DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hilo la mahakama hebu pitia uzi hapo una majibu ya mbaali.

Haya mengine nakubaliana nawe kabisa mkuu.

Vurugu zote hizi ni kwa kuwa tumejenga dhana ya kutegemea wageni kuwekeza hapa nchini,matokeo yake ndio haya.
Ila pia nafikiri tumelazimishwa na baadhi ya watz wenzetu "kuwapendelea wageni" ili watz hao watumie fursa ya mikataba ya kimataifa kuliibia taifa bila kubanwa kirahisi.

Huenda hata hayo makampuni ya huko nje ni ya wabongo wenzetu na hao wageni ni facelift tu.

Hivi ni kitu gani kinachotufanya sisi wtz kutoamini kile kinachoonyeshwa na mtu asye kiongozi bali tunaamini vitu vya giongozi hata kama ni kiuongo?
 
Naona yericko ameamua kutumia ile id yake nyingine kuweka tena uzi huu mods tuondoleeni taka hii au iunganishwe kwenue andiko la jana naona hakuna kipya.
Mwa4 akili yako inaonekana umebugia rangi ya bendera ya ccm,hata kwenye issue critical kama hii unaleta ushabiki wa kiitikadi?Amakweli ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni.JITAMBUE NDUGU.
 
Mwa4 akili yako inaonekana umebugia rangi ya bendera ya ccm,hata kwenye issue critical kama hii unaleta ushabiki wa kiitikadi?Amakweli ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni.JITAMBUE NDUGU.
Mkuu acha habari yako bana huu umbea huu wewe unaita ishu critical unachekesha kweli hii mbona ni story kama story zingine anazoweza kutunga mtu yeyote kwani ukisoma hakuna mahala popote penye uthibitisho wa viambatisho au kigezo kingine cha kuthibitisha hayo,Lakini pia ukitaka kujua kuwa mleta mada ni TAUSI angalia majina ya watu wengine kayataja bayana halafu akasema pia wapo viongozi baadhi wa upinzani wamehusika tena kwenye magazeti na vyombo vingine vya udaku yanatajwa mbona na yeye hajataja kama kweli anaakili.
 
2lipodokezwa juu ya safari ya jk nchini marekani kwa mara nyingine miccm ilikuja hapa kwa mbembwe kukanusha!hv mnadhani kwa mliyoyashuhudia hili suala linashindikana?ikija julikana nikweli inasinzia 2li,mmekuwa kama misukule!get up and fight,mnakuwa wajinga wajinga 2!hasara kubwa kwa taifa,pambaf kabisa!kila ki2 mnafumba macho,mnataka mpaka mfanywe nin ndio muone nchi inatafunwa!i wish u come 2 ur senses smday!
 
Milioni 200 kwa siku?! Huyu jamaa Sethi sio mkenya aliyefukuzwa kwao kwa tuhuma za ufisadi? Akaona bongo kwa wajinga ngoja niweke kambi hapo!
 
mwamnyange chukua nchi tuwe kama bukinafaso, kuamuka tikimbie mchakamchaka au kila eneo liwe smart area! Shame tanzania shame tanzanian community.

Epa jamaa walichama hela wako kwao wanakula kama kawa
richmond wakala mahela wako kwao na ni viongozi hawanamburi (shida)
pia wanakaribia kuwa maraisi 2015, kama sikosei
ikaja change ya rada jamaa wakazipiga na sasa wako wanakamirisha kuandaa katiba (toba)!!!!!!!!!
Sasa escrow nayo ndo hiyo!!!!!!!!!!!!
Utawakuta akina makonda wanapewa vihera kuwanyamazisha wanao taka kuweka nchi kwenye mstari
hivi watanzania wote tuko msikule????????????????????????????????????????????????
Kwanini mwamnyange usinusuru hii nchi??????????????

Wanasema wajinga ndiyo waliwao,na pia wazee walisema MJINGA akierevuka mjanja kaa chonjo.Kwa sasa watanzania wameanza kuerevuka ndiyo maana unawakuta wapigaji mkwanja wa TAIFA wako tayari hata kuua yeyote atakaye kemea.Ona walicho mfanyia Judge Warioba,halafu Mtu ambaye alitakiwa kukemea ameishia kusema anaomba asifanyiwe alichofanyiwa Warioba sababu yeye anaitetea Katiba ya Mafisadi.

Upeo mdogo wa viongozi wetu ndiyo unaomaliza TAIFA.RAis anapigia chapuo KATIBA iliyotayarishwa na MAFISADI kwa ajili ya kuwabeba MAFISADI huyu ndiye anayesema eti anamuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere sababu amekubali serikali mbili.Ni akili ya mchwa hata mtoto mdogo wa primary ataelewa kabisa kuwa kunaombwe la uongozi na kuwa na wasiwasi na Rais wake.
 
Ulitaka akubali? Akili zingine bana! Toka lini mwizi akakubali kirahisi hivyo?
Kusema hivi tu hakutoshi kutushawishi kuwa familia hiyo imehusika, weka ushahidi mbali na hizi porojo za Yeriko
 
Kweli mkuu jamaa naona leo kaja na nyingine jana niliona kwa mbali katumia ile id yake ya yenye jina la kudandia toka ukoo wa nyerere.

Mbona umechachawa? Hii inshu haitowaacha salama nyie mapanya mliozoea vya kunyonga! Mabuku 7 wenzio wamekuachaniza wanachungulia tu na kujificha kwani mfalme kwisha habari yake
 
Wanasema wajinga ndiyo waliwao,na pia wazee walisema MJINGA akierevuka mjanja kaa chonjo.Kwa sasa watanzania wameanza kuerevuka ndiyo maana unawakuta wapigaji mkwanja wa TAIFA wako tayari hata kuua yeyote atakaye kemea.Ona walicho mfanyia Judge Warioba,halafu Mtu ambaye alitakiwa kukemea ameishia kusema anaomba asifanyiwe alichofanyiwa Warioba sababu yeye anaitetea Katiba ya Mafisadi.

Upeo mdogo wa viongozi wetu ndiyo unaomaliza TAIFA.RAis anapigia chapuo KATIBA iliyotayarishwa na MAFISADI kwa ajili ya kuwabeba MAFISADI huyu ndiye anayesema eti anamuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere sababu amekubali serikali mbili.Ni akili ya mchwa hata mtoto mdogo wa primary ataelewa kabisa kuwa kunaombwe la uongozi na kuwa na wasiwasi na Rais wake.
Mimi najua kashfa yote hii kwa Rais ni kwa sababu tu ameoneha msimamo wa Taifa kutogawanywa vipande vipande kwa kivuli cha SERIKALI TATU. tunaopenda kuona Tanzania inadumu milele hakika tutamuunga mkono
 
Mbona umechachawa? Hii inshu haitowaacha salama nyie mapanya mliozoea vya kunyonga! Mabuku 7 wenzio wamekuachaniza wanachungulia tu na kujificha kwani mfalme kwisha habari yake
Hii ni vita ya kitoto sana ndiyo maana mnatumia maneno kama hii issue haitawaacha salama, haya ni maneno tu kama NCHI HAITATAWALIKA na bado JK anadunda tu
 
Hivi nyie hii akili ya mumchafua Rais mwishini mwa utawala wake inawasaidia nini?

Kikwete ndio ameanza kuchukua mapumziko yake baada ya "kuchoka na kazi ya kuiongoza nchi" kabla ya kumaliza awamu yake October, 2015. Kama mtakumbuka alikuwa US hivi karibuni kwa "ziara" ya wiki mbili. Habari toka ubalozi wa Tanzania US zinadai kwamba Kikwete atakuwa US kuanzia Alhamisi ya wiki hii (November 6th, 2014) kwa "ziara binafsi" ya siku 20. Atakuwa Baltimore na atafikia katika hotel ambayo atalipa $5,000 kwa siku na haijajulikana atakuwa na kundi la watu wangapi. Hii itakuwa ni ziara ya tatu ya Kikwete US katika kipindi cha miezi mitatu. Hawakukosea waliompa jina la VDG

Msikimbilie na kushabikia mambo ambayo huna uhakika nayo kwa kejeli kuwa rais anachafuliwa. Wiki iliyopita BAK aliweka uzi kuhusu safari ya Kikwete huko USA lakini watu kama MWA 4 na wengineo walitokwa povu kwa kukejeli lakini mwisho wa siku Kikwete aliishia kuondoka kimya kimya lakini kwa kuwa maradhi hayafichiki mwishowe kilio kimemuumbua kwa kuomba kuombewa ili apone baada ya kufanyiwa upasuaji huko huko USA.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu acha habari yako bana huu umbea huu wewe unaita ishu critical unachekesha kweli hii mbona ni story kama story zingine anazoweza kutunga mtu yeyote kwani ukisoma hakuna mahala popote penye uthibitisho wa viambatisho au kigezo kingine cha kuthibitisha hayo,Lakini pia ukitaka kujua kuwa mleta mada ni TAUSI angalia majina ya watu wengine kayataja bayana halafu akasema pia wapo viongozi baadhi wa upinzani wamehusika tena kwenye magazeti na vyombo vingine vya udaku yanatajwa mbona na yeye hajataja kama kweli anaakili.
Mkuu UKAWA wamegundua Jk amejizolea sifa za uongozi uliotukuka ndani na nje na wanaona atakaposimama kumnadi mgombea wa CCM 2015 ataibuka kidedea kwa kura nyingi sasa wanaona ni bora wamchafue mapema sana. SI ni YERIKO NYERERE huyu huyu aliyemchafua ZITTO KABWE kwenye mitandao hadi akafukuzwa CHADEMA lakini leo hii ZITTO ni lulu ndani na nje ya TANZANIA?
 
Msikimbilie na kushabikia mambo ambayo huna uhakika nayo kwa kejeli kuwa rais anachafuliwa. Wiki iliyopita BAK aliweka uzi kuhusu safari ya Kikwete huko USA lakini watu kama MWA 4 na wengineo walitokwa povu kwa kukejeli lakini mwisho wa siku Kikwete aliishia kuondoka kimya kimya lakini kwa kuwa maradhi hayafichiki mwishowe kilio kimemuumbua kwa kuomba kuombewa ili apone baada ya kufanyiwa upasuaji huko huko USA.
Wewe utakuwa unaumwa, kwani JK kuondoka nchini ni siri na kashfa? Mbona viongozi wenu wa UKAWA kila siku wako DUBAI na VIMADA?
 
Wewe utakuwa unaumwa, kwani JK kuondoka nchini ni siri na kashfa? Mbona viongozi wenu wa UKAWA kila siku wako DUBAI na VIMADA?

Wnaoumwa wako hospitali TataMadiba sijui kama unalijua hilo ama uko hapo Lumumba ukihemea BK7 pekee.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kanuni ya kawaida kabisa ya wanasaikolojia,daima inasema kile ukifikiriacho wewe kufanya au ukifanyacho wewe kila siku kwenye MAISHA yako basi daima utafikiria na wenzako wanafanya.

Na ya pili ukitaka kumjua mtu TABIA yake ya ndani kabisa anza na maneno ayafikiriaya,kuyasema au kuyaropoka na matendo yake pia.

Pole hili bandiko lako uliloandika kama unadhani umenikashifu basi ujue fika umnetueleza tabia yako ya ndani kabisa uifanyayo kila siku.

Na pili sababu ukweli umefika mahali pake usiwe mtu wa kuburuzwa tu wakati mwingine fikiria kwa kutumia akili zako mwenyewe.Usipende kutukana watu usiowajua unajiabisha.

Na daima jitahidi kuficha UPUMBAVU wako watu wasije kukucheka.

Hata MKAPA aliponunua KIWIRA kwa bei ya kutupa mlimtetea pia lakini akairudisha KIWIRA kwa siri tusipate kujua.USiweunatetea ujinga hili ni TAIFA letu sote,wajukuu zetu,vitukuu,vilembwe nk.tusiwafanye wakaja kuchimbua makaburi yetu kuangalia kama vichwa vyetu vilikuwa vina ubongo au maji ya NAZI.
Mkuu tetty nimependa maneno yako yenye kumfikishia ujumbe huyu gamba lizaboni. Mara zote maneno yake ni hayo hayo. Kuna siku alicoment " umekuja kutafuta mabwana humu nenda jukwaa husika". Ukiangalia na alivo coment kwanko ni same same. Hii inaonyesha ni mtu aliye ishiwa hoja na anatetea asicho kiamini. Tatizo la magamba ni hilo wana IDS zao fulani fulani humu ni lazima zitetee hata kama ikiandikwa kitu cha kitaifa zaidi, kwa maneno ya busara uliyo tumia nadhani huyu gamba atajifunza kuto tukana watu hovyo. Tz ni yetu wote and we are in for it NOW than ever before. Watch out Magambas.....
 
Back
Top Bottom