Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni
Na zile zilzosemwa kuwa zimefichwa China ni Lissu alisema?.
 
Gobbledygook.
 
Hata nchi zenye vita wanalima na kuzaliana. Kama hauamini kaangalie DRC Congo, kisha tazama idadi ya watu na sisi watanzia tunaoongozwa na chama kimoja kwa shuruti.
 
Hilo sio suala la familia ya magufuli ni suala la serikari kutoka hadharani na kusema huo ni uongo na kutowa ukweli juu jambo la watu kupotea na kuuwaa.

Magufuli hakuwa watu akiwa kama raia aliuwa watu akiwa kama raisi . Ni kazi ya serikali kutowa ukweli kwa kufanya uchunguzi kwa kutumia vyombo vya kimataifa vinavyo aminika na kuweka ukweli hadharani. Vinginevya vitabu kama in the name of the president. Vitaandikwa vingi . Na hata movie za Hollywood ziko njiani.
 
Familia inaweza kabisa kumshitaki huyo mwandishi kwa libel.

Mna ujinga wa hali ya juu sana.
 
Mnaua halafu mnajificha kwa mtume
 
Tungekuwa na polisi wanaojielewa wangekuwa wamemkamata na kuanza kumhoji kuthibitisha ushahidi na kama ni uongo abanwe kende zake Hadi zipasuke.Huwezi kuua mtu ikulu mbele ya umati wa watu.Haya madai anaweza kuyaamini kichaa tu
Magufuli alikuwa muuaje, koma kumtetea
 
Familia inaweza kabisa kumshitaki huyo mwandishi kwa libel.

Mna ujinga wa hali ya juu sana.
Hakuna familia yenye raisi.raisi ni wa nchi sio wa familia. Ndio maana kasema in the name of the president. Kama kuna mkuu wa familia anaitwa president basi familia ya president inaweza kumshitaki.

Na hata hivyo kwa kuwa anayesemwa ni raisi , na walio potea ni watu halisi , basi ili familia iweze kushinda case ni lazima iwe inaweza kudhibitisha kuwa kilicho semwa ni uongo.
 
Naam Magufuli alikuwa katili sana. Afadhari alikufa
 
Zamani nilikuona nikiona mtu kaandika kiingereza nilikuwa najua ni point za maana tupu, kumbe nilikuwa najidanganya.
Hata sijaandika mkuu nimekopy na kupaste baada ya kusoma na kuelewa hicho kilichoandikwa na wengine ambao hata hawajui kama kuna mtu fulani huku Tanzania anapitia hiyo changamoto.

Kabendera nae katumia kiingereza kwenye kitabu chake vp mtazamo wako?
 
Bullshit.
 
Nimecheka 😁😁😁😁 kumbe joni alienda usiku na penzi nyanya Kwa ________ hiking kitabu Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…