Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Hiyo sheria ya kulinda source inasomekaje? Niwekee hapa.

Naamini, kama ipo kweli, hairuhusi watu kuitumia kama kichaka cha kuzushia watu mambo.

What’s next? Mwandishi mwingine kudai Magufuli alimlawiti Maria Nyerere na kutumia hiyo sheria kujificha chini yake?
 
Magufuli alikuwa mtu wa kuendeshwa na hisia sana kuna uwezekano hilo jambo likawa lina ukweli ndani yake.
Mbona Kuna Uzi uliletwa miaka ya 2021, na ule Uzi uliandikwa kimafumbo kwamba bwana mkubwa alichafukwa sana ...Hasira sanaaa
Sasa akiwa kwenye jumba jeupe akawa anamtishia dogo kwamba unaona hii..(mguu wa kuku)..akiwa na jazba sana ..akimuuliza nani anamtuma Hadi UDSM kufuatilia machapisho yake ..
Sasa ghafla ..akisema unaona hii ..kitu kikachomoka kutoka chamber ...

Wale jamaa wakamwambia boss inatoshaaa...wakachukua mwili na Kwenda kutupa majini ...ule Uzi haukufafanua majini wapi ...
Wadau wakahisi labda Bahari ya hindi
 
Jamaa kwenye kitabu chake kaandika ujinga wa hali ya juu.
Daah
 
Kuna waandishi wa kimataifa wengi tu ambao waliandika mambo ya uongo na wakashitakiwa na kuamrishwa kulipa fidia na kuomba radhi.

Kabendera is not above lying, is not above calumnies.

George Stephanopolous juzi hapa kaamrishwa kuomba radhi.

Hata BBC waliwahi kumlipa fidia Salmin Amour.
 
Wakati mwi
Ng
Wewe nawe, umeanza kuwa kituko. Unafikiri Familia haijui kwamba Jpm alikuwa muuaji? Wewe ndio umekuwa family advisor?
Ushahidi uko wapi kuwa Magufuli alimuua Ben?

Naona wengi mnaongozwa na hisia tu.
 
Niliandika mara nyingi sana humu kuwa Magufuli ni muuaji. Chawa wake mkawa mnatukana.

Sasa badala ya kuandika uzi (thread) kimeandikwa kitabu.

Nakazia: Magufuli ni muuaji, mporaji na mekaji.
Where’s the proof?
 
Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka.

Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Mshitakini Kabendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi tujue ukweli.
 
Wapi ushahidi Magufuli alimuua Ben kwa kumpiga risasi?

Naona watu mnapenda tu sensationalism.
Wewe ni jaji unayeendesha shaurikwahiyo unaitisha ushahidi? Ili uitwe ushahidi una sifa zipi ambazo wewe una uwezo wa kuzitumia kupima na ukaukubali au ukaukataa? Kama habari za uchunnguzi hujazielewa je ushahidi utauelewa na kukubali au utaweka mapenzi mbele?
 
Hakuna nchi takatifu hapa boss. Usitake uchafu wa viongozi ufichwe kwa kusaka sifa zisizokuwepo. Kama kiongozi ni mchafu huyo ni mchafu, na uchafu wake utawekwa wazi peupe. Hutaki jinyonge.
Unanilazimisha NITAKE unachotaka wewe?!!

Nijinyonge kwa kuwa wewe umependekeza mapendekezo yako ?!!

Uzwazwa huo.....

Nchi ni TAKATIFU...tunapanga mazao ,tunavuna na kupata chakula kwa UTULIVU kabisa....tunazaliana....tunajenga makazi ya kuishi....ikiwa huu si UTAKATIFU basi wewe "waumwa fikra koko".....
 
yaani afadhali umesema saa100 aliniacha hoi pale ambapo hajagusia utekaji na mauaji ya raia,nikahesabu tunaraisi waajabu sana haijawahi tokea
 
Ww unajuaje km sio kweli? Maana mpaka mtu kuandika ana infomation
Jinga na pumbavu kabisa wewe.

Kisa tu jambo limeandikwa hilo halimaanishi kwamba ni la kweli.

Waandishi wangapi na vyombo vya habari vimekuwa sued kwa kuandika habari za uongo?

The level of stupidity is breathtaking. Good grief.

Maandishi ya mwandishi wa habari siyo gospel truth.

So dumb!
 
Zamani nilikuona nikiona mtu kaandika kiingereza nilikuwa najua ni point za maana tupu, kumbe nilikuwa najidanganya.
 
Lakini tayari yeye kashadanganya uraia tutajuaje kama anaendelea kudanganya na hayo mengine?
Sijali uraia wake, najali ukweli alioongea. We fuatilia nchi anayotoka, mimi nafuatilia ukweli aliosema kuhusu dhalimu magu.
 
Sku izi namuona mjane kanenepa hana stress
Ww unakuja mshauri ujinga mjane ebu muache mama apumzike ni mengi kapitia uko nyuma, saiv ni muda wake wa kuenjoy pensheni za jiwe
 
You are splitting hairs.

John Magufuli Rais na John Magufuli aliyekuwa baba, mume, nk., ni mtu huyo huyo.

Unless unionyeshe sheria inayokataza kabisa familia yake kumshitaki huyo mwandishi, hoja yako haina mashiko.

Familia inaweza kabisa kumshitaki huyo mwandishi, civilly.

Serikali ndo inaweza kumshitaki criminally.

Umechanganya mambo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…