Sijui kiingereza, kama umeandika matusi basi na wewe hivyo hivyo...He left your mama’s yellow discharge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kiingereza, kama umeandika matusi basi na wewe hivyo hivyo...He left your mama’s yellow discharge.
Familia ya Magufuli ina amani sana kwa sasa kuliko alivyokuwa hai. Hakuna mtu anataka kukumbuka DIKTETAKwa hiyo Kabendera na wenzake wanaweza kuzusha mambo na kujificha chini ya hiyo ‘pandora’s box’.
Simwamini Kabendera wala Lisu. Ni watu waongo waongo sana.
Ni wazushi.
Familia ya Magufuli wasipofanya kitu juu ya hizo tuhuma, nitawadharau sana.
Ushahidi wa mazingira unaonyesha hivyoWapi ushahidi Magufuli alimuua Ben kwa kumpiga risasi?
Naona watu mnapenda tu sensationalism.
Rais muda wote huzungukwa na watu. Huu ni uzushi.Ila Jiwe alikuwaga anatembea na chuma kibindoni - yawezekana alimpasua baada ya dogo kugoma kuomba radhi hadharani kuhusu mabandiko yake ya kuhoji Pi Hechi Dii.
Kabendera ni mzushi.Binafsi sioni sababu ya kumtupia lawana Kabendera, kwanza Erick Kabendera ni mhanga WA utawala wa jiwe, alionja machungu ya utawala wa magu na pengine kuna mengi anayajua kupitia Hilo na hakuweza kusema hadharani, pili Magu mwenyew akiwa hai alishindwa katika utawala wake kusaidia kujua wapi ama nini kilimpata Sanane. Sioni namna ya kumtetea jiwe vinginevyo aende mahakamani wakapingane Kwa ushahidi.
Kitabu kimeelezea unyama mwingi wa Magufuli, mpaka kipigo kwa mke wake kilichomfanya azimie, pia kimesema alienda wa Samia usiku akiwa na nguo za usiku (sijui alitaka kumbaka) na mambo mengine mengi. Nyani Ngabu ataingia mwezini akikisoma chote.Ushahidi wa mazingira unaonyesha hivyo
Kabendera ni muongo. Inavyoelekea dishi lake limeyumba.Kitabu kimeelezea unyama mwingi wa Magufuli, mpaka kipigo kwa mke wake kilichomfanya azimie, pia kimesema alienda wa Samia usiku akiwa na nguo za usiku (sijui alitaka kumbaka) na mambo mengine mengi. Nyani Ngabu ataingia mwezini akikisoma chote.
Kwani Kama katoa amri ya kuuwawa ni sawa tu kauwaI’m all for it. Ila Kabendera naye ni lazima atoe ushahidi na awataje waliomwambia.
Kabendera kasema Magufuli aliua yeye mwenyewe.Kwani Kama katoa amri ya kuuwawa ni sawa tu kauwa
Magufuli alikuwa shetani kwenye kivuli cha Binadamu. Hata Lissu anajua hilo.I’m all for it. Ila Kabendera naye ni lazima atoe ushahidi na awataje waliomwambia.
Jiwe akiamua kuna mtu wa karibu naye wa kuguna...Radio mbao wanasema kabla hajakata kauli alimtaka CDF achukue nchi...madai kwamba CCM kuna wajinga wengi wangetesa wananchi hasa rushwa.Rais muda wote huzungukwa na watu. Huu ni uzushi.
Sio waliokufa bali "waliouawa" na watu waoNa familia ambazo Magufuli amesababisha wabaki yatima na wajane nao wamshtaki nani? Yani watu waliouwawa na serikali ya magufuli nyie mnaona yeye ndo ana haki ya kupiganiwa tu.
Hii nchi viazi ni wengi sana. Kwanza mimi nilivyosikia magufulia amefariki usiku ule niliamka hapo hapo nikaenda bar kujipoza kidogo. He was rude.
Ameiharibu nchi mpaka sasa hawaoni shida kuua, yani mpaka hotuba ya juzi ya mama yenu anatoa hotuba alaf haoni kama utekaji na mauaji kwa mwaka 2024 ni tatizo. Yani anaona kama waliokufa ni kuku tu au panzi vile
Mbele ya watu au mbele ya "wazee wa kitengo" ambao ndio hao hao wanatumwa " kuwachinja wanaomkosoa". Nani angeweza kumuuliza chochote yule shetani!?Tungekuwa na polisi wanaojielewa wangekuwa wamemkamata na kuanza kumhoji kuthibitisha ushahidi na kama ni uongo abanwe kende zake Hadi zipasuke.Huwezi kuua mtu ikulu mbele ya umati wa watu.Haya madai anaweza kuyaamini kichaa tu
Kwa vyombo gani vya ushahidi kupatikana?Bila ushahidi utakuwa ni uongo tu
Nakataa kwamba Ben Saanane alipigwa risasi na Magufuli Ikulu.Swali tu kwako Nyani Ngabu, je unakubaliana na dai kuwa Ben Saanane aliuawa kwa kupigwa risasi kichwani au na huo unadai ni uongo?
Scenario ya pili itafuata baada ya jibu lako.
- Hebu sasa tuchukue hii scenario ya kwanza kwamba aliuawa kwa kupigwa risasi.
- Je unakubaliana nami kuwa aliyempiga risasi pia ni binadamu na si robot?
- Kama unakiri ni binadamu, je huyo Magufuli anayetajwa hakuwa binadamu?
- Kitu gani kinakusukuma umuondoe Magufuli kama mtuhumiwa kwenye tukio kama hilo?