Familia yake wanataka kunitolea mahari

Familia yake wanataka kunitolea mahari

Lol mila gani hizo,na wahaya nao wana hizo mila eeh,manake bwana yule ni mhaya 🤔
Kweli una haki ya kuishi na watoto wako. Ila kuishi na watoto wako kwa Bwana mwingine sio sawa kwa mila zetu. .

Ulivyowambia unataka watoto wako walikujib vipi? ukiongea na bwana mwenzako anasaje?

Ila unazaa na mtu watoto wawili leo unajifanya kama ilikuw bahati mbaya twice 🙃
 
Hiyo kukutolea Mahari kisheria ni kuwahalalisha ( Legitimize) hao watoto watambulike katika familia yao.
Kama hao wazazi wana mtazamo kama wangu, ikiwa wanataka kutoa mahari ili uolewe na jamaa hiyo ni issue nyingine.
So rudi waulize wanakutolea mahari kwa minajili gani?

Mkuu tofautisha mahari na hela ya kukomboa watoto
 
Kweli una haki ya kuishi na watoto wako. Ila kuishi na watoto wako kwa Bwana mwingine sio sawa kwa mila zetu. .

Ulivyowambia unataka watoto wako walikujib vipi? ukiongea na bwana mwenzako anasaje?

Ila unazaa na mtu watoto wawili leo unajifanya kama ilikuw bahati mbaya twice 🙃
🤣🤣 Ahh gily kuzaa na bwana yule haikuwa bahati mbaya si unajua mambo ya ujana na ,mbingu tu hazikupanga tuoane🙏
Wamenambia nikiwachukua watoto bwana yule atawasusa,ndo wakaja na wazo hilo la mahari.
 
Hawakutolei mahari ili wakuoe, wanakutolea mahali ili kukomboa watoto wao.

NI SAWA.

#YNWA
 
  • Thanks
Reactions: nao
🤣🤣 Ahh gily kuzaa na bwana yule haikuwa bahati mbaya si unajua mambo ya ujana na ,mbingu tu hazikupanga tuoane🙏
Wamenambia nikiwachukua watoto bwana yule atawasusa,ndo wakaja na wazo hilo la mahari.
Msije kuwa mnapasha viporo halafu unataka msaada wa ushahuri Hawezi kuwasusa huo ni mtego tu. Ni vyema watoto wakakulua nyumbani kwao Ila ujombani hakuna urithi kabksa. .

Kama mwanzo wakikufanyia hisani ya kuwatunza na kuwalea usiwanyang'anye na wao wajue wewe mama yao🙃

Ila watoto umewauliza wanatakaje?
 
Sasa kwa mila za kwetu mahari inapokelewa kwaajil ya ndoa tu🙏hivyo hapaswi kutoa hiyo mahari,yeye anatambulika nyumbani Kama mzazi mwenzangu tu.
Hawakutolei mahari ili wakuoe, wanakutolea mahali ili kukomboa watoto wao.

NI SAWA.

#YNWA
 
Msije kuwa mnapasha viporo halafu unataka msaada wa ushahuri Hawezi kuwasusa huo ni mtego tu. Ni vyema watoto wakakulua nyumbani kwao Ila ujombani hakuna urithi kabksa. .

Kama mwanzo wakikufanyia hisani ya kuwatunza na kuwalea usiwanyang'anye na wao wajue wewe mama yao🙃

Ila watoto umewauliza wanatakaje?
Bado wadogo,miaka 8 kwa mi 4
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuanza upya sio kazi rahisi hivyo

Ila kwenda kwa bwana mpya na watoto wako awalee na mateso juu alaf hapo kumbuka kunamambo ya sirini wnafanyaga wa baba wakambo upinde kwaiyo kwako ni rahisi ivo
 
Ila kwenda kwa bwana mpya na watoto wako awalee na mateso juu alaf hapo kumbuka kunamambo ya sirini wnafanyaga wa baba wakambo upinde kwaiyo kwako ni rahisi ivo
Ni mtu mwema hawezi kuwatesa watoto,mie nahitaj kuwa karibu na wanangu basi.
 
Wanataka tuishi wote hasa mkubwa,nikimwuliza anataka nimchukue ila anamwogopa Bibi yake,kwani amemkataza kuja kwangu,huwa ananisihi niwe naenda kuwatembelea mara kwa Mara.Mdogo nilimkabidhi akiwa na miaka 2.5,nilipata changamoto mbaya sana,hivyo option ikawa mama mkwe anisaidie jukumu hilo la malezi,kwahilo namshukuru 🙏ila ndo nawahitaj watoto sasa,nishakaa sawa,huku niliko naishi kama bachela tu,of which imenifanya mpweke sana.
Kama wadogo huwezi kuwauliza? waulize pia washirikish je wanataka kuishi hapo au uishi nao🙃

Ila huyu wa miaka 4 alipaswa kuwa mikononi mwako bado mdogo nawaza ulimgawa akiw na umri gani
 
Majuto ni mjukuuu neno ningejua huja mwisho wa safari
Hapana ni mtu mstaarabu sana,alikuwa bf wangu kitambo tukapotezana after high school,tumekuja kutana tena tukiwa na watoto tayari.
 
Wanataka tuishi wote hasa mkubwa,nikimwuliza anataka nimchukue ila anamwogopa Bibi yake,kwani amemkataza kuja kwangu,huwa ananisihi niwe naenda kuwatembelea mara kwa Mara.Mdogo nilimkabidhi akiwa na miaka 2.5,nilipata changamoto mbaya sana,hivyo option ikawa mama mkwe anisaidie jukumu hilo la malezi,kwahilo namshukuru 🙏ila ndo nawahitaj watoto sasa,nishakaa sawa,huku niliko naishi kama bachela tu,of which imenifanya mpweke sana.
Je unatak kuwatoa watoto kwa malezi ya bibi yao ili uwaweke kwenye malezi ya dada wa kazi?
Namanisha utakuwa unaenda kazini?

Maswali:
1. Huko wanapolelewa je wanalelewa vizuri?
2. Usije kuwa unawatoa kwa bibi yao ili uishi nao chumba kimoja na bwana mpya😬 au chumba sebule😬😬

watoto ni wako una haki ya kuwachukua na kukataa mahali. Uwezo wa kuwasusa ni vitisho hawana hakuna mtu anayeacha damu yake nyuma kama ana akili timamu. Ila siafiki watoto kulelewa na baba mwingine hilo tu
 
Back
Top Bottom