wazungu tunawapa watu kuzalisha umeme.
Hii si biashara hii ni national service na jambo muhimu la uchumi na usalama wa nchi.
Leo watu tunakubali ushauri za kijinga kabisa kama hatuna akili.
Leo wangewezeshwa tanesco kununua majenereta wakazalisha umeme bila shaka bei ingekuwa chini
Sasa kuna maporomoko huko rufiji na singida badala ya kuwawezesha tanesco wakazalisha umeme tutawapa watu binafsi.mambo ya ajabu kabisa..
mke wa freeman Mbowe kafa sasa hivi kwa kupasukiwa na vidonge vya dawa za klevya tumbo
Mkuu tatizo sio kuweka capacity charges,bali ni uhalali wa kiwango kilichowekwa.
Hao waliosaini miaka ya 90 walisaini kwa KUDANGANYWA kwamba mtaji wa IPTL ni usd 105m wakati mtaji uliowekezwa ulikuwa 84m usd.
Capacity charges zikakokotolewa kulingana na mtaji wa 105 badala ya 84,Tanesco ikashtukia ishu baadae ilipogundua jamaa walichukua mkopo wa 105m usd benki lakini wakatumia 84m usd halafu wamesaini mkataba unaoifanya Tanesco kulipa gharama basing on the amount of money appearing as a debt kule bank,upo hapo?
Sasa unaelewa legal remedies pale one party to the contract anaposainishwa mkataba kwa kudanganywa?
Okey sawa lakini mbona mahakama zetu hazija amua in favor ya tanesco?
Au nazo zimekatiwa ?
Hii ishu pia inatokana ujinga jinga.
Zamani serikali ilijenga Mtera Kihansi Pangani Kidatu na nk . Hizi zote zikimilikiwa na serikali 100% .
Leo tumetiwa ujinga na wazungu tunawapa watu kuzalisha umeme.
Hii si biashara hii ni national service na jambo muhimu la uchumi na usalama wa nchi.
Leo watu tunakubali ushauri za kijinga kabisa kama hatuna akili.
Leo wangewezeshwa tanesco kununua majenereta wakazalisha umeme bila shaka bei ingekuwa chini
Sasa kuna maporomoko huko rufiji na singida badala ya kuwawezesha tanesco wakazalisha umeme tutawapa watu binafsi.mambo ya ajabu kabisa..